JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Umelipia kodi ya nyumba 3,000,000 kwa M-pesa mara unapokea ujumbe mfupi unaokwambia Ahsante kwa kujiunga na unlimited bando umepokea dk 320000 sms 100000 na GB 25000 utazitumia mpaka 26/08/2017.
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Mwelevu na Mjinga walienda ktk usaili, walipofika kabla hawajaingia wakakubaliana aanze Mwerevu kisha akitoka ampe majibu Mjinga ili wote wapate kazi. Basi Mwelevu akaingia na maswali yakawa...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Hivi Wahaya (Bukoba) mmemkosea nini Mungu ati? 1978- UKIMWI ukaingia TZ kupitia kwenu umeua watu wa kutosha, 1978-vita na Uganda kwenu watu wakafa 1996- MV bukoba ikazama ikaua watu 508, 2016-...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Hamjambo wanandugu
0 Reactions
5 Replies
757 Views
KABLA YA NDOA.. mkipanga appointment anakuja amepigilia viwalo, amevaa kiputo, kimemtoa, ananukia, ametengeneza nywele afro kinky, ametinda nyusi vizuri aje kukuimpress, foundation make-up...
10 Reactions
31 Replies
2K Views
Wana Chit-chat mmemsoma Mange Leo ? Kwa kweli hali ya hewa imechafuka nashindwa kuweka screen shot hapa inakataa Kwa anayeweza hebu aiweke wasio na insta account. Mange huyu anaelekea pabaya
5 Reactions
351 Replies
46K Views
Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki7, ATM card na karatasi yenye PIN ya ATM card...
1 Reactions
2 Replies
922 Views
Sababu kuu ya kutokewa na lililowatokeeni majuzi huko kwenu Kagera ni baada ya " vurugu " zenu kubwa zinazojulikana tokea enzi na enzi mlizozifanya usiku kucha wakati wa Tamasha la Fiesta eneo...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Jamani mpo? Kuna upelelezi unaendelea kwenye magroup Kuweni makini, Nimeona defender mbili zimepita kwenye forums mbili hapo nyuma hapo![emoji23][emoji23][emoji23]
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Siku hizi mshahara ukitoka wadada wana maneno matamu sana, hata kwenye dictionary hayapo, eti "wewe ndio kinjekitile wangu". Mungu anawaona lakini..
8 Reactions
33 Replies
3K Views
Juzi nimeenda kuzika rafiki yangu huko kijijini kwao, sasa utaratibu ni kua baada ya kuzika mzee wa kimila hua anaamka na kutangaza atakayefata kufa mkiwa bado eneo la kaburi. Mzee huyo alipoamka...
4 Reactions
15 Replies
4K Views
Leo imetolewa akaunti rasmi ya kuchangia wahanga wa tetemeko Ni 0112045981500 Crdb Tusiwaangushe jamani
0 Reactions
4 Replies
831 Views
Ni Mara nyingi nimeskia kuwa zipo ID ambazo zinapewa pesa (7000) Kwa siku malengo ni Kwa ajili ya kuanzisha propaganda jukwaa LA siasa au katika jitihada za uenezi kisiasa . Lakini mimi binafsi...
1 Reactions
10 Replies
808 Views
Mwanaume shurti uwe na Pumzi ndefu, sio unapewa mzigo unahema kama Fuso ya Viazi... Mibia mnayokunywa na Vitambi utadhani Simtank, mkiibiwa msilaumu.Dakika 5 nyingi unaomba Poo, kamua mzigo ujenge...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Je wajua?! Hata uwe na umri mrefu vipi huwezi kufikia gorofa! Hata simba jike awe mkali vipi atapandwa tu! Hata uwe mkubwa vipi huwezi kulamba kiwiko cha mkono wako! Hata uweze kubana pumzi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tuzikumbe nyimbo za zamani. kidogo nagawana na wenzangu-Qchief. bush party-(hawa jamaa nimewasahau) mugambo-juma nature anita-matonya Taja nyimbo zingine za kitambo unazozijua
0 Reactions
5 Replies
4K Views
*Wahaya wamezidi sifa jamani khan!" ETI WANAPATWA NA MADISASTER INTERNATIONAL KAMA EARTHQUAKES" Siyo local kama kipundupindu n.k*
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamaa alikuwa kwenye daladala ghafla akapokea ujumbe toka kwa Demu aliyekuwa anampenda ila bado hawajafanya tendo la ndoa "nimefikiria nimeona leo nije nikupe kwani umeonyesha uvumilivu sana, je...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom