JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Believe in yourself and in yourself, you will find hope as well as spirit. Never give up and never stop dreaming.
2 Reactions
2 Replies
298 Views
Salaam, twende kwenye mada, Ukiwa kama mwanaume hutakiwi kufanya haya; 1. Kutokuwa na pesa wala kazi yoyote ya kukuingizia kipato. 2. Kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja wakati huna kipato kikubwa...
10 Reactions
16 Replies
1K Views
Nimejaribu kucheki baadhi ya members wengi wao tumechelewa sana kujoin JF japokuwa tulikuwa watumiaji tokea kitambo, kitu kinachonifanya nijutie kweli maana JF inaniumbua kama member mpya yani...
9 Reactions
262 Replies
9K Views
Hizi ni chemsha bongo tatu tu ,na atakae patia chemsha bongo zote tatu bila kukosea namba hata moja, atapata zawadi ya Vocha ya mtandao atakao taka papo hapo. Zinaenda kwa mfumo wa maswali hivo...
8 Reactions
142 Replies
6K Views
Habari za wakati huu wakuu, Ni nusu mwaka sasa tokea kuwa "The Storyteller" aliyestahili tuzo humu jukwaani. Ni muda mrefu sana umepita tokea pale nilipoifahamu na kujiunga na jumuiya, japokuwa...
15 Reactions
205 Replies
7K Views
Hata kama gari ina CC 500, bado wapewe heko wenye nayo, huu mwezi wa tisa umekua na jua kali balaa, na linanipiga vilivyo, ifike hatua sasa nitafute hata ya mil 3.5 kwakweli, jua litaniua
6 Reactions
17 Replies
654 Views
Wakua naomba nijue nifanyaje nina ndugu yangu kila nikijishughulisha na yeye hana habari namimi so wakuu nimpotezee au vipi?
1 Reactions
2 Replies
259 Views
Wakuu nimeulizwa swali hilo hapo juu. Karibu kwa majibu.
3 Reactions
69 Replies
2K Views
Iko hivi;Kuna rafiki yangu anasema mumewe hawezi kusimamisha Tena mjegeje baada ya mshipa mmojawapo wa mjegeje kuvunjika. Huyu mumewe alienda kwa mchepuko wake,Sasa wakati wa kunyanduana ndo...
11 Reactions
153 Replies
6K Views
1. Hujiungi bila kuweka namba ya simu yako. 2. Kuwa na picha yako halisi au kitambulisho cha nida. 3. Uweke malengo yako humu JF nini. 4. Uweke kazi yako halisi unayofanya naukidanganya huwezi...
11 Reactions
46 Replies
2K Views
Heloo hii habari za asubuhi vp umeamkaje kama uko fresh mshukuru Mungu ni mwema katufanya tumeona jumamosi ya leo wale wanaoenda kufanya kazi Mungu awape mahitaji ya moyo wenu Amina
0 Reactions
2 Replies
803 Views
Wakuu... Habari ya jumamosi tulivu hapo ulipo?? Umeshapata chai???? Sasa sikiliza nikuambie, Najua ulishapita shule, iwe chekechea, vidudu, msingi, sekondari hata chuoni. Kama utakua...
0 Reactions
28 Replies
1K Views
Mjomba wangu ambae amesoma mpaka darasa la nne huko mkoani Tabora mwenye akaja Dar es Salaaam kama bodaboda ila mpaka Leo ana Mwenye V8 3 Toyota Hilux 3 Harrier 2 Alteza 1 Scania za mchanga 56...
9 Reactions
29 Replies
2K Views
Bwana Yesu asifiwe watu Mungu. Mimi na mama mchungaji Joannah Katika majadiliano yetu ya kukabiliana na hali ya uchumi,tumeonelea tuanzishe Biashara ya Kanisa ili nasi tujipatie kipato kizuri...
15 Reactions
126 Replies
4K Views
Eleza wekeend yako inaanzaje leo? Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi mdogo wangu wa mwisho anazaliwa nilikuwa sijui chochote hivo nilishtukia tu mama yupo na mtoto hata kipindi akiwa mjamzito sikutambua chochote
8 Reactions
58 Replies
2K Views
Nilibaatika kusoma shule ya vipaji maalumu tu punde baada ya kumaliza darasa la saba,, uko nilibaatika kukutana na marafiki wa aina mbalimbali, Shule yetu ilikua ni ya bweni. Ambapo ilikua ni...
10 Reactions
83 Replies
4K Views
JAMAA amekuwa maarufu karibu dunia nzima kwa memes zake zenye kufurahisha. Who is this person?
1 Reactions
7 Replies
861 Views
tupia picha yoyote ya photo lab unayokutana nayo mtandaoni hapa..
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Oya wakuu niaje, Kama kawa? Aisee kama mdau wa Corner Bar nimeumia sana baada ya kwenda pale na kukuta kumebadilishwa kuanzia muonekano mpaka burudani zilizokuwa zinatolewa mfano kibao kata nk...
10 Reactions
43 Replies
4K Views
Back
Top Bottom