JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Right here in JF. . . . There is a certain gentleman, who posseses the qualities of a real man One with uncompromising principles, And great ambitions. His irresistible charm. . . takes...
25 Reactions
686 Replies
30K Views
ni siku ya kwanza kabisa ya mwaka MPYA!! na huu ni ukwel mchungu....wengi wenu msiotaka kuusikia Ila ukweli ni kwamba Kaa mbali na pombe. -Pombe inayumbisha SANA maisha yako kama Mwanaume...
9 Reactions
38 Replies
1K Views
Habari wanazengo hususani wana UDSM, hapo jana niliwapa habari ya kwamba kuna waziri mmoja taarifa zilisema amepata GPA ya 1.5 chini ya ile inayohitajika ya 1.8 , ambapo katika kikao cha...
3 Reactions
46 Replies
9K Views
Jamaa tumewasiliana humu aliomba niweze msadia mambo kadhaa, nikasema haina shida lets meet. Ni almost two months anasisitiza jambo hilo nami nikaona si shida sababu binadamu ni kusaidiana. Jana...
23 Reactions
91 Replies
3K Views
Uzuri wa Dar es Salaam sasa hivi ukiachwa unauwezo wa kulia hata sokoni mchana kweupee, kikubwa usitoe sauti na watu wakajua ni "RED EYES" kumbe unakung'utwa na mapenzi! 😀🚮
1 Reactions
1 Replies
192 Views
1. Chizi Maarifa - nimepita nyuzi kadhaa nimekuta jamaa akitukanwa na kusukwa sukwa sana.naamini kama angekatisha lile eneo lenye wale watu muda ule wangempopoa sana kwa mawe. Sana siyo kidogo...
15 Reactions
194 Replies
8K Views
Yupi kati yao hasa ungependa kukutana nae? Ungepata nafasi ya kukutana nae ungemwambia nini kuhusu mtandao huu? Nini kiboreshwe zaidi? Nini kipunguzwe? ==== Hakuna mwenye uwezo wa kuingilia...
7 Reactions
145 Replies
3K Views
Mimi ilikuwa mwaka 20__. Nilikuwa zangu nyumbani nimetulia naperuzi tu. Ila nilifurahi sana. Yako yalikukutia wapi, na ilikuwaje?
7 Reactions
110 Replies
4K Views
Wakuu mambo yasiwe mengi. Kabla ya huu mwaka kwisha ninampango wa kununua helikopta niwe napigia misele hapa town kwa mfano nikitaka kwenda ofisini asubuh na kurudi nayo jioni nyumbani mana mambo...
7 Reactions
63 Replies
2K Views
Nataka kwenda lubumbashi Bar napitia wapi? Kutoka Kimara Suka?
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Aisee! Watu wasiri sana, kumbe kuna Baiskeli za kuendesha kitandani na hamtuambii?
7 Reactions
34 Replies
1K Views
Bibi mmoja aliyefahamika kama Bi Shida aliingia katika Benki asubuhi moja akiwa na mkoba uliojaa pesa. Alikuwa anataka kufungua akaunti ya akiba na aliomba kuzungumza na meneja wa benki kwa...
3 Reactions
27 Replies
964 Views
Bila kufika saa sita au saa saba bado sijapata usingizi, hata nikilaximisha kulala saa tatu au nne, usingizi hauji, na ukija, saa sita nitashtuka hapo ni mpaka majogoo ndo nisikie usingizi. Ila...
9 Reactions
56 Replies
2K Views
Ukiniangalia zaidi ya nje yangu Na ukiangalia ndani utaona mimi ni nani kweli Nisipojificha tena mimi ndiye mimi, hukuwahi kunijua mimi, hukuweza kuniona Mpaka nilipopata ujasiri wa kusema haya...
2 Reactions
25 Replies
873 Views
Mapenzi noma sana, siku hizi mahisiano bila unafiki hayadumu kabisa utaona unakumbatiwa unahisi kama unapendwa kumbe unanuswa[emoji28][emoji28][emoji28].
5 Reactions
17 Replies
681 Views
Habari zenu 🖐 Naomba niwasimulie story fupi iliyotokea kipindi flani cha nyuma. Kuna siku flani tulikuwa tumekaa na washkaji na baadhi ya mademu bac tunapiga story, jamaa mmoja baada ya kuona...
20 Reactions
182 Replies
6K Views
Dunia inamaajabu yake Kuna member humu anajiita mnyarwanda na anamapenzi makubwa na kagamee pia anapenda Sana stori za kujidai yeye ni Kama membee Yani mbobezi. Za chinichini zinasema jamaa ni...
24 Reactions
75 Replies
8K Views
Yule twiga kwenye tanesko nashauri tumwondoe .. Tutafute mnyama mwingine ambaye Yuko fast, Pia ni reliable .. pi anajua how to secure his kills . Wakuu mtanisaidia falsafa ya mnyama twiga ni...
1 Reactions
3 Replies
306 Views
Miaka kumi ina miezi 120! Say: 3,000,000×120? = 360,000,000
0 Reactions
9 Replies
907 Views
Muda huu ni saa tisa na nusu nipo kwenye internet tangu saa tano nilipoingia kitandani. Nahama mitaa ya reddit naingia youtube, naingia Twitter, naingia Netflix, sasa nimekuja kuchungulia JF...
7 Reactions
30 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…