JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
HAYA NDIO MADHARA YA KULALA KANISANI Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema " SIMAMA" Yule dada akasimama akashangaaa kanisa zima linamtizima kwa mshangao akiwemo...
1 Reactions
2 Replies
970 Views
Mwalimu wa USAFI kakuta darasa chafu akauliza MWALIMU : zamu ya nani Leo? WANAFUNZI : zamu ya MANFONGO.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna mzee alikuwa anapenda sana chabo! Yupo tayari kulipa hata hela ale chabo tu. Siku moja kaenda kuchungulia baada ya kuskia sauti ya kike ikilia Jamaa akashtuka analiwa chabo Akasogea na spoku...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Vijana tumesoma ajira umeamua kuzuia Mungu anakuona. Dr. Magufuli wafanyakazi tunafanya kazi mishahara umezuia isipande Mungu anakuona. Wakulima mpaka sasa hivi umeondoa mbolea ya ruzuku Mungu...
10 Reactions
72 Replies
7K Views
Kule pakistan,kuna kabila moja ambapo utamaduni wake ni kwamba ukitaka kuoa mke wa pili sharti ujaribiwe kama unaweza ku''handle'' wake wawili. zoezi litolewalo ni kubeba jiwe kama hilo lenye kilo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu nipo Arusha wapi naweza kwenda kusimulia nikipaona
4 Reactions
73 Replies
14K Views
When you build a house let your wife decorate the ceiling, she has seen more ceiling designs than you. Good evenings
0 Reactions
1 Replies
404 Views
kilichopo hapa ni kumuelezea mtu kutokana na avatar alionayo. sema avatar yake inaonesha ni mtu wa aina gani welcome mimi ndo ntakua wakwanza kuelezewa........your welcome
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Katika kipindi hiki cha ujio wa simu za kupangusa(Ina maana smart phones). Mitandao ya kijamii imeshika nafasi kubwa sana kusambaza habari. Sio kama zamani tulikuwa tunategemea redio,magazeti na...
3 Reactions
22 Replies
7K Views
Wakuu,kwema? huwa napenda sana nikiwa nasafiri kwenye bus,nikae siti moja na mdada afu huyo mdada akiwa anasinzia awe ananilalia.yan ntatataman safari isiishe.
2 Reactions
22 Replies
2K Views
nipo njian nakuja tanga wakaz wa tanga wapi kizuri siku hizi pa kutembea baada ya kumaliza kazi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Waungwana hivi huyu msichana rubii yupo wapi?? Maana yupo kimya sana isije ikawa yupo kaburini Nimezikumbuka sana post zake.
9 Reactions
95 Replies
6K Views
Miaka michache nyuma,Wanaume Tulikuwa Tunalalamika sana vibomu vya kuombwa vocha, Vocha ilikuwa gharama inayokera sana na kuboa maana kila siku iendayo kwa Mungu ni vocha.. Kumbe bora ingebakia...
7 Reactions
11 Replies
1K Views
Eti Ukimtongoza anakuambia naomba nikuone kwanza ndo nikupe jibu nimekubali au sijakubal hivi uoni kama unajiharibia mwenyewe ukimuona alafu wewe ukawa Kimeo unadhani atahitaji jibu tena? wewe...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
If yes just say hi ,tujuanee, mm npo sngda mjini karakana
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Kwa walevi wenzangu wa kahawa...kwa kweli nateseka sana kisaikolojia bila sababu. 1.Hivi kwa nn vikombe vya kahawa vidogo namna hii 2.Na je kwa nn vikombe havina mikono 3.kwani muuza kahawa lazima...
1 Reactions
2 Replies
672 Views
Naomba tujadili hili wadau, napenda zaidi comment zitoke kwa wanawake. Limekuwepo suala la wanaume kutojiamini kwa kuwa na uume mdogo, je wanawake mnasemaje, mnapenda uume wa aina gani hasa, uume...
0 Reactions
9 Replies
13K Views
Mwalimu Mgeni alichora moyo ubaoni hata hivyo kwa kuwa alikuwa sio mchoraji sana mchoro ulionekana ovyo alipomaliza akaanza kuwauliza wanafunzi: MWALIMU, Nani anajua nimechora nn ubaoni...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
nimepanga kumkabidhi mke wangu nusu ya mshahara wangu kwa sababu najijua.
8 Reactions
176 Replies
28K Views
Wanaume wengine wabishi eti hakuna uchawi, hebu chukua karatasi jumlisha fedha zote ulizotumia kwa michepuko, halafu jumlisha hela ulizompelekea mama yako mzazi, linganisha, huoni kuwa ulilogwa wewe?
7 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom