JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kama umemchoka tuachie sisiii 🎵🎼🚬
2 Reactions
7 Replies
302 Views
NyagiGang! Baada ya Ugali mkubwa hapa Nyamilangano, nikahitaji Konyagi, my all time liqour. Kuna kadada hapa Grocery, keupeee! Maradhi yangu, kakanishawishi kuna Konyagi mpya inaitwa Konyagi...
0 Reactions
19 Replies
964 Views
Ndugu zangu Kabla ya kununua nazi huwa tunazitingisha karibu na sikio katika harakati za kuchagua. Huwa tunasikiliza mlio wa aina gani?? Mwenzenu huwa nafanya tu halafu naishia kuchagua kubwa...
15 Reactions
34 Replies
2K Views
Wakuu, Nataka kujua tu. Hivi kuna aina za nyimbo mwanaume akizipenda ataonekana kama mtu asiyejielewa na pia kuna nyimbo mwanamke akizipenda ataoneka wa ajabu au asiyejielewa pia? Kwa mfano...
3 Reactions
104 Replies
3K Views
Je, mama mjengo(mke) unapenda mwenye Mwili wenye mafuta au kaukau? Na kwanini?
17 Reactions
439 Replies
13K Views
Sa huyu mwamba alikuwa anaimbaje...😅😂 Na alivuma dah! Mi nafikiri aina yake ya uimbaji haikuwa bongo flavor hii ilitakiwa ipewe jina lake jengine!.. by the way napenda muziki wanyumbani haswa zile...
0 Reactions
4 Replies
412 Views
Ujue mpaka sasa sielewi inakuaje Hapa nilipo mi nikijana mdogo mdogo wa miaka 35, maskini tu japo nina degree ya wanyamapori kutoka SUA. Huku mtaani ninakoishi jijini Mwanza jamanii eeeh...
13 Reactions
25 Replies
2K Views
Kwangu mimi kama ni kitabu kingekuwa ni UNANSWERD CRIES WEWE JE UNGEKIITAJE?
2 Reactions
26 Replies
1K Views
Je kungekua na uwezekano wa kuzaliwa upya, ungependa kuzaliwa nchi gani? Toa sababu?
3 Reactions
39 Replies
1K Views
Miss Natafuta aka Baby J....ukiwa nyumbani haya ndo huwa unayafanya? Leo nimekumbamba!
12 Reactions
328 Replies
17K Views
Mpaka leo huwa naikumbuka Jumamosi ile niliopata ajali.Kiufupi nilipanda pikipiki bahati mbaya hakuwa ameiwasha na tuko kwenye mteremko mkali,dereva nikamuuliza nini hiyo maana nilisikia...
37 Reactions
267 Replies
32K Views
Niko Dodoma hapa mshikaji kaniita kwa kibar fulani kipo kina guest eeeh bhna eeh nikamwona mwigizaji wa bongo movie hapa ila ni wale wa kale kidogo kapauka hapa anakata viuno nikamtia beer 2...
1 Reactions
6 Replies
472 Views
JF Members mmefanya niende shule this year bila kupenda kisa matus yenu ya hapa. Ngoja niende nikaongeze elimu af nitarudi JF tena
5 Reactions
32 Replies
824 Views
Heshima yenu wakuu. Kuteleza na kuanguka kisha kuinuka tena na kusonga mbele ni shule nzuri sana ya vitendo ambayo humfanya mwanadamu kuwa na mbinu thabiti za kutatua changamoto zake za hapa na...
3 Reactions
28 Replies
1K Views
Tumekuwa wazinzi na walevi wa pombe kupindukia na tumekuwa wanafiki. Ndugu zangu haya mambo yamekithiri.
1 Reactions
4 Replies
436 Views
Mimi ni mpenzi sana wa konyagi, nipo moshi kikazi bar maarufu sana hapa Moshi nimeagiza konyagi lakini nahisi ina ladha tofauti na nilivyozoea. Vipi ni mimi tu au wenzangu mnaonaje ladha ya...
3 Reactions
7 Replies
490 Views
Wanaume wenzangu mnaweza vipi kuwamudu wanawake wenye njaa ya kuolewa [emoji276]? Mwanamke hata miaka 10 hatujatoboa unataka ndoa ya nini?
1 Reactions
10 Replies
524 Views
1. Mafuta hayajawahi kuvuka nusu tank. 2. Ukiingia sheli unaweka mafuta yasiyozidi 20k. 3. Gari yako kuwaka taa ya mafuta ni kiawaida sana (unajisemea hii gari mimi ndio naijulia, hii taa natembea...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari zenu humu.... Member ninao wakubali sana ambao nyuzi zao zinabamba sana,tena wakicomment kwenye nyuzi za watu lazima ufurahi tuu hawana baya.. 1.mshana. 2.mpwayungu. 3.mangi...
17 Reactions
180 Replies
6K Views
Aloooooooooooooo. its my birthday. shukrani kwa mwenyezimungu muumba wa mbingu na ardho kwa kunifikisha siku hii ya leo. siku muhimu katika maisha yangu. lakini pia nitumie nafasi hii kuwashukuru...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Back
Top Bottom