```While in Church a lady dozed off during preaching she woke up and heard the pastor saying stand to ur feet!
She stood up and saw the whole congregation in shock including her husband, she...
"Mzee wa watu katoa kiasi cha mboga kulingana na uwezo wake,
Kashangaa? Kuona anakula vitu vya bei ya juu,
Kuliko gharama alizotoa" ..... haka kanyimbo alikaimba nani na kanaitwa jee?
habari wakulu wa hi kaya.nisiwachoshe asubui hi.ebana kuna vitabia vina niboa sana tena sana asee,tena inafanywa na mwanaume. utakuta umepanda dala dala au chombo chochote cha usafiri wa jamii...
Mvuta Bangi alikwenda kwa Dokta na kumwambia:- Mvuta Bangi: Mala nyingi huwa nazungumza na watu,
lakini cha kushangaza watu hao huwa siwaoni,
utanisaidiaje daktari?.
Daktari:- Ni wakati gani huwa...
Nlishaanza kuandika kuelezea ukweli na uhalisia wa Jambo hili. Nikakumbuka kwanza kwenda Bank kuangalia salio.
Bahati mbaya nimekuta pesa nlizo nazo hazifiki Mil 7. Ikabidi ni delete maana...
hunipa faraja na kunipunguzia huzuni
na kunifanya nisonge mbele jipe furaha usisubiri kupewa furaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi wapenzi wa MMU kama unazo na wewe zenye maneno...
Mfalme mswati anapewa bure msichana bikra kila mwaka tena huku chuchu zimesimama hatari,
Wewe na ndala kifuani na umetumika kama mashine ya kukaanga bisi bado unataka gari na noti noti...
Zamani nilikuwa nawashangaa Watu ambao wana
Marafiki Wachache (SMALL CIRCLE), nikawa najiuliza
yaani Dunia ilivyo na watu wengi hivi inawezekanaje
mtu akawa na MARAFIKI 7 TU?? Lakini sasa...
Mwaka Jana Tarehe Kama Ya Leo Nilikuwa
Nimeweka Profile langu Team Likerz Yani Nilikuwa Na
Like status Ni balaa. Sasa Siku Moja Kuna Dem Mmoja
Aka Ni Add Jina Namuweka Kapuni Kwanza Nikaingia...
'Can you come and Pick me Up?''
Hii ni sentensi yenye maana kubwa sana
anapokutumia Msichana wa Kimjini-Mjini ambae ndo
umeanza kumrushia punje za mchele adonoe ili aingie
Kingi awe mchuchu...
Kuna wanawake watatu walikuwa wanagoga mtoni!ghafla mi nikapita pale na nikawaona!!
Mmoja pale akafunika papuchi yake kwa mikono nisiione!!
Wa pili akaacha papuchi wazi akafinika usoni kwa mikono...
DADA WA KAZI ANATAKA KUONGEZEWA MSHAHARA
House girl alitaka kuongezewa mshahara, lakini mama mwenye nyumba akataka apewa sababu 3 za house girl kutaka kuongezewa mshahara:
DADA: Ninaweza kupika...
MKAKA: Sweety mambo?
MDADA: Poa asante
MKAKA: Samahani dada, mimi ni kijana ambaye nimekuwa nikikufuatilia kwa muda sasa, na nimegundua wewe ni mtu ambaye ningependa uwe mke wangu niishi nawe...
Kuna simu inauzwa NOKIA toleo jipya, ina redio,TV, Bluetooth, Internet cafe,AC, DVD, Opena, visheti Ufuta, uji wa mchele, kandambili,mtindi, chapati,sambusa za nyama, halfcake, dressing table choo...
Kila nikijipindua napigwa BAN. Yaani zinafukuliwa mpaka posti za zamani. Je inawezekana mtu akawalipa MoDs ili memba afuatiliwe na kupigwa BAN?
Maana huu sasa ni utani kwa sababu huwa nakosa raha...