1. Mama kapanda daladala, tiketi aliyopewa kusoma mmiliki wa gari ni mumewe. Kumuuliza konda konda akamjibu 'mbona ziko nyingi tu!' mama hoi. Hii ni Dsm
2.Jamaa alipofariki matangazo ya kifo...
Nimeikuta hii kwenye Whatsapp group fulani....
TAHADHARI KWA WANAUME WA DAR MNAO HAMIA DODOMA! Tabia zenu za kibwege bwege sijui kula bata,
Misemo yenu ya kike kike cjui vepee cjui ni shidaaaaa...
D.Trump!
Amerika amka na mchague D.Trump, Trump ameahidi kutoshambulia na kuvamia hovyo nchi nyingine kama hazijaitishia USA moja kwa moja, hakika D.Trump amechelewa vinginevyo Gadafi angekuwa...
Yani Unachati dem Wewe upo kibaruani yeye yupo
nyumbani mfano unachatnae fb,whatsaap au mtandao
wowote alafu unamuuliza baby unafanya nini now
anakwambia nimelala baadae tena unamuuliza
unafanya...
Agizo kwa Wanaume wa Dar toka kwa Wanaume wa Mikoani.
Kumekuwa na Tabia kila msiba unapotokea Dar mnajazana kuja kijijini kuzika...
+Mkifika hamchimbi kaburi.
+Hamumlilii marehemu
+Hamumswalii...
Rejea kichwa cha habari husika....
mm binafsi watu wa jinsia moja wakifanya mapenzi hadi shetani huogopa na kujificha ......
Tupe wewe dhambi unayoijua....
Yanga bado wana nafasi yakufuzu hatua inayofata,mfano mechi ijayo Mo Bejaia na Medeama wakimpiga refa timu zote mbili zikatolewa mashindanoni inabaki Yanga na Tp Mazembe ndio wanafuzu hatua inayofata
*Mzungu alisafiri na Mbongo kwenye ndege*
*wakakaa siti moja*
*Mzungu akamdharau sana Mbongo*
*nakujiona anajua kila kitu duniani!,*
*Akamwambia Mbongo waulizane maswali*
*na Mbongo akishindwa...
Habari wakuu,
Selamat pagi(good morning),
Kwa watanzania wanaoishi Indonesia si vibaya tukajuana..
Mie naishi katika kisiwa cha Sumatra mji wa Medan.
Terima Kasih.
Baada ya kubembelezwa sana unamtoa mdada
‘out’, mnaenda sehemu mmekaa.
Wewe: Ehe utakula nini switii?
Mdada: Chochote
Wewe: Nikuagizie ice cream
Mdada: Hapana meno yanauma
Wewe: Haya wacha walete...
BABY NAMALIZIA KUTENGENEZA MUVI YANGU, SASA
TUMETENGENEZA KILA KITU ILA SASA
TUNATAKIWA TUNUNUE SCRIPT TATU MBILI ZA
BLUU NA MOJA NYEKUNDU BABY, HIZI ZINATAKIWA
SANA MAANA SIKU HIZI MUVI LAZIMA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.