Ukiona Mwanamke ni Mzuri Sanaaaa,yaani SURA
KALI....SHEPU HILOOO...MIGUU YA UKWELI..AMESOMA
VIZURI..Yaani unahisi kama KAPENDELEWA KILA KITU
jua kuna kitu kimoja tu somewhere hakiko...
Nakumbuka enz za campus hapo nishatwaa Mr chuo chetu..Dah arfu unajua mimi mvivu wa gym sanaaa..Hapo kuna mablazamen fran hivi wana miili kama baunsa wa daimondi..Asee nshapitiaga madem zao..Kuna...
Unaomba kazi ukiwa na vyeti vyote...umefaulu
vizuri...Una-Qualify kabisa kupata hiyo kazi....Baada ya
Interview Bosi mmoja anakufuata anakwambia Kazi
Uliyoomba unaweza kuipata ila umechemka...
Habari za leo.
Mimi nimekua nikitafuta kila njia ya kutambua namba zilizopo kwenye vocha bila kukwangua nashindwa.
Ila nimepata wazo kwa taaluma yangu ni daktari niko hospitali ya wageni hapa...
Tanzania Daima: Lissu awafundisha sheria mawakili wa serikali.
NIPASHE: Kibatala tishio, mawakili wa serikali wamgwaya.
MWANANCHI: Nchi yasimama kusikiliza kesi ya Tundu Lissu
MTANZANIA: Lissu...
Ebwana wanaJF Mzuka!
Ndoto yangu ya kuwa milionea (intems of €£$) kihalal ipo palepale ingawa inachelewa bado sijakata tamaa. Nitatumia kila aina ya mbinu niwe milionea kihalal.
Natamani...
Kuendelea kuwa na mawasiliano na Mpenzi wako wa zamani ni sawa na kutembelea muwa kama fimbo, ipo siku utautafuna tu....
Ni mtazamo tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jana nilikuwa naranda na rafiki yangu sehemu tofauti tofauti mara akatokea mdada mzuri sana, nikajitambulisha jina langu na yeye akaniambia jina lake. Bila ya kuchelewa nikamuomba nitoke nae...
Wakuu poleni na harakati za kutafuta tonge ili mikono ipate kuingia kichwani!!
Hivi wakuu!! Ni njia gani ya kutatua maisha tofauti na kutafuta pesa!!ushauri wenuvtafadhali!!!
Huyo Mpenzi uliyenaye unampenda KWA JINSI
ALIVYO Au Unampenda Kwa sababu ya ALIVYO
SASA?
Wewe unayejifanya unaahidi na kuapia,I love you
baby,with all my heart,I will never love you or cheat...
You had just ordered a pint of beer when
you were taken short and had to rush to the toilet. Before leaving,
you spat into your pint and announced loudly, “That’s mine.”
A bloke next to you also...
Anaju akabisa kidume chake alichokichagua hali yake
sio nzuli ni ya mgegedu..Lakini akalidhika na Ndizi
kisukari..
Sasa Mmefika Kwenye Mechi Anatoa Amri Ambazo
Haziendani Na ndizi...
Wakuu
Hapa kitaa kuna dada mmoja ni stookipa wa kampuni moja ya vifaa vya hardware. Huyu dada kanifuata tangu wiki 3 zilizopita ili nimfundishe twisheni ya Baiolojia, Kemia na Fizikia maana ana...
I love women..!
Wanawake ni sehemu kubwa ya jamii yetu,ni mama zetu,dada zetu n.k, lakini kwa hili la kukaa vibalazani na kupiga umbea no no no i don't like it!
Kuna vitu vingi vya kufanya ni...
Kuna Wasichana Wanajifanya wataalamu sana wa
Mapenzi kitandani wanataka kujaribu kila kituuu
waonekane wamo lakini wapi... Wakifika kitandani
hawatulii, wanazungusha kiuno kama feni ya bar.. wako...
Kuna Wanawake wana balaa utadhani wanatembea
na Ramli ya Mganga,usiombe awe ndo mchuchu wako
Mtagombana deile wanajifanya wanajua kukagua
kuliko maafisa wa TRA Makao Makuu Msipoonana wiki
2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.