JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Leo nimeamka nimechoka sina pesa afu nilikuwa nahitajika mbali kdogo na hapa nilipo. Kwenye mpesa nilikuwa na balance ya sh 11000 hv. Baada ya kutoa nakuta salio lililo bakia no sh laki 3na 40...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Siyo kama naifufua.nataka nijue tu mwisho wake. Iliifanya chit chat kuwa kijiwe cha kipekee. Lady doctor wa Arushaone Vs The secretary wa Bishanga.. Nukuu: Alianza mke wa Bishanga... Kuna...
12 Reactions
172 Replies
12K Views
Jaman wadau mnaoishi kimara hii folen ya Leo kuna nin huko maana toka y Ubungo Maji folen imekamata mpka hapa mataa ya bucha kwa mlio huko mbele mtujuze nin shida
1 Reactions
2 Replies
820 Views
Natafta mchumba wa kike
0 Reactions
1 Replies
664 Views
Yule mtoto shoo rangi ya jogoo aka Dinazarde au ukipenda muite Mkaanga Samaki au beki tatu ndo huyu hapa. Na wigi lake sijui la zambarau hilo na jeans yake ya mchaniko....akinenguka nenguka...
0 Reactions
104 Replies
17K Views
Hii Tabia Ilianza Kidogo Sana Ila Kadri Siku Zinavyoenda Sasa Imeota MIZIZI Huku Ikileta Sintofahamu Katika Jamii. Imegundulika Ya Kwamba Wanaume Wengi Sana Siku Hizi Wameanzisha Tabia Ya...
6 Reactions
179 Replies
28K Views
Unapewa number na demu halafu anakuambia uwe unampigia saa 12 asubuhi pekee, unashindwa kuelewa na kujiuliza maswali mengi ni kwanini? Kidogo kidogo unachunguza na kugundua kuwa amekusave...
5 Reactions
8 Replies
2K Views
HABARINI MABESTITO WA UKWEEEEEEEEEEE NIMEONELEA NIWEKE KIUZI HIKI KUWAKUMBUKA WALE WOTE TULIOKUWA TUNACHAT KILA DK HAPA CHITCHAT MPAKA WAKASEMA HII NI SEHEMU YETU SIYE WAKONGWE MPAKA NA...
4 Reactions
29 Replies
2K Views
wanajukwaa kwa wale wa enzi zetu za primary, hivi Musa na Neema na mdogo wao Baraka saivi watakuwa na umri gan??
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Tuwafanyie annivessary ya 10 years. ma-mods tusiwaweke.
6 Reactions
53 Replies
5K Views
Ni muda mrefu kidogo umepita bila kuona comment ya mwenzetu wa jamiiForums miss chagga Any news please
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari! Leo katika safari zangu nimekutana na mdada yupo na hii ndinga yake; imebidi nipishe kwakweli, maana sasa wanawake inaelekea mmeamua mbwai iwe mbwai!
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za mihangaiko wanaJF. Kuna kitu wasichana itabidi mjifunze binafsi kimenikera sana mtu unamtafuta au unambip zaidi ya mara4 anakupigia anakuuliza in a good way majina yako na sehemu...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu poleni na mishughuliko ya hapa na pale!mi nilikuwa nauliza tuu hivi ni kwa nini askari polisi kitengo cha F.F.U huwa wanavaaga miwani meusi ile ya kutishatisha???hivi ni kwa nini yaani...
0 Reactions
9 Replies
878 Views
Upo club kidogo kidogo pale club unadance solo...Mara gafla kademu kanakusogelea kukutabasamia.... Unaanza kushukuru sir God umepata wa kucheza nae....mnacheza Kaka 30 minute then kanakunongoneza...
5 Reactions
10 Replies
2K Views
Niaje Wazeiyaaaah... Mko Bwaxx.... Ebana katika majukum yetu haya ya ukandarasi nikajikuta (nikabahatika) majuz kufika USA. Nisiwe na porojo sana, ni kwamba the way nilivokua napackia palivo...
2 Reactions
29 Replies
4K Views
Back
Top Bottom