Caroline Kiyoki: Niaje James?
James: Poa Caro, za Kenya?
Caroline Kiyoki: poa. You are lost au uko kwa campaign ya Tz?
James: hapana,
Caroline Kiyoki: Ati nikuulize kitu?
James: Yap...
unamtongoza demu kwa meseji150 na humpati halafu linatokea zee moja na meseji yake moja tu ya tigo pesa linampata
Ndo utakapokumbuka kujaza booklet kwenye mtihani sio kupata A
☝
Unamwambia nini mpenzi wako
baada ya match kuisha???
Know the power of the two
words....POLE....na ASANTE!
Sio unanyanyuka tu na kuwahi
boxer utadhani umetoka kuvua dagaa.
Ndio, MEN,naongea na nyie!
Kuna wasichana wanamakusudi sana,Wanajua kabisa
wewe unaishi Uswahilini na chumba unacho kaa
hakina siling-Bodi ila cha ajabu sasa badala ya "kutoa
chozi" kuendana na Mazingira wao Wala...
*_KANISANI_*
_Mchungaji alisema;_
*_FANYA JAMBO MOJA LA KUMSHANGAZA MUNGU._*
_*Dakika mbili nyingi,Jamaa mmoja akakimbia na kikapu chenye sadaka!*_
[emoji86] [emoji86] [emoji86]
Mungu ana akili sana alivyotuumba,laiti kama Miili
yetu hii ingekuwa kama Housing za Nokia Kitochi,the
more unavyotumia ndo Button zinaumuka kama
Mimba ya Mjusi sijui ingekuwaje Maana kuna watu ni...
Kupiga Picha na Mandela hakukufanyi na wewe uitwe
Mjukuu wa Madiba,utabakia kuitwa mgogo wa
Hombolo tu...Kuitwa kwako Baby kusikufanye
ubweteke na kujiona umemaliza kazi,Kuitwa Baby ni
mwanzo wa...
Wanawake wa Dar wana Viwango vyao vya Hela..
Ukiwa unampa 50,000-90,000 utakuwa unaitwa Jina
lako tu, Good morning Kelvin..Hallow Kelvin How is
your Day...Goodnite Kelvin.
Ukiwa unampa kati ya...
Nataka kujua sifa za mwanamke mrefu na mwembamba maana nawapenda sana wawapo sita kwa sita na pia sio wavivu wanajituma sana kama mwenye sifa za ziada tuchangie kidogo.
Wakuu habari za sikukuu ya nane nane
Wakuu kama mnavyofahamu hali ya maisha awamu hii ya gwala imezidi kuwa ngumu, sasa mimi nawazia njia ya kupata vocha ambayo iko dukani haijauzwa lakini...
Msemo huu kwa sasa umekuwa maarufu sana katika mtandao huu, na wengi huutumia kutoa tahadhari kwa mtu/watu anayetumia maneno yote kumshtumu mtu/watu fulani kudhihirisha kuwa mtu/watu huyo/hao...
Kama wewe uko Inlove na mtu,huyu mtu asubuhi
hakutafuti yuko bize,ila ikifika usiku,tena usiku wa
manane sa6 huko ndo anaanza kupiga simu na
maswali ya kipuuzi,eti 'umelala'?Sasa unadhani sa6...
Ukitaka kumjua Msichana aliyenunua gari kwa Mkopo wa Benki au Saccos au kuhongwa gari baada ya kufunuliwa kombe wala usipate shida,we mfuatilie Aina ya Status atakazoandika tu utajua anakutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.