JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hbr wanajf hasa wa jukwaa hili! Niende kwenye mada husika, leo asubuhi nikiwa naendesha gari nikitokea mlima city kuelekea sinza madukani kupitia makaburini, nilipofika maeneo ya makaburini...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Hey, Nimekuja zanzibar na saa hii nipo hapa kwenye hili Tamasha, ivyo member yeyote ambae yupo kwenye hili tamasha la filamu hapa zanzibar hebu tuchekiane hata kwa PM
0 Reactions
7 Replies
939 Views
Mbwa koko wawili walikuwa wanasaka chakula kwenye jalala mara ikapita Land Rover ya FFU na ndani yake kuna mbwa wa Polisi; Mbwa koko mmoja akaangalia kwa uchungu kisha akamwambia mwenzie...
4 Reactions
2 Replies
37K Views
A Japanese ship is on route back to the shore from the Atlantic Ocean. Seeking the silent waves, the captain decides to take a shower. He keeps his Rolex and diamond studded gold bracelet on the...
3 Reactions
32 Replies
5K Views
[emoji835]_*Kuna mgonjwa Wa matatizo ya akili kwenye Hospitali ya Mirembe alimkimbiza daktari huku ameshika kisu kikali. Daktari alikimbia sana huku akiwa na hofu kuu. Hatimaye, akafika mahali...
10 Reactions
21 Replies
4K Views
Siku nilipogundua bangi sio mchicha ni pale ambapo nilitoka ndani kwenda kutoa pesa kwa M-pesa nikiwa na remote ya TV,nikaacha simu ndani... Nilipofika kibanda cha M-pesa na remote ya TV mzee...
3 Reactions
0 Replies
937 Views
.
1 Reactions
8 Replies
838 Views
kabla ya huu mfumo mpya nilikuwa na likes zaidi ya 1500. ulivyokuja huu mfumo nikajikuta zimebaki 0 ilhali posts na likes nilizotoa zikibaki vilevile. JF sitaki ugomvi na nyie, ninachotaka ni...
12 Reactions
29 Replies
2K Views
* Eti Reginald Mengi anamwita Godwin Gondwe "MHESHIMIWA" [emoji124] [emoji124] *
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kipofu mmoja aliingia mgahawani huku amevaa miwani mweusi. Baada ya kukaa, kaka mmoja mhudumu akaja kumsikiliza na kusema "nikupe chakula gani au niletee menu uchague mwenyewe?" Yule kipofu...
6 Reactions
16 Replies
4K Views
Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa siku na muda husika 1. UGALI NA KUNDE Mwitaji : Joniiiii Mwitikiaji : Eeeh Mwitaji ...
5 Reactions
10 Replies
2K Views
Msomi na Mjinga walienda katika usaili, walipofika kabla hawajaingia wakakubaliana aanze Msomi kisha akitoka ampe majibu Mjinga ili wote wapate kazi. Basi Msomi akaingia na maswali yakawa hivi:-...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Namshukuru Allah Muumba Ardhi Na Mbingu Kwa Kuniwezesha Kuamka Tena Siku Ya Leo Mzima Wa Afya , Naomba Utujalie Tuwe Wenye Afya Njema ...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Girl : I want to show you something Boy : Okay Girl : Can we go inside the bedroom? Boy : sure , we can Girl : Can i off the light? Boy : Go on Girl : Can i close the curtains and windows? Boy ...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
In October 2012, I started my degree. And after four years of huffing and puffing, Iam done with it Nimejifunza mengi, changamoto nyingi pia kujuana na kufahamiana na wengi. Congratulations to me...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Ndugu wanajamvi, Nimesikia uamuzi huu mkesha wasikuu wa jana nimekunywa bia takribani 15 (castle lager) KB Tabata Bima. Aisee nilimpata mtoto mmoja mzuri sana anasoma chuo cha ualimu St Merry...
5 Reactions
64 Replies
6K Views
1:Sipati picha siku moja hv tuamke tukute maji yote baharini tukute hayapo 2:sipati picha siku gorofa la tanesco tukute halipo na lisijulijabe limeenda wapi 3"sipati picha siku tuamke asbh tukute...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Kila ukinywa bia 1 umekunywa tofali 2 za kujengea. Bia 1 kwa bei ya kawaida ni Tsh.2500/= na tofali 1 la inch 6 kwa maeneo mengi ya nchi ni bei isiyozidi. Tsh.1300/=. Kama unakunywa wastani wa...
8 Reactions
52 Replies
6K Views
Back
Top Bottom