Nakumbuka kipindi nipo mdogo mama alinipa mfuko akanituma kwa jirani yetu mbali kidogo akaniambia mpelekee huu mfuko bibi kuna mzigo wangu atakupa uweke huku ulete!
Mimi nikachukua tyre langu la...
MUME: Darling nina kikao mkoani kesho naomba niandalie vitu please.
MKE: Dada zile nguo za baba pamoja na soksi ulifua.
DADA:Ndio nimepanga kabatini. mama anarudi chumbani na kumuomba hubby...
1ST YEAR
Nikiwa nimekaa leacture room nikimuangalia
msichana aliyekaribu yangu, niliyekuwa nikimuita
"Bestfriend"nilikuwa nikimuangalia nywele zake nzuri
na sura yake ya upole huku nikitamani awe...
Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya...
1. Unaenda shule umechelewa unakuta mwalim anakamata wachelewaj unaamua urudi nyumbani
2. Unachukua kimbegu cha ubuyu unasugua sakafuni af...
Poleni na kazi za wiki nzima Wakuu!
Ni weekend ya kurelaxxx
Nimeona leo tujikumbushe enzi zileeeee
Nikiwa mdogo nilikuwa sipendi kula chakula kingi ila nilikuwa napenda mboga kama nyama au...
Umelala usiku huku ukiwaza shida na matatizo kibao yanayokuzunguka ,halafu ghafla malaika Gabrieli anakutokea na kukuambia 'ndugu shida zako zimesikiwa sasa omba mambo matatu unayopenda...
Baadhinyanwafanyakaz wa wizara ya shekeli wameelekea dodoma kutambua mahali watakapo hamia shuhuli imeanza
Kuonyesha hali sio rafiki baadhi ya watu wameanza kugoogle *"*ntafanyaje nisipelekwe...
Katika uwanja wa vita, askari STUNTER nilijiandaa vyema
kwenda kumrudisha rafiki yangu aliyekuwa kaumizwa
vibaya sana kwa risasi na aliyekuwa kaanguka
umbali kidogo kutoka tulipo.
Captian...
Tabia zenu za kibwege bwege sijui kula bata,
Misemo yenu ya kike kike cjui vepee cjui ni shidaaaaa,
Mambo yenu ya ushirikina na utapeli na wizi wa vifaa vyetu vya magari,
Sijui tabia zenu za...
Dah yani leo nimegundua vitu vitano vinavyonifanya ni furahie maisha ni:
1.Chakula.
2.Pesa
3.Umeme
4.Internet na
5.Sex
Hivi vitu vimekuwa kama nguzo kwangu, kila siku lazima niviwaze au...
Siku ya saba sasa umevaa boxa ile ile. Kila
unapotoka kuoga unainusa tena ukijua kabisa
kwamba hali ishakua tete.
Hivi tatizo ni nyotaaaaaa au sabuni za kipande
zimeisha kwenye duka la mangi...
An American tourist asked a boat guy in Zanzibar,
Do you know Biology, Pyschology, Geography, Geology or Criminology,
The boat guy said, No. I don't know any of these"
The tourist then said "What...
Hii ndio lugha ya mzazi kwa mwanae aliefaulu kidato cha sita.
Saa 6:00 AM
baba: Mwanangu, unaamka sasa hivi au unalala lala kidogo?
mtoto:Hapana baba nimechoka nitaamka saa 5, jana nilichelewa...
MKE: mpenzi naomba elfu tano nikanunue nyama buchani,
MUME: twende huku chumbani wakaongozana hadi kwenye kioo akaonyeshea sh elfu 5 kwenye kioo nakumwambia mkewe unaiona ile sh elfu tano kwenye...
Salaam kwenu wana jf,
Nawaza tuu ikitokea mmiliki/wamiliki wa jf akaamua kuifunga hii blog afu akaitisha mkutano mkubwa wa wana jf wote tukajitambulishe, mfano tunaingia uwanja wa taifa panawekwa...
Did you know if u bath at least twice daily,avoid alcohol avoid smoking tobacco and bhang go to gym everyday for fitness,have sufficient sleep eat fruits after each meal avoid stess stop using all...
Habari za jumapili wana MMU.
Unaweza kua umekaa na mwnamke mko wawili mnaongea mambo ya kawaida alafu sketi yake au gauni linaaacha sehemu ya mwili wake hasa mapaja.... wewe unaona tuu kawaida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.