JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Tuseme bilionea yupo asubuhi ofisini anaendelea na majukumu Mara ghafla inaingia laki moja kwenye simu kimakosa, je hapa bilionea hawezi kuacha shughuli zake na kuchukua lifti kwenda kwa wakala...
5 Reactions
28 Replies
1K Views
Sihitaji salamu yako,salamu yako peleka kwenu huko!. Kwa Taarifa yako 1990 - Umri Miaka 35 1991 - Umri Miaka 34 1992 - Umri Miaka 33 1993 - Umri Miaka 32 1994 - Umri Miaka 31 1995 - Umri...
13 Reactions
59 Replies
2K Views
Hakuna jina la kike linaloanzia na herufi "Q" kama lipo litaje[emoji23][emoji23][emoji23]
3 Reactions
33 Replies
2K Views
Ni siku nyingine ya kukumbusha kwamba vitu vya bure vinakuja na masimango , learn to hustle
7 Reactions
8 Replies
398 Views
Unajua hapa duniani watu wanajionaga wajanja sana, ila hamna lolote. Piga picha upo kwa nani, hii dunia ni yako? Unakula tu, unafakamia tu na kuponda vistarehe vyako, and then baade unaanza...
4 Reactions
49 Replies
2K Views
Mimi naishi na dogo langu la kiume kigeto geto, sasa shida ni kwamba, itokee siku yeyote tupike chakula kizuri sana lazima itokee kasheshe yeyote ile nisikile hicho chakula. Either nitatoka na...
2 Reactions
6 Replies
339 Views
"Wanaume mnashauriwa mnapotubusu alafu mkashuka kusini kutula, tunaomba msipande juu kutubusu maana mnakuja na harufu kali. Binadamu akila msosi husubiria nusu saa ndio anywe maji.. Muwe na...
0 Reactions
268 Replies
16K Views
Wakuu huu Uzi ni kwa ajili ya kushare different stories ya umbandu mbandu uliokutokea sikukuu pendwa ya wajinga ..kwangu Mimi siji sahau siku ambayo swalehe alikuja kuniamsha kwamba nje kuna simba...
2 Reactions
39 Replies
4K Views
Leo katika pita pita zangu maeneno ya kanisania nikakutana na rafkiangu nilikua nae wakati tupo wadogo Kattika kuongea ongea nae muda mrefu akaniambia ya moyoni,,, eh mie nae nina kismati kila...
4 Reactions
101 Replies
8K Views
Habari. Mbarikiwe wote mnaopendana na wake zenu.
8 Reactions
27 Replies
1K Views
Tunakodisha Ng'ombe Kwa Ajili Ya Kulipia Kama Mahari, Namna Watakavyopotea Huko Ukweni Niachie mimi. Karibuni🙏🙏🙏
4 Reactions
32 Replies
844 Views
Habari wanajamvi, Kumekuwa na desturi ya watoto kudanganywa aidha na watu wazima ama na watoto wenzao kwa malengo tofauti tofauti. Mfano kuogopeshwa tu au kutotakiwa kufanya jambo fulani. Mimi...
4 Reactions
167 Replies
10K Views
Tuache utani watu wa Dar wengi hawapendi wageni kabisa
12 Reactions
51 Replies
3K Views
Wazee tuendelee kupambania Malengo yetu, Hakuna ushujaa wa kuitwa wewe ni bingwa wa kuishi maisha magumu🤒 I mean no malice to nobody
18 Reactions
380 Replies
11K Views
Ama kweli nimeamini kumbe Nabii hatambuliki kijijini/nyumbani kwao Yaani wadada na wakaka wa humu mnaongeleaga na kushauri kuhusu relationships Ila cha ajabu mbona nyie ham fall in love au kuoana...
2 Reactions
7 Replies
845 Views
Ni majina gani yamekaa kiuzinzi, vicheche? Yaani ukilisikia tu unajua huyu zoazoa.
4 Reactions
358 Replies
43K Views
Ilikuwa mwaka 2004 nikiwa darasa la 6. Alikuja ndugu yangu toka mjini na kuja na kuber. Ilikuwa jioni flan kijijini wakatii huo kumetulia watu tunasubiri ugali wa usiku, kipindi hicho hakuna milo...
10 Reactions
57 Replies
4K Views
Hii ni kwa wanaojiita born town..Born iya iya..wazurulaji, watoto wa streets, Hii Sio kwa wakuja, wale wakifa wanasafirishwa, na wale getikali Wengine wote: Unaijua Dar weye?? Twende kazi…...
6 Reactions
65 Replies
4K Views
Nimekumbuka kitu kimoja nikiwa katika baa moja nimeletewa chupi na chinga. Chupi za kichina. Mwisho wake nikakumbuka vyupi vya VIP nilifurahishwa na ufungaji wake katika boks (Prkg) ila nakumbuka...
3 Reactions
194 Replies
41K Views
Back
Top Bottom