JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nimeikuta sehemu kwenye Facebook, hivyo sio kauli yangu binafsi Brenda.......... Never satisfied. Charity....Wifematerial. Marion.........Smart. Joyce....Heartbreaker. Doris....Stupid...
0 Reactions
19 Replies
19K Views
Mko baa mnakunywa mara ghafla mnavamiwa na majambazi na kutoa amri kua, toeni kila kitu mlo kuanacho mtupe chini, kisha uchague moja kati ya haya. Anaetaka kufa atokee mlango wa mbele, anaetaka...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
*Yaan apa najaribu kuwaza peke yangu ivi zama zile zakurusha mawe juu ya bati kwakumpa taarifa demu kuwa upo nje je ingekuwa ndo zama izi cjui ingekuaje maana cku izi demu mmoja ana wanaume30 tena...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Sikh moja nipo maeneo ya mlimani city Mara kapita mtoto mrembo sinikaanza kumfuata kwanyuma ili nilushe swaga nilipomkaribia nikamgusa bega alipogeuka tu niksishiwa pozi nikajikuta nikitamka ETI...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu Leo natoa onyo kwa wale wanaopenda kuiga lugha za watu wakati mwengine wanatukana hawajijui Kuna jamaa yalimkuta alizamia meli akajikuta ametua ulaya baada ya kushuka melini...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
_Wageni wa zamani wakifika nyumbani kwako cha 1 wanaangalia kwenye Friji._ _Lakini wageni wa sasa raha saaana,wakifika nyumbani kwako swali la kwanza,_ _*UNA CHAJA YA SMART PHONE??*_ _Shikamoo...
2 Reactions
2 Replies
954 Views
hapa mtaani kwetu kuna jamaa alikuwa na tabia akifanya mapenzi na mkewe raha ikimkolea anapiga kelele mpaka majirani wanasikia. Siku moja jirani yake aitwaye Mzee Hamisi akamfuata jamaa...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
USITHUBUTU KUTAZAMA MPIRA UKIWA NA MWANAMKE NI MASWALI MASWALI YANI NI STRESS TUPU!! #Mke: Honey timu gani zinacheza leo? #Mume: Arsenal vs Manchester Utd``` #Mke: oooh safi sana, ninaipenda...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Natafuta mwalimu atakaye kuwa ananifundisha jinsi ya kutongoza!
0 Reactions
5 Replies
897 Views
Mpemba akiwa anatembea ghafla upepo mkali ukadondosha kikoi huku akibaki mtupu ila cha ajabu akawa amezuia kofia kwa nguvu isipepee! Jamaa akamuuliza mzee vipi unazuia kofia unaacha vyombo vyote...
0 Reactions
3 Replies
916 Views
Nahitaji dawa ya kuacha kutamani pilau
0 Reactions
5 Replies
876 Views
Wadau Ningependa kujua kama huko kijijini wanaruhusiwa kukulana (kufanya mapenzi). Kwa lugha nyengine namaanisha mahusiano yanaruhusiwa ama!?
0 Reactions
1 Replies
626 Views
[emoji253][emoji261][emoji253][emoji261][emoji253][emoji261][emoji253][emoji261] [emoji261] happy happy [emoji253] [emoji253] happy [emoji261] [emoji261] ADVANCED...
0 Reactions
1 Replies
513 Views
Mimi nina miaka 18. Ni mtanzania lakini siishi nchini. Niko nje kimasomo. Naongea English fluently na Kiswahili pia. Nataka tuchat WhatsApp ni inbox number.
1 Reactions
97 Replies
13K Views
Habari kwenu Washirika JF Leo emutaja mwalimu aliekuwa kiboko kwa matusi shuleni kwako. unaeza taja wa level yeyote ile. mimi namkumbuka mwalimu wangu wa hisabati shule ya msingi alikua anaitwa...
0 Reactions
5 Replies
993 Views
Nakumbuka mwaka 2001, nikiwa Morogoro, nilipata dili la matikiti Dar. Kuna mteja alihitaji matikiti 500, kila moja buku. Sasa mie nikayasaka nikapata kwa mia nne na muuzaji alikuwa na tikiti ka...
12 Reactions
117 Replies
10K Views
Msemo huu umekua maarufu saana wanaume wa dar kila jambo dhaifu dhaifu ukifanya huku bara unaambiwa usiwe kama wanaume wa Dar Tatizo nini niambieni hapa wanaume wa Dar wamepungukiwa nini HASWA
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Kuna tabia ndogo ndogo ambazo zinakera kwenye jamii lakini unashindwa kumuambia mtu live Kutokana na umri hadhi au aibu juu yake lakini vinakukera kila siku. Kupitia uzi huu naomba tufikishe...
5 Reactions
264 Replies
20K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…