Of koz asilimia kubwa ya watanzania hawajawahi kutoka nje ya nchi hii....Tukiachilia mbali wale wa mikoani ambao hata kukanyaga mjini (dar) hawajawahi kwa hasira wakaamua kutusema wanaume wa...
Habarini Wadau,
Nimetafiti Individually then nikagundua kuwa kwa mazingira ya maisha yetu kimjinimjini,kuna tofauti zifuatazo :-
1) Flat screen ladies, wao ndio wanaendesha migari ya maana na...
Kichaa mmoja kapiga cm hospitalini
KICHAA:halooo samahani eti chumba namba 17 kina mtu
NESI MAPOKEZI:subiri nikaangalie
KICHAA:pouwaaaaaaa
NESI MAPOKEZI:nimekwenda kuangalia hakuna mtu,kwanini...
"Kuingia darasani sio kwenda shule"
Falsafa hii inathibitika pale yule anayejiita msomi anaposhindwa kujitambua katika jamii wakati jamii inamtambua kama msomi.
Napenda kutoa pongezi kwa wana JF...
Kuna mmachinga mmoja likuwa akimnyima raha mchina
mmoja maeneo ya Kariakoo,jamaa kila akifika kwenye
hotel hiyo ya mchina huwa anamuongelea ovyo tu
mvimba macho huyo.
Mmachinga: nyie wachina wote...
[emoji117] Kijana wa miaka 17 nchini China ana shahada
ya Udaktari
[emoji117] Kijana wa maika 17 nchini Japan ana shahada
ya makenika
[emoji117] Kijana wa miaka 17 nchini Marekani ana utajiri...
Najua am not growing any younger, and you are not too, am praying, plz God help me with my health, my family and friends, orphans and widows, bless others like how you blessed me, bless me like...
Kuna mzee mmoja alitembea na mwanawe na hatimaye akampa mimba kutokana na mila na destur alikamatwa na kupelekwa mahakmani aliulizwa kwa nn alitenda mambo. Ya ajabu na aibu
Jibu. Samahani bwna...
Kichaa mmoja kapiga cm hospitalini
KICHAA:halooo samahani eti chumba namba 17 kina mtu
NESI MAPOKEZI:subiri nikaangalie
KICHAA:pouwaaaaaaa
NESI MAPOKEZI:nimekwenda kuangalia hakuna
mtu,kwanini...
Kwa nini mimi sipendi jua b'ze, huwa nalichukia sana jua pindi linapowaka hii ina maana linanikosesha biashara yangu ya MIAVULI kuuza, kwani week hii biashara ilikuwa mzuri kwa siku nauza miavuli...
Jamani uoga mwngne tena... Familia moja ilivamiwa na majambaz.
JAMBAZ: Ww mama unaitwa nani?
MAMA: Mm naitwa Asha
JAMBAZ: Unabahati jina lako km la marehem mama yangu hivyo sikuuwi, na ww baba...
Jirani zetu wanasifika sana kwa haka ka tabia ka kutumia rasilimali wanyama kwa jinsi ya tofauti na ilivyo kawaida.
Ila nina muda sana sijasikia skendo kama hizi kutoka kwao.!
Ninajiuliza...
Ilikuwa siku ya jumamosi nimekaa kijiweni napiga stori na wasela, mara akatokea demu wangu wa zamani. Nilimfuata na kuongea nae mamwili matatu huku tukicheka kwa furaha ya kuonana tena baada ya...
Juzi jioni nmetoka zangu town nikapita mitaa ya kona bar mida ya saa tatu hivi. Muda nao ulikuwa umeenda kiasi ila nikawaza kila siku nasikia changu changu leo ngoja nijipatie hata mmoja nionje...
Nimeamini hawa viumbe wanapenda pesa.
Kuna mwanamke mmoja anafanya kazi benki hapa dar es salaam kama teller tunatoka mtaa mmoja, ni mzuri sana. Ana mkia na kiuno cha nyigu, sio bonge na mfupi...
Mambo!
Nawaandikia kuwaaga wana JF wenzangu.
Nilikuwa likizo ya mwezi mmoja lkn kuanzia kesho natakiwa kuendelea na kazi kama kawaida, hivyo sitakuwa na nafasi kuuingia humu Mara kwa mara hii ni...
Za wakati tena wanajamvi!
Leo najisikia unyonge moyoni mwangu sijisikii kuchangamka kama nilivyozoeleka.
Najisikia kulia nikikumbuka madhambi yangu hasa ya uzinzi.
najisikia vibaya..bilashaka...
Wakuu kuna hili suala la wanaume wa dar naona limeshika kasi sana, kwanza ifahamike kuwa dar ni kubwa na si vizuri kutuhukumu wanaume wote wa jiji hili maarufu Afrika mashariki na kati. Lengo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.