Habari wadau,
Kigamboni ni peninsular ambayo inapatikana dsm,Tanzania ambayo inawakazi wanaokaribia takribani 200,000 kama wakifanya sense mwaka huu(2015).Kigamboni ipo wilaya ya Temeke ambayo...
Wewe umempa umuhimu wa kwanza...unamuwaza
wa kwanza...
ukiamka unamtext wa kwanza....
kabla hujala unamkaribisha...
ukitaka kutoka Outing unamwambia...Umuhimu wake
kwako ni kama network kwenye...
Ukiwa Mwanaume na Huna Hela na Sura yenye Mvuto
basi kila Mwanamke unayemtaka atakujibu YOU ARE
NOT MY TYPE...Halafu unashangaa wenzio wanaenjoy
tu unajiuliza hawa wadada wanataka Type ya...
...kwa nini mnatubeza sisi wenye elimu ndogo??
....Elimu yako inamlisha nani huku JF???
...mna dharau kisa kuingia madarasa,,,,,?
..wapuuzi nyie,hamjui hayo madarasa,ni majengo tu mliingia...
Naamka Asubuhi Na Simu 2 Kutoka Kijijini, Ya Kwanza Mjomba Anataka Nimsaidie Mtaji Ili Aandae Shamba,wa Pili Ni Baba Mdogo Anataka Nimsaidie Mtoto Wake Kaomba Chuo NACTE Hadi Sasa Hajapata Chuo...
Nina maswali machache madogo kuhusu tamko hili...
1.Kwa vile tangazo hili ni kwa watani zake wa Darisalama, jee tamko hili ni la utani tuu kuatania watani zake?!, au ni tamko ni la kweli bali...
Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begi```[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
***********************************
Mwanaume baada ya...
Hawa Madem wana misimamo yao ambayo sijui
wamefundishwa na Ngariba wa Loliondo au
lah...Inapokuja suala la Bed Business,UTACHOKA!
Kungfu si Kungfu...Taekwondo Si Taekwondo...Sar
akasi si...
Leo 13/08 /2016 ni siku ya kimataifa ya watu wanaotumia mikono ya kushoto na hata miguu pia. Naomba niwatakie heri ya siku hii wana JF wote wanatumia mikono/miguu ya kushoto .
Duniani kote...
Mtanzania, Mnyarwanda, na Mkenya
walikamatwa
na madawa ya kulevya China.
Wakaambiwa
adhabu ni mbili kifo au adhabu
nyingine ambayo
wakiishindwa pia
wanauawa.Wakaomba wapewe
hiyo adhabu
nyingine...
Habari wadau, wala nisiwachoshe rejeeni kichwa habari hapo juu, nawatahadharisha zile
Tabia zenu za kibwege bwege sijui kula bata,
Misemo yenu ya kike kike cjui vepee cjui ni shidaaaaa,
Mambo yenu...
Wasaalam,
namtafuta shoga angu Dinazarde jamani, maana kuna issue tuliwasiliana
nae baada ya hapo naona kimyaaaaaaa... alie na mwasiliano
nae pls naomba ani Pm.. ni muhimu
Wasaalam
HoE.
Eti na wewe unajiita Mwanaume, Mwanaume
kumnunulia Zawadi Girlfriend wako ni mpaka uone
Valentine's Day imekaribia,ndio unajishaua na
Shopping ili kusafisha nyota..Nani aliyekwambia Usela
unalipa...
Eeeh! Siku moja nimeTuliaa LightHouse pale naskizia kibreezz! Mara akapita kidemu toto Hilwaaa! Nikasema simuachi.. nikatoa noti ya 10000 nikaandika no. Zangu ( 06838546 ♡♡) alafu nikamuita pphsss...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.