JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kama wewe sio kilaza na mvivu basi tushindane kuweka vidoti (nukta) ........
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Members wengine wana shirikije hapa Jamiiforums? Hili swali limenishangaza sana pale nilipoona kuna members 350k but ukiangalia washiriki ni wale wale. Kuna majukwaa utaona waanzisha mada ni...
2 Reactions
76 Replies
3K Views
kibaya zaid ni pale ambapo mtu kajikunja kuandaa post aweke humu jf hasa kwenye hili jukwaa akijua watu watacheka na kureply lakini wapi wajanja wanatoa view kibao, reply 0...nahisi hata hii imebuma
0 Reactions
3 Replies
851 Views
Nianze kumpa 100% aliebuni vazi la dela maana linasitiri mademu wenye umbo la karoti, Pili nimsifu kwa kufanya kasi ya shingo yangu kuzunguka iongezeke ,maana akipita demu kavaa dela lazima...
0 Reactions
0 Replies
929 Views
Kuna Jf members ambao kwa namna moja ama nyingine walilipamba sana jukwaa hili la MMU kipindi fulani kwa michango yao. Watu hao binafsi walikua wananifurahisha sana nafsi yangu kila mmoja kwa...
7 Reactions
224 Replies
10K Views
Kulikuwa na m'mbwa wetu mkali sana.....alikuwa mkali kama simba hadi muda mwingine anawachenjia wanakaya maana alikuwa hataki mchezo.........sasa mshua akaamua yule mbwa ahasiwe ili apunguze...
2 Reactions
48 Replies
3K Views
Muda WA tukio saa nane na nusu kwa saa za Afrika mashariki,kupatwa huku kutashuhudiwa na Dunia yote kwa wakati mmoja....
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Inaniuma sana nikiona mtu Haeshimu wazazi wake! Inaniuma sana nikiona watoto Wadogo wa kike wakijiingiza Katika mapenzi bado wadogo! Inaniuma sana nikiona binadam Wenzangu wanapata mlo 1 tu Kwa...
0 Reactions
1 Replies
568 Views
Hivi kwanini mwalimu nyerere hakufanya muungano wa tanzania na rwanda ili hawa mabinti wazuri wa kinyarwanda niwe nawapata kirahisiiiii Mie namlaumu sanaaaa huyu mzeee     
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama upo macho mida hii na wewe ni demu ni pm to chati
0 Reactions
0 Replies
571 Views
Mwanaume...baby unanipenda? Mwanamke/Baby...tena sana swty wangu. Mwanaume...niweke basi kwenye profile picha yako ya watsaaps/Fb. Mwanamke...wala usihofu swty wangu sema na lingine...
0 Reactions
1 Replies
522 Views
Andika neno hili utaona kitu kitakacho tokea, kama muoga usiandike shauri yako haya anza kuandika neno.
0 Reactions
4 Replies
807 Views
1. Nywele kama za Sky Eclat 2. Kasura kazuri kama Heaven on Earth 3. Tabasamu kama la rubby 4. Lips kama za venossah 5. Kifua kama cha shunie 6. mahaba kama ya Kasinde 7. Nye.gee kama za...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Siku za wikiend nafurahi sana kwenda kuruka na maji ,maana ni hobbie yangu,napenda sana kuogolea, ila natembeleaga jagwani,mbalamwezi na coco mara chache sana. Juzi nikasikia wale vijana wa beach...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
DOGO: Eti mama malaika huwa wanapaa? MAMA: Ndio malaika wanapaa, kwanini unauliza? DOGO:Baba alimuita dada Malaika, dada atapaa? MAMA: Ndio atapaa leoleo kurudi kijijini kwao...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Devi kashtuka usingizini kauta gheto kwake wameingia wezi; DEVI: Mnatafuta nini? JAMBAZI: Tunatafuta pesa DEVI: Aise ngoja niamke niwasaidie tukipata tugawane ********************************
3 Reactions
3 Replies
1K Views
MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike? MUME: Yaa kuna mwanamke tulikuwa tumeminyana ndani ya daladala MKE: Na lipstiki kwenye shati? MUME: Tulikumbatiana na wageni toka Zambia walitembelea ofisi...
3 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi nyie akina dada wa humu Jf mbona mna ubaguzi sana kuliko sisi wanaume?..Nasema hvyo kutokana na tabia yenu ya kujitenga nasi pindi tunapohitaji msaada kutoka kwenu..mfano hai ni katika...
5 Reactions
38 Replies
3K Views
MJAMZITO alikwenda Hospital akakutana na Daktari aliyegoma. Mambo yakawa hivi: Mjamzito: Dokta Mtoto hachezi Tumboni tangu juzi nifanyeje? Daktari: Meza Kitenesi na Filimbi,ukiona bado hachezi...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Back
Top Bottom