JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wasukuma, Wapemba ,Wangoni, Wanyaki, Wakurya,Wanyiramba,na Wahaya ndo Kabila zinaongoza kwa kuwa na viongozi wengi Serikalini kwa sasa. Nipe maoni yako, Je, sababu ni nini?
6 Reactions
56 Replies
3K Views
14 Reactions
35 Replies
932 Views
Hakika baada ya mji wote kuteswa na kunyanyaswa na DANGOTE Kijana aliyezaliwa mwaka 2005 Nachelea kusema Wanawake na Wanaume wa ARUSHA wote ni ma ZUCHU tu Yule mtoto alikuwa sio wa kusumbua...
6 Reactions
27 Replies
785 Views
Kuna mda mafanikio yanahitaji Fikra tofauti, na fikra au mawazo ya kawaida kabisa ya watu wengi juu ya jambo au maamuzi fulani. Ndio maana hii leo kuna watu wanatafakari nakutenda kitofauti lengo...
0 Reactions
0 Replies
170 Views
Wanawake wenye muonekano wa kawaida huwa wanaingia kwenye ndoa na zinadumu sana sijui kwa nini, Angalia hata wake za marais hawanaga mambo mengi , hawa maslayqueen sijui wana tatizo gani[emoji3]...
8 Reactions
37 Replies
1K Views
After the President of the United Republic of Tanzania, his Excellence Jakaya Mrisho Kikwete failing to execute power in his highness, we hereby announce an open auction which will be held in Dar...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Enjoy
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mi nimegota kwa cacico wewe je?
1 Reactions
306 Replies
14K Views
Wachagga, Wasukuma, Wakurya au? Tujadili pombe za makabila mbalimbali na stimu zake
0 Reactions
48 Replies
7K Views
Baniani mmoja alikuwa jela na sanamu wake wa kuabudu;kila siku akawa ana iabudu na kuiomba atoke jela. Kwenye chumba hicho hicho kulikuwa na muislam naye akawa anasali na kumuomba mungu atoke...
5 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu zangu hii hali ya lugha ya malkia mbona inanchanganya sana. Unakuta kwenye interview msahiliwa msomi kabisa, ata introduction tu, jasho inatoka na mpaka sauti inapotea kabisa, na haitoki...
8 Reactions
65 Replies
1K Views
...Mbona ghafla kumekuwa Kimya ? Mshahara umeingia ? Mbona hatuambiani...Kwa Jinsi Ile Ile tulivyokuwa tukilalamika ? Vipi, Mambo yamekuwa Supa na Kila Mtu Yuko Bize kula Kasungura Lake ...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwanza kabisa nashukuru Mungu kwa kuendelea kunipa zawadi hii ya uhai maana Sina cha kumlipa zaid ya maombi na Sala kwake🙏🙏 ✍️Kama Uzi unavyojieleza kama WWE ni mmoja wapo umezaliwa tarehe kama...
5 Reactions
24 Replies
813 Views
Wana JF mambo niaje, Mimi nauliza eti katika haya maisha bila kuwa na SHOBO na watu hauwezi ukapata washikaji wala mademu? Au hata mchongo wowote ule? Mimi binafsi sinaga Shobo na watu ila...
3 Reactions
8 Replies
513 Views
Wakuu, Mzazi wako akikukosea anaombaje msamaha? Omba msamaha kama mzazi/mlezi wako anavyokuomba akikukosea. Twende kazi... ==== Unajua wewe ndio umesababisha mpaka nikakuchapa (kosa linatajwa...
0 Reactions
0 Replies
351 Views
Hakikisha una uhakika na ushuhuda wenyewe, kwamba: 1. Umekutokea wewe binafsi, Au 2. Umeushuhudia kwa mtu mwingine, Au 3. Umesimuliwa na mtu ambaye unaamini hakukuongopea. Karibu🙏🙏🙏
7 Reactions
16 Replies
1K Views
Kwa mfano binafsi sina hata follower mmoja hapa jamiiforums kama ilivyo kwa wenye wivu, chuki na roho mbaya wenzangu Dabil na Charles kilian ila nimetoka kufunya Uchunguzi wangu wa kimya kimya na...
10 Reactions
247 Replies
5K Views
Napenda kuchukua nafasi hii adhimu kwa kujipongeza kufika mwaka mwingine tena. Nawashukuru wazazi wangu walionileta duniani huko waliko waendelee kupumzika kwa amani. Namshukuru Mungu mwingi...
7 Reactions
26 Replies
1K Views
Nikiwa naelekea kuadhimisha kumbukumbu ya siku yangu ya kuzaliwa, leo mimi Madame B niko online muda huu hapa MMU. Naomba uniulize swali lolote kunihusu mimi, Iwe ni: Masuala ya Mahusiano, Masuala...
29 Reactions
2K Replies
186K Views
Back
Top Bottom