JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu, salute kwenu. Kwanza Nina swali: ni kweli beer zinakufanya unenepe? Pili; tushauriane Pombe salama aina ya spirit ambazo haziumizi sana kichwa au maini. Mimi nimechoka kunywa beer na...
2 Reactions
7 Replies
560 Views
Wakuu kwema? Mada inajieleza kabisa hapo. Leo ni tuwape Mods wa JF pamoja na Muanzilishi wa JF, kioo cha wengi Bwana Maxence Melo maua yao. Sema jinsi Mods na Melo wanavyosaida siku yako iwe...
1 Reactions
9 Replies
617 Views
Nimeandika bandiko tokea asubuhi hadi sasa silioni likichangiwa na wadau. Kupandisha bandiko lionekane kwa watu bei gani kwani?
30 Reactions
73 Replies
5K Views
Kuiita "Pesa" hela ni kuikosea adabu. Ulishindwa kuiita pesa iite basi fedha, acha kuiita hela. Maana itakukimbia siku zote na hata ukipata utaipata kiduuuuchu! Wewe watazame matajiri...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Hey Hakuna watu wanakera kama hawa mtu anapoomba hela anasumbua sana simu azikauki lakini akishapa iyo hela umemtumia hajibu sms kama amepata yaani ulie tuma umpigie umuulize umepata kumpigia...
3 Reactions
4 Replies
955 Views
Nawasalimu katika jina la DP World (chagua muitikio; mkataba uendelee au usiendelee) Katika maisha huwa tunafanya maamuzi kadha wa kadha kwa sababu zinazoelezeka na kueleweka. Lakini kumbe zipo...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Mimi binafsi si msambaa Ila hawa jamaa wakiongeaga lugha yao Huwa naenjoy sana hususani zile lafudhi zao kama vile hela wanaita hea, nyumbani wanaita nyumbai. Kabila lingine ni wamakonde...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Hivi kwasababu gani wageni wanakuwa bize sana kuangalia TV 📺, baada ya chakula kutengwa mezani?
0 Reactions
3 Replies
286 Views
Moja kwa moja.. Huu mtindo umeshamiri haswa kwa vijana unakuta mtu ameanza kukutext au wewe umeanza kumsalimia baada ya kujibu text yake inayofuata "nipange "au "niambie" mimi mara nyingi hapo...
9 Reactions
56 Replies
4K Views
0 Reactions
0 Replies
258 Views
1 Tim 4:12 SUV Mtu awaye yote asiudharau ujana wako, bali uwe kielelezo kwao waaminio, katika usemi na mwenendo, na katika upendo na imani na usafi. Lk 2:52 SUV Naye Yesu akazidi kuendelea katika...
29 Reactions
349 Replies
11K Views
Huyu tumpeni tu maua yake jamani😂
2 Reactions
3 Replies
869 Views
Elewa kwanza upendo ni nini Elewa kwanza akili ni nin Elewa kwanza ndoa ni ni Eewa kwanza mapenzi ni nini Elewa kwanza mwanaume ni nani Elewa kwanza mwanamke ni nani Elewa kwanza uchumii ni nini...
2 Reactions
2 Replies
844 Views
1. Tunaulizwa kama tunaumwa. 2. Tunaulizwa kama tuna uhaba wa pesa. 3. Tunaulizwa kama tuna stress za maisha plus mapenzi. 4. Tunaulizwa kama tunakula.
15 Reactions
39 Replies
2K Views
Leo tunasheherekea siku ya emoji duniani. ❤ Piga emoji moja hapa kuienzi siku hii muhimu! ❤️❤️❤️❤️
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Hakuna kitu nisichokipenda kama nikipanda daladala, boda au bajaji especially when kuna foleni na unataka kuwahi wao wanaingia sheri kujaza mafuta. Hivi wanashindwa kuweka full tank na kujaza...
1 Reactions
11 Replies
409 Views
Hello. Wana chitcharts ni nani alikuja katika maisha yako ukiwa na uhitaji mkubwa wa jambo alikusaidia kwa asilimia kubwa na Akaenda Hakurudi tena au haukuwahi kuendelea kuwasiliana nae. Kuna...
12 Reactions
71 Replies
4K Views
  • Closed
Wakuu mpaka Leo huwa najiuliza Shunie alienda wapi loo!! Huyu mtu tulipendana Sana humu JF Enzi hizo ndiyo alikuwa bae wangu humu kila Uzi lazima atupie comment kipindi hicho humu JF kulikuwa na...
10 Reactions
136 Replies
5K Views
Hahahahahahahahahahaha....... Salamu wakuu katika jukwaa .ujue katika maisha kuna watu wanakera sana yaani wanakupa lawama bure wakati hawajui jitihada zako from no where mtu humjui hakujui (japo...
0 Reactions
1 Replies
700 Views
Back
Top Bottom