JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nahisi makatapera yanawasaidia sana, hivyo komaeni kuyazalisha na kuyatumia (kuyala) ipasavyo. Angalia vichwa hivi: 1. Wakili msomi Mwambukusi 2. Dr. Tulia Akson 3. Professor Mwafyenga (digrii 10)...
0 Reactions
3 Replies
393 Views
Karibu watu wote wanaofanya kazi ngumu matusi ndo raha yao. Wabeba zege, mafundi wa nyumba, mafundi wa barabara, watu wa TANESCO wanaoweka nguzo. Karibia kada zote zinazofanya nguzo kutukana ni...
3 Reactions
34 Replies
2K Views
Si JF wote tuna magari? Haya sasa njooni tuweke maujuziNataka nielekee kule kwenye miti ya mikaritusi mbele kabisa[emoji23][emoji23]
1 Reactions
0 Replies
225 Views
Binafsi, elimu yote kwa ujumla hakuna ilichonisaidia katika maisha. Mara mia hata ningeishia darasa la saba. Pmbv sana elimu ya Bongo Nina knowledge kubwa ya Electrostatic, Current na...
4 Reactions
13 Replies
332 Views
Kitambo hiyo zama za mwamba Mwalimu Nyerere Rais wa kwanza wa Tanzania Filling station zilikuwa na majina maalum kutoka nchi za mabeberu, SHELLY, CALTEX, AGIP, BP, ESSO, TOTAL, peke yake sio...
14 Reactions
37 Replies
1K Views
Kama unatumia choo cha kuflash basi... Kama cha shimo Karatasi maji... Mtihani ni pori mfuto Jani😃😃😃
0 Reactions
13 Replies
775 Views
Ni dharau gani ulikutana nayo katika maisha yako ikakufanya upambane kutafuta pesa sana?
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Wajinga kabisa! Leo nawachana. Weekend ya J2 ambayo ni jana nilikwenda restaurant karibu na pale TipTop night club. Huduma zenu ni nzuri ila wahudumu wenu wanaharibu. Niliagiza energy zangu nne...
16 Reactions
53 Replies
2K Views
Kama mada isemavyo! Tupeane Location za watoto wa mzuri karibu na maeneo ya chuo, Night clubs na viwanja mbalimbali! It's weekend on the way
2 Reactions
29 Replies
7K Views
Zari ra mentari rimenidondokea! Reo kwenye kusagurasagura kwenye mitumba nikakutana na ULISI wa wadhungu!! Maneno kidogo Ulisi ni mwingi. Kura chuma icho kabura tiiarai awajastukia Hulisi
7 Reactions
27 Replies
1K Views
Afadhari 300k yangu niliyokuwa nimeitenga kwa ajili ya kwenda kuongeza dushe imepona
6 Reactions
42 Replies
3K Views
Ni mwana mama alienikosha saana Kwa nyimbo zake za kilugha .binafsi nimemis kukuona . popote ulipo pokea Salam zang
0 Reactions
0 Replies
309 Views
Nina mgeni wangu anakuja kutoka mahali fulani, sitaki afikie kwangu. Nataka nitafute Beach House nzuri, sea viewing. Sio mbaya hata kama nikipata çlassic jungle House eneo tulivu. Iwe imezungukwa...
3 Reactions
40 Replies
2K Views
Najitahidi kushusha Hasira za tokea Jana Jumamosi Saa 12 Jioni na hadi Usiku huu wa Saa 4 leo Jumapili bado tu hazijapungua kwa Draw ya Simba SC huko Jijini Ndola nchini Zambia. Ukiwa ni Wimbo wa...
0 Reactions
2 Replies
376 Views
Ukisema ukweli wanakuona nyani. Je ni kweli wanatuona nyani kabla tuja toa tamko sisi nyani
0 Reactions
8 Replies
805 Views
Michezo ni Upendo tena Michezo ni Furaha Inasemekana ni Wachezaji ndio wamesema hawana Zawadi ya thamani ya kumpa mfadhili Wao Freeman Mbowe zaidi ya Ushindi wa Leo Utopolo FC mmetisha sana...
1 Reactions
1 Replies
651 Views
Hawa watu haijalishi wametembea nani, mpaka kesho nawapenda, 1. Jennifer Kyaka (Odama) 2. Irene Uwoya 3. Rachel Kizunguzungu 4. Nandi wa Bill Nas 5. Rachel wa mahusiano clouds Naomba wafikishie...
4 Reactions
44 Replies
3K Views
Aisee hili jina limekaa kitapeli tapeli ndiyo maana madalali wengi wamekaa kitapeli tapeli sababu ya nguvu ya jina lao. Napendekeza waitwe hata Mtu mwema/Watu wema. Hii itasaidia kubadili tabia...
2 Reactions
6 Replies
956 Views
Muwe mna vi prone basi...visichachamae sana vinatutisha mnakuwa kama Alshabaab au Boko Haram.. Hongera zenu mnaojua kuvisawazisha vizuri halafu vinywele viwe na texture ngumu hakika mnaupiga...
27 Reactions
353 Replies
9K Views
Back
Top Bottom