JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
kama huna pesa wewe ni mchaga uchwara. kama unategemea mvua wewe ni mkulima uchwara. kama huna begi lenye picha ya Bob Marley wewe ni msukuma uchwara. kama unalipa kodi zote wewe ni...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
''mimi nataka Mwanaume awe mtanashati, awe Na Kazi yake ya Kueleweka, awe na Pesa, awe ana gari,awe amesoma soma May Be Chuo hivi hapo Sawa Vingnevyo tupa Kulee,'' Madem wa aina hii utakuta...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Mademu wengine wana lawama...Wakisikia Boyfriend wake AMECHEAT atapiga kelele...atamsuta "Umekosa nini Mwanaume huridhiki,Utamaliza Nyama bucha Ileile,kwani mi sikupiiii,si nakuuliza wewe Hasidi...
28 Reactions
79 Replies
8K Views
*Mume:* nisamehe, naomba turudiane mke wangu *Mke:* una kikombe hapo? *Mume:* no! kwanini? *Mke:* kachukue kikombe jikoni *Mume:* sawa, nishaenda chukua, sema! *Mke:* kibwage kuanzia juu mpaka...
6 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari za muda huu wana jamii forums! Sio kwa kusudi la kuwashusha heshima wala kuwadhihaki ila ni kwa vituko vyao walivyovifanya ambavyo mpaka leo ukikumbuka unacheka au unathamini sana...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
1) Wanaweka simu zao kwenye mapochi makubwa halafu ikiita anaanza kuitafuta hajui inaitia wapi! 2) Siku zote wao wanabeba mapochi makubwa (hand bag) ambalo amejaza makororo kibao ambayo hata...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
TAHADHARI KWA WANAUME WA DAR MNAO HAMIA DODOMA! Tabia zenu za kibwege bwege sijui kula bata, Misemo yenu ya kike kike cjui vepee cjui ni shidaaaaa, Mambo yenu ya ushirikina na utapeli na wizi wa...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
nimebahatika kufika stend mbeya apa bahati nzuri bus nililokata tiketi kwenye siti kaja mtoto mkali balaa yaani tumeanza stori mpaka natamani tusifike safari imekua fupi sana ila tatizo sasa njian...
8 Reactions
118 Replies
9K Views
Jamani, neno "Nyoko" ni tusi...tena kubwa tu, nimeshangaa mwaka 2014 limekua sifa na hadi kuimbwa kwenye nyimbo na kupigwa redioni na kwenye TVs, saivi mtu akikwambia ww ni nyoko ati anamaanisha...
1 Reactions
67 Replies
18K Views
Sister duu kashika mimba makusudi ,kalea mimba kwa manung'uniko ,kajifungua kwa bahati mbaya na analea mtoto kwa swagger ,mtoto anaona visivyotazamiwa kuonwa na anasikia vitu ambavyo alivyotakiwa...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
*Mke na mume wamelala kimya kitandani. Kila mmoja yuko kimya.* Mke anaanza kuwaza kimoyo moyo; Hivi huyu mwanaume mbona haniongeleshi? Au anamfikiria mwanamke mwingine? Kampata mwanamke mwingine...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
U. Ukitaka K .Kuvunjwa U .Uti wa mgongo T .Tarehe moja A .Andamana [emoji121][emoji121][emoji121] September 1 is coming. My brother I will be next to you in the front line.
3 Reactions
5 Replies
2K Views
MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakununulia gari MKE: Sitaki....mtoto wao aliyekuwa kalala alisikia haya maneno ya mwisho MTOTO: Baba...
4 Reactions
12 Replies
3K Views
Mteja: habari Muuzaji: nzuri Mteja : shati sh. Ngapi? Muuzaji :20000 Mteja; punguzo Muuzaji; halipungui Mteja : sina naondoka Muuzaji: ahsante karibu Mteja; naondoka Muuzaji; poa ondoka tu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wana jf, tujikumbushe kidogo ni kitu gani kilikuumiza sana ulipokuwa mdogo na hadi ulipokuwa unakua uliendelea kukikumbuka na kikawa kinakuumiza, mfano mimi nikiwa na miaka 6 kuna jaamaa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" atakuelewa ila mwite kwa kiswaili " kiazi wangu mbatata"hiyo itakuwa vita ya tatu ya dunia [emoji13]...
4 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari gani waungwana..? Kumekuwa na watu ambao wakipokea taarifa mbaya huwa wana panic na wengine kupelekea hata kufa so hili ni tatizo. Kuna kupanic kwa kawaida ila kuna wengine duh! Wana zimia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MKAKA: Sweety mambo? MDADA: Poa asante MKAKA: Samahani dada, mimi ni kijana ambaye nimekuwa nikikufuatilia kwa muda sasa, na nimegundua wewe ni mtu ambaye ningependa uwe mke wangu niishi nawe...
0 Reactions
8 Replies
852 Views
Wanajamvi Kwanini ukinywa pombe alafu ukalala hauoti ndoto, ila ukivuta bange unaota?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…