Ukweli sisi wenye wake hiki kimsemo kina kera sana, maana wale madomo zege sasa utakuta Ana tecno yake basi atajipitisha mbele ya shemeji yake na sauti juu, hapo ujue tu domo zege,
Usikubali kuingia kwenye Uhusiano na mtu mwenye
Tabia za Korea Kaskazini,wao muda wote wanawaza
Majaribio ya Nyuklia...Huwa hawako serious...
Leo anakwambia anakupenda, kesho
anakwambia 'My ex...
Agizo kwa Wanaume wa Dar toka kwa Wanaume wa Mikoani.
Kumekuwa na Tabia kila msiba unapotokea Dar mnajazana kuja kijijini kuzika...
+Mkifika hamchimbi kaburi.
+Hamumlilii marehemu
+Hamumswalii...
''Baby Nimemiss kweli Muvi,Can we go sa 2 tukacheki
pale Mlimani nimeona ratiba Muvi ya Road to Freedom
ya Mandela imetoka.Now niko home huku KITUNDA
kwa Shangazi, ntakuja kwenye Saa 1 na nusu...
Wakuu ni hivi!!
Mke wa kipofu anachepuka na kiziwi! Na kuna bubu ndie anaejua stori zote kuwa mke wa kipofu anachepuka na kiziwi!! Sasa huyu bubu anataka kwenda kumwambia kipofu!! Vipi hapa wakuu...
Kwenye Mapenzi lazima mmoja akubali kuwa FALA
na MJINGA ili Mapenzi yaweze kwenda..Hamuwezi
wote eti kuwa SMART...Haiwezekani.. Smart Lovers
dont get far..Huu ndo ukweli. Na ndoa nyingi...
Wakuu,
Hii ime_happen leo.
Kuna dada mmoja nilisoma na'e ngazi fulani ya elimu,
Tangu tumemaliza umepita muda mrefu hatukuwahi kuonana.
Sasa leo tumekutana kwenye daladala 1 la...
*Kitambo Shuleni*
John ana miaka 10 pungufu ya baba yake, mama yake ana miaka 40, miaka 20 zaidi ya John. Tafuta umri wa:
1. John
2. Baba
3. Mama
```Hili swali nilikua naliruka... sio kwamba...
Sijawahi kuona Mnyama yoyote mbali na Binadamu ambaye Dume halimuingilii Jike kwa nyuma yaani kupitia matakoni, hivi ni kwanini?
Je, inaweza labda kuwa ndiyo moja ya sababu ya Wanaume wengi...
*Upendo wa kweli ni nini?*
*[emoji117]Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake na kisha kumwambia baby vaa nguo twende nyumbani*
*Kifo ni nini?*
*[emoji117]Kifo ni pale...
Jamaa usiku wa kwanza kulala na mkewe baada
ya harusi akaamua amuulize swali asubuhi yake:-
Jamaa: Mpenzi wangu umewahi kulala na
wanaume wa ngapi kabla ya kuolewa na mimi?
Mke: Wote walikiwa...
Habar za muda huu wana jamiii,ktk masuala yetu hasa ya mapenz kunakiti ambacho hulalamikiwa na wengi hasa wanawake wao ndio husema kwamba tunawachezea.
Sas napata shaka na huu msemo kwamba kam men...
Ha ha ha ha.
Ngoja niseme kitu hapa, nimepitia pitia hapa na nimegundua machache haswaa kuhusu sisi ma underground!
Nimeona hata tupige makelel kiasi gani hatuwezi kuwa maarufu kama walivyo wao...
Mimi nilikwazika siku moja, hapa JF niliweka mada nikihisi itakuwa msaada kwa jamii badala yake ikawa shubiri...ilihusu vifurushi vya chuo!
Je wewe mwenzangu..
Wakuu poleni na majukumu na harakati za kusaka tonge ili mikono iingie kinywani.
Hivi wakuu, huyu beki tatu nimfanye nini, katika harakati za mizungiko yangu nikarudi zangu home wakati...
TUCHEKE KIDOGO..
BIBI NA MJUKUU
Mfalme alitaka kujua idadi ya makahaba ktk mji wake akawaambia wajipange foleni kuhesabiwa. wakapanga mara bibi kizee akapita akamuona mjukuu wake katika foleni...
Paul pogba
Alitelekezwa na baba yake akiwa na miaka 6 akalelewa na mama yake leo hii kauzwa kwa pesa nyingi Sana
Diamond platnumz
Alikanwa na baba yake mzazi leo hii anavuna pesa nyingi Sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.