JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Tupeane uzoefu kwa wale ambao tayari wamesha do,na wale ambao bado watuambie wana picha gani juu ya tendon hili nyeti
0 Reactions
69 Replies
10K Views
Njia za kujua kama umri umekwenda:[emoji12] [emoji12] [emoji12] 1. Ikiwa unafikiri ya kwamba 208 ni mia mbili na nane, bac jua umri umekwenda. Hiyo ni TUONANE 2. Kama unadhani 10Q ni kumiQ...
9 Reactions
23 Replies
3K Views
MAZUNGUMZO YA WALIOACHANA KWENYE SIMU Mume: nisamehe, naomba turudiane mke wangu Mke: una kikombe hapo? Mume: no! kwanini? Mke: kachukue kikombe jikoni Mume: sawa, nishaenda chukua, sema! Mke...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Mchungaji katika mahubiri yake akasema...kama ningekuwa na uwezo..bia zote ningezitupa mtoni,akazidi kuongeza na konyagi zote ningezitupa mtoni,hakuishia hapo akasema hata...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
JAMAA aliingia mgahawani na kuagiza wali kuku, sikia ilivyokuwa; Mhudumu: Tukuhudumie nini? Jamaa: Niletee wali kuku, weka na pilipili. (baada ya kuletewa) Jamaa: Oya, mbona huyu kuku ana mguu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu poleni na weak and Mimi nina rafiki yangu wa karibu sana!! Yaani ni mtu wangu wakaribu sana kiasi kwamba chake changu na changu chake! Sasa wakati leo naelekea zangu stendi gafla nikakutana...
1 Reactions
42 Replies
4K Views
pitia hapa mdau
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Shukran kwa JF ' saizi maisha yangu yamechange in 3days ' ule mganga ni moto kama pasi ... budangu ashakoma mimi ndiye kingi wake ...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Al-Ijumaa ndo hiyoo inaikaribisha al- juma- mosy kama huna mana eleka mawe. Nikiwa kwenye kingo za bahari nimeimbiwa hivi na dadii.................. I wanna love you and treat you right; I wanna...
3 Reactions
54 Replies
4K Views
Am proud when my ex-galfrnds get married, it shows that my relationship academy is doing extremely well coz it produces women that can be wives. Anyway for those interested september intake is in...
3 Reactions
2 Replies
978 Views
Huu uzi kwa wadada wa jf tunataka kuvunja mabishano ya nani zaidi kati ya Wanaume wa Dar na Mikoani. Wadada ukiambiwa uchague kati ya mwnaume wa Dar na Mikoani yupi utachagua kwanza? Pia Wanaume...
1 Reactions
40 Replies
3K Views
Nina mpenzi wangu ambaye nimedumu naye muda mrefu sana na nilikuwa na malengo ya kumuoa kati ya mwakani au mwaka unaofwata ila kuna tatizo limenitokea muda huu hapa na hilo tatizo ndo limenifanya...
3 Reactions
135 Replies
8K Views
leo ni siku ambayo nimekutana na rafiki yangu kipenzi. Basi akaamua kunipeleka viwanja fulan hapa dar! Nikamwona rafiki yangu akiagiza bakuri mbili za supu! zikaletwa, kuzichek nikakuta ni supu...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Injinia aliulizwa kuna tofauti gani ya kiufundi kati ya welding (kuchomelea) na wedding (harusi)?? Akajibu. sio kubwa zote ni viungo(joint) ila katika welding kuna cheche kwanza halafu ndo...
4 Reactions
3 Replies
2K Views
Mademu wengine wana lawama...Wakisikia Boyfriend wake AMECHEAT atapiga kelele...atamsuta "Umekosa nini Mwanaume huridhiki,Utamaliza Nyama bucha Ileile,kwani mi sikupiiii,si nakuuliza wewe Hasidi...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamaa alikuwa kanisani,jirani yake akamnong'oneza "kwa uwezo wa Mungu leo utatembea".....jamaa akafikiriaaaa "mbona sina ulemavu wa miguu?" Lakini akaona hamna noma,labda Mungu anataka kufanya...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Mvulana: Hivi Mama nikifikia umri gani ndio nitaanza kuwa huru, naenda ninapotaka na kufanya ninachotaka na ninarudi muda ninaotaka na wewe mama huniulizi kitu? Mama: Babaako mwenyewe hajafikia...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana jamvi mimi mwenzenu same time hua nakaaa najiuliza maswali nikiona sipati jibu ndo nawashirikisha kwa kupata ufafanuzi zaidi maana naaminigi sana j.f. kuna zaidi ya vichwa!! Swali lenyewe ni...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu karbuni katka thread hii ya kibabe, thread ya kuwachana wote wanaozingua.. tuwe wakweli Na ujumbe uwafikie wanao husika..!! Mm nianze Na hawa mastaa wabongo wanao jifanya wanajua kizungu...
0 Reactions
0 Replies
928 Views
Wana jamii tafadhali naomba kufahamu kiwango cha elimu cha Kibonde na Regina wa clouds FM kipindin cha jahazi
0 Reactions
52 Replies
8K Views
Back
Top Bottom