Nakumbuka kipindi hicho redio ilikuwa inatangaza mpira wa simba na yanga sasa tukawa tunasikiliza, mimi nikamuuliza mzee mmoja sasa simba anacheza mpira na huyo yanga!!vipi huyo yanga hamwogopi...
Histori ya haya mashine.
Haya mashine yalizinduliwa mwaka 1890 huko taifa la Bulgari na kuanza kufanya kazi mwaka huohuo. Historia inasema yalipelekwa India kwa muda wa dakika kumi yalikamata...
OMBA OMBA Ni JEURI kinoma..
wameshafukuzwa DAR na SERIKALI zaidi ya mara 10 warudi kwao DODOMA wamegoma mpaka SERIKALI imeamua yenyewe Ndio ihamie DODOMA.
[emoji125] [emoji125] [emoji125]...
Mlevi: Halooo!! Hapo ni kituo cha polisi????
Polisi: Ndiyo, tukusaidie nini?
Mlevi: Kuna wizi umetokea. Nilipaki gari langu baa,nimetoka nakuta usukani, dashbod na kiti cha dereva havipo...
Usione watu wanapenda kuvaa High Heels hata
kama kaalikwa kwenye Ubarikio..Kipai
mara.Komunio.. ye anagonga high heels tu.. Sio kama
Wanapenda..Wengine zinawasaidia angalau
waonekane nao wamo...
Wakuu m nataka ntoe ya moyon Leo,Kama Na ww unalo lako moyon utatoa coz unaruhusiwa Na katiba iliyopo..
Kiukweli serikali ya mkemia inakurupka,maana inakimbilia kufanya mambo yasiyo Na faida...
Ni hivi wakuu nimerudi nikakuta beki 3 ameendaa maji ya kumwogesha mtoto!! Sasa ile amemwagia maji mgongoni yale maji yalivyo ya baridi amezimia!!nikajikuta na mimi nimemzaba kofi yule beki 3 nae...
Jana ndio siku ambayo safari ya mwisho ya marehemu david wakati hapa duniani ilihitimishwa. Kwa kweli jinsi televisioni ya taifa ilivyoipa coverage hii safari, binafsi haikunifurahisha. Pamoja...
Jamani waungwana!
Kwa wale mlioko Mwanza; kama ikiwezekana tufanye mpango tuonane viwanja vya Nyamhongoro ambako maonesho mbalimbali yanaendelea. Kwa jana nilienda na kujifunza mengi lakini kubwa...
Masai mmoja alikaa kivulini ghafla panya akaingia mdomoni hadi tumboni ikabidi masai apige simu kwa dokta wa kimasai maongezi yakawa hivi!
Masai"dokita wakati mekaa hapa panya kasama mdomoni hadi...
Kuna baadhi ya Wanawake wameSUGGEST Kwamba
kuna Wanaume wanahitaji kuvaa BADGE ya LENA
(Learners) kwenye Zipu kwa sababu Hawajui Mapenzi
na hawataki waambiwe hawajui wala hawako tayari
wafundishwe...
Jamani folks, mi uwa namkubali sana nyani ngabu kwa ngeli yake kwani huwa inanibidi nitafute dictionary. Hivi monkey ngabu unafanya kazi pale british embasy au mwalimu wa internatonal school au we...
Zuzu alioa mke mzuri sana mpaka watu wakawa wanateta namna Zuzu alivyompata mrembo huyo.
Mara baada ya miezi minne na nusu mke wa Zuzu akajifungua mtoto wa kiume. Zuzu akazusha kweli:
Mume...
Habari zenu jamani Jf,
Ni kama swali la kizushi ukilichukulia poapoa lakini lina maana kubwa sana.
Kuna ulazima gani unapoenda dukani kununua chupi unataka za rangi tofautitofati wakati muhusika...
Wakuu poleni na shamrashamra za kujiandaa kuhamia Dodoma kwa watakao bahatika.
Husika na tittle hapo juu naomba kujuzwa hii midadi hua ni nini maana na jiandaa kwenda kupiga xyray ya mbavu maana...
MKULIMA mmoja alikuwa anafuga kuku wa kienyeji.
Alikuwa na majike 25 jogoo mmoja. Baada ya kuona
jogoo amekuwa mzee akaamua kununua jogoo jipya.
Ile jogoo mpya kufika tu kukawa na mazungumzo
kati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.