JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Na kutokana na Uwingi wa Watu kwa sasa Mkoani Mwanza huku Mahitaji yakiwa mengi na Masoko Kuongezeka hasa Soko Kuu ili Kujikinga na Mabalaa yasiyotarajiwa ( hasa Moto ) naishauri Serikali kuanzia...
1 Reactions
10 Replies
823 Views
Weekend ndio hii naomba kujua nikatumbukke kidimbwi au kuna Kona bora zaidi. Wazee na wamama wa matanuzi tafadhali. Lkn hakuna usumbufu kwetu kinamam
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Naangalia mkutano wa CCM Mbeya. Msemaji mmoja kauliza CCM mpooo akajibiwa tupo kisha akasema "mbona hamnipigii makofi?" Kazi kwelikweli.
1 Reactions
3 Replies
414 Views
Habari wakuu Leo ni siku yangu ya kuzaliwa... Namshukuru Mungu kwa mwaka mwingine... Nina maswali kidogo... Hivi siku ya kuzaliwa ni muhimu kusherehekea? Na kama ni muhimu kwanini?
15 Reactions
50 Replies
2K Views
Habari. Wikiendi imeanza. Kiuhalisia ninaweza kuonekana mjinga ila ninakuja na mada hii. Karibu kwa kubishana leo Tubishane mpaka Tuchoke. Ila Tusitukanane
5 Reactions
29 Replies
1K Views
Kwema jamani? Kuna tabia ninayo na naona kabisa imekua kama addiction yangu.kwa kifupi napenda sana kupiga chabo watu wakiwa faragha,yani huwa nafurahia kuwachungulia watu wakiwa...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Habarini wakuu, naamini tunaendelea vizuri katika harakati za kujenga taifa, niseme kazi iendelee. Baada ya kutimiza malengo yangu ya mwaka huu ndani ya robo tatu muhula wa mwaka (kuanzia mwezi...
0 Reactions
4 Replies
982 Views
Jamani tutafuteni pesa kwa bidii tuache kuendekeza chuki na wivu kwa wenzetu waliofanikiwa. Mwenzio yupo tu sawa anakula nyama kavu bila ugali afu wewe unahisi Kama jamaa anaharibu mboga 😂
0 Reactions
9 Replies
509 Views
Hello, Ushawai kulala mchana ukaamka ukaona kama umechelewa kwenda shule au kazini? Mimi imeshawahi nitokea nikiwa nimelala mchana nikaamka nikaona mbona kama nimechelewa shule, nikaamka chap...
2 Reactions
39 Replies
2K Views
Nipo kitandani, nashangaa desktop inawashwa, kwenye meza hakuna mtu. Wala hakuna paka labda kusema kaminya sehemu. Hii si balaa?
2 Reactions
16 Replies
1K Views
[emoji38][emoji38]kama wewe hauna mke harafu ume panga nyumba zisizo na dari (cellingboard) daah hivi usiku hua mnalalaje? Kuna jamaa Alikua na mke ila yeye Alikua akipiga viwili chali ana tulia...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Mchana wa leo nimefungulia Radio moja ya dini ili nipate kula neno kwa kuwa nilikuwa sijala chochote kitu kabisa kutokana na hali ngumu ya kimaisha Ghafla nikaskia," fulani bin fulani aliahidi...
1 Reactions
7 Replies
441 Views
Virgin: 10 marks Single: 10 marks Vegetarian: 10 marks Never drunk: 10 marks Never kissed: 10 marks Never hugged: 10 marks Never smoked: 10 marks. My score: 30 marks.
2 Reactions
59 Replies
2K Views
Wakuu poleni na majukumu! Ni mimi kijana wenu humu jamiiforums, kama mnavyojua now baadhi ya vijana kama mimi ndio tumemaliza chuo tumerudi mtaani japo harakati huku mtaani hazisomeki. Bila...
5 Reactions
75 Replies
3K Views
Kuna mafundi nguo wazuri na wazinguzi. Kila mmoja huenda ana jambo lake linalomfanya kamwe asimsahau fundi nguo fulani labda kwa uzuri au ubaya. Share with us kilichojiri kwenye comments...
2 Reactions
62 Replies
3K Views
Haya ni maajabu ya wanawake. Utasikia napenda mwanaume mrefu mweusi lakini cha ajabu wanapenda kuzaa vitoto vyeupe pee.
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Jamaa mmoja alienda kupima na akagundulika ana kansa ya ubongo! Jamaa alisikitika sana, mwishowe kamwambia Doctor, Doctor basi ondoa ubongo! Doctor Akashangaa, akamwambia! Utakufa maana hakuna...
10 Reactions
15 Replies
943 Views
Wakuu, za siku nyingi? Ebana nilikua busy na kautafiti kanakohusu mikoa ya Tanzania yenye makabila yenye wanawake wavumiivu katika ndoa na haya ndio matokeo ya kautafiti kangu. 1. Iringa 2...
8 Reactions
130 Replies
8K Views
Habari zenu wana JF. Leo niwarudishe nyuma kidogo uzi huu unahusu vituko ulivyovishuhudia ukiwa katika chumba cha mtihani. Karibuni sana
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…