Copied somewhere...
Leo nimeingia Supermarket pale Kibo Complex Tegeta,..Basi nikachukua Mkate Mkubwa na Maji,
Ajabu tangu nachagua bidhaa kwenye Shelf kuna Mzee mmoja alikuwa ananifuata nyuma...
Jamaa karudi home ghafla na kupata mshtuko kukuta
mkewe kipenzi ana bwana ndani, baada ya zogo
kubwa, wanaume wakaenda ukumbini kumalizana
kiungwana;
MUME: Sikiliza mi nakusamehe niachie
mke...
Hapa tu ndipo Wamarekani wananishangaza,
Na ujinga ujinga wao woooote lakini kuna vitu lazima wasifiwe tu.
Hakuna namna tena..............
Nimeguswa na jinsi raia wanavyomfurahia mwanajeshi wao...
Kila mtu ana chaguo lake..hebu tupia namba au herufi ya type zako kulingana na jinsia yako.
NB:USISAHAU KUTUJUZA WEWE NI YUPI PIA KATIKA HIZO HERUFI AU NAMBA.
Hivi kuna mwenye nako anitumie?
Kanaimbwa...
[emoji444][emoji444] tumeipenda wenyewe [emoji444][emoji444]
[emoji444][emoji444] chaguo letu wenyewe [emoji444][emoji444]
[emoji444][emoji444] acha...
Jaman kusema kweli ni wazi kuwa asilimia 99% ya wana JF tumepitia maisha ya shule sipendi kutetea kuwa hamna wanafunzi wakorofi ila pia kuna mazingira mengne ya migomo ambayo huchangiwa na walimu...
HAYA NDIO MADHARA YA KULALA KANISANI
Kanisani leo kuna mdada alikuwa amelala, akaamka akasikia Pastor anasema
"SIMAMA"
Yule dada akasimama akashangaaa kanisa zima linamtizima kwa mshangao...
Habari za wikendi wanajukwaa..
Niko hapa na kidaftari changu pamoja na kikokoteo (calculator) najaribu kuorodhesha mahesabu naona maji yameshazidi unga..
Ngoja tu nikoroge uji ninywe
Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
kisha halafu akamuuliza "Samahani dada
unaitwa Google?".
Dada: "hapana, kwanini umedhani naitwa
hivyo?". Jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.