JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nipo hapa kaunta, napata nyama kidogo huku nimeshikilia 'glass' ya 'red wine', nikitafakari kusudi la kuumbwa ulimwengu pamoja na viumbe vyake. Sipendi kuwa mchoyo kwa sababu sijafunzwa hivyo...
9 Reactions
324 Replies
7K Views
Amani kwenu wadau Muda mrefu nimekuwa nikimfuatilia huyu jamaa kwa maana ya mshana jr na mada zake,yeye amejikita zaidi kwenye mauza uza ya kutisha na uganga na pia hutoa habari za kiimani pia...
1 Reactions
62 Replies
9K Views
Dada alivo mjibu anatoa jicho tapeli kasahau hadi kutapeli na nina uhakika yeye ndo katapeliwa
6 Reactions
31 Replies
2K Views
Mimi nimegundua star tv hawasomi habari mpaka itv waisome kwanza, ili waangalizie kichwa cha habari. Pili nimegundua baskeli iliyotolewa break inakimbia sana kuliko yenye break. Na wewe...
35 Reactions
162 Replies
8K Views
Hebu wadada wa humu tutongozeni ili tupime misimamo yetu. Shusheni vocal hizo nasisi tuanze kutafuna majani na kung'ata kucha! 🔥
17 Reactions
1K Replies
43K Views
Ukipita sehemu mbalimbali hapa nchini kuna majina pengine ulistaajabu kuyasoma ama kuyasikia, mfano kuna sehemu panaitwa GANG 48 Mkoani Tabora ni jina ambalo linakufanya utake kujua nn hasa ni hio...
8 Reactions
151 Replies
7K Views
Naam Niko mbeya Pazuri hapa From Tanga mjini to mbeya. Kiwa ja kina vibe misambwanda kama yote daaah. Ukifika mbeya usisahau kutia maguu hapa mbeya Pazuri na pale Nasoma Open Bar Mbeya...
6 Reactions
106 Replies
6K Views
Wiki iliyopita nilipita duka fulani hivi la simu nikiangalia kisimu cha kutunzia laini zangu. Jamaa walinishawishi ninunue haka ka itel ka laini 3 dah! Nataka nikamuongezee hela alieniuzia maana...
12 Reactions
44 Replies
2K Views
10001 namba hii ukiambiwa uitamke kwa maneno utaitamkaje?
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Dunia hii ina vioja vingi sana aisee!
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Inakuwa ngumusana kuzikontroo. Mana inahitaji muda uongo mwingi kutosahau kumbukukumbu nk Nilitongoza demu na akaunti tofauti akaomba picha nikampa tukazinguana kwenyehela anapenda sana hela...
10 Reactions
68 Replies
2K Views
Pamoja ya kwamba tunaweza kujiona ni wachache humu kulinganisha na population nzima ya taifa. Lakini nyuzi na maoni yaliyo jaa humu ni picha halisi ya namna jamii yetu ndani ya taifa letu ilivyo...
11 Reactions
55 Replies
2K Views
Habari ndugu wanaJF Poleni kwa majukumu, niliwamisi Sana ndugu zangu nilikuwa uhamishoni kwa muda ila nimerejea salama. Natuma salamu kwa wafiatao sky eclat faiza fox kichwa kichafu mpwayungu...
2 Reactions
3 Replies
432 Views
  • Closed
Greetings Nimekaa tu nikiwaza na lilikua wazo langu la muda mrefu tu,hivi mfano tukakutana vijana watatu mpaka watano tukaandika proposal kwenye balozi ya usa USA EMBASSY TZ na nchi nyingine za...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Greetings Kitty Chasers na my fellow Pussy prowlers, Wanasema kama unapenda Quality Women lazima uwe unajua kusoothe a lonely Vag***a na uwe na bone strength ya nguvu ya simba, warembo wazuri...
3 Reactions
31 Replies
4K Views
Nilishawahi kuona vitoto vya chuo vikicheza Amqpiqno kwa style hiyo ya kubinulisha mboni za machoxjuu na kuchezesha kope za macho kama mtu anapandisha mashetani hivi.., Ila nimeona mwanaume...
3 Reactions
12 Replies
980 Views
Mropokaji wetu 'Hali tena Kamwe' chonde chonde Mdogo wangu kwa hizo Fito zako ( Miguu yako myembamba kama Mifyagio ya Chelewa ) uliyonayo Usithubutu Kuvaa Bukta na Kuikunja ili utuonyeshe hizo...
2 Reactions
3 Replies
566 Views
Leo asubuhi mida ya saa kumi na moja Kama ilivyokawaida yangu kufanya mazoezi. Mara nyingi mbio na mwendo wa haraka kutoka kigamboni ferry mpaka mji mwema nilikuwa nakimbia ila kufika maeneno ya...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Nawasalimu Kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania? Kama kichwa kinavyoeleza. Nani humu ni mkali wa nyuzi zilizokusaidia kimaisha Kati ya hawa? 1. Mshana Jr 2. Pascal Mayalla 3. Robert...
7 Reactions
61 Replies
3K Views
Ile unatembea kitaa kila baada ya lisaa njaa hiyoo, hapa sio kwamba hujala gheto ila tu pesa mfukoni hakuna. Ia siku ukiwa na pesa unaweza dumu siku nzima hata hamu ya kula unakosa, unakula ile...
3 Reactions
7 Replies
907 Views
Back
Top Bottom