JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Yaaani haya mambo yasikie tu kwa mwenzio aiseee sio poa yaani zamani nilikuwa nasikia mtu akijinyonga nilihisi huyo jamaa ni mbwa tu na mjinga sasa mimi sasa kiukweli mie nimekulia kwenye familia...
11 Reactions
140 Replies
4K Views
Ni muda sasa nimekuwa napitia mazingira magumu sana ya kimaisha ajira ikiwa kwangu ni jambo lisilotatulika pamoja na kutegemewa na familia niliyonayo. Nimekuwa nikijitahidi sana kutafuta kazi kwa...
1 Reactions
0 Replies
358 Views
Katika huu Uzi wangu Kazi yangu Kubwa hapa ni Kusoma tu Comments zenu tukuka juu ya Hoja Kuu niliyoianzisha
3 Reactions
3 Replies
379 Views
Wanaume mnalipia vibaya kuweni macho jamani. Kama kuna mwanaume aliemwumiza vibaya mwanamke huku duniani na mwanamke akaamua kuambia jamii nzima jinsi alivyoumizwa, huyo mwanamke Mungu ambariki...
6 Reactions
124 Replies
15K Views
Nina shogangu kidawa tunamwitaga KICHWA PANZI. Amekwama anataka kujimaliza bila sababu nikamwambia hii kesi ya nyuki pelekea malkia kama sisi kwanini ujiue labda unawahi Mbinguni kufanyaje kuimba...
1 Reactions
66 Replies
8K Views
Jamani mmi nikisema napumzika sasa siandiki thread mpaka tar 1 July lakini visa duniani haviishagi kabisa. Leo nimeletewa Ubuyu na mkaka m1 anasema niwaambie akina dada kuwa Wanawake wa karne ya...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
NYUZI ZANGU ZINGINE 1. Hii ndiyo sababu ya nguvu za kiume kupungua au kukosekana Kwa wanaume wengi 2. "Nimekupa kila kitu, na bado umeniacha" Malalamiko ya madada wengi 3. Haijalishi mwanaume...
5 Reactions
270 Replies
43K Views
Short men, tunachongewa sana! Tujiamini. huku kutuita Wanaume wasaidizi ni kutuonea sana.
3 Reactions
34 Replies
6K Views
Wadau habarini kama kawaida yangu kuleta visa vyangu mbalimbali kwalengo la kujifunza na kuuaminisha umma juu ya mambo kadhawakadha Ilikuwa ni Jumapili moja yamwzi april nilikua masaki na...
8 Reactions
148 Replies
4K Views
Asee ukiwa na shida; 1. Watu hawata uona umuhimu wako 2. Watu hawata ijua thamani Yako 3. Watu watamdharau Mungu wako Dah! Sio poa wanangu!! Sio poa!
25 Reactions
108 Replies
4K Views
"TAFUTA HELA WEWE" Unakuta kaamtu kanakoandika hivi kamekakamaa na njaa kapo tu kijiweni kanapiga stori kuwa bandari imeuzwa. Au unakuta ni jobless miaka mitano anaishi kwa ndugu, halafu unakuta...
9 Reactions
77 Replies
2K Views
Wajumbe mko aje eti kati ya hawa miamba wawili ,nani anamsigina mwenzie Pesa ndiyo inamaliza shida au shida ndiyo inamaliza pesa.Toa facts
3 Reactions
15 Replies
817 Views
Zamani ilikuwa akitoa habari tu lazima members kibao tukimbilie kuisoma na malikes kama yote. Yaani baada ya dakika mbili tatu tu utakuta kuna pages kibaaao, views nyingi mnooo. Habari zilishiba...
10 Reactions
72 Replies
3K Views
2016 kurdi nyuma nilikuwa sipitishi siku sijaingia humu. Ila kwasasa majukumu yanabana sana. Ukiwa free ndiyo muda pekee wa kucheza na watoto. Nadhani hili halinitokei peke yangu tu. Binafsi...
20 Reactions
337 Replies
8K Views
Hello, Leo birthday yangu wajameni, karibuni kwangu. Namshukuru Mungu kuruhusu nije duniani, lakini pia kunifikisha usiku ya Leo. Asante mama luckyline, kunileta duniani siku kama ya Leo...
9 Reactions
49 Replies
3K Views
Nikupongeze tu Bwashee Erythrocyte kwa namna unavyoturipotia yanayoendelea hapo Mbeya BAVICHA wote wanawatenga Dr. Slaa na Mwabukusi kwa sababu walihama CHADEMA baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2015...
2 Reactions
13 Replies
783 Views
Kama macho yako yanaona vizuri, nioneshe watu saba na paka katika picha hii.
1 Reactions
2 Replies
513 Views
Nipe masharti yako ili nitajirike, tuone mwenye masharti magumu 😂
2 Reactions
17 Replies
627 Views
Salaam, wanajf, napenda kuwatafuta wadau muhimu katika jukwaa hili la jf. Baadhi ya Ni Kama 1. TO YEYE 2. KICHWA KICHAFU 3. FAIZA FOX 4. SKY ECLAT 4. MPWAYUNGU 5. WA STENDI Jamani, watu Hawa mko...
2 Reactions
8 Replies
563 Views
wazungu walipagawa, majaji hawakukaa kwenye viti muda wote walikuwa wanashangilia..shukrani kwa mtaalamu wa subtitle maana alisaidia sana kuitafsiri movie hii kali iliyoileta kwa heshima taifa la Tz
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Back
Top Bottom