JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wadau hamjamboni nyote? Nimeguswa na unyongecwa huyo dogo. Mwamba anasubiri kichapo baada ya kurejea nyumbani usiku tena mikono mitupu bila mayai alotumwa Naomba tumpe ushauri kwani nasisi ni...
2 Reactions
4 Replies
715 Views
Jamaa alikosa kabisa muda wa kurudisha huo ufagio[emoji38][emoji38]
7 Reactions
7 Replies
2K Views
Heri ya mfanano wa siku ya kuzaliwa kwangu mimi that manzi ila daah 30 ile naichungulia pale Nikiwaza sina A wala b sitamani hata kuongezeka umri Anyways happy birthday to me[emoji4][emoji4]
3 Reactions
22 Replies
972 Views
#### Wanaume katika jamvi tutafute hela aisee week iliyopita nilimtext mpenzi wangu "mambo" aisee nimekuja kujibiwa leo hii tena sasa hivi af tena ety "P" nikaja kugundua labda hatuna helaa mpaka...
6 Reactions
49 Replies
3K Views
Kama Kuna member anaweza kunisaidia aniwekee hiyo sauti hapa jukwaani nitashukuru
0 Reactions
0 Replies
2K Views
[emoji23][emoji23] ukiwa tajiri hauitaji Chuo.. we nenda pale Gymkhana lipia wanakupa na MTU wa kubeba mabegi na vile vidungu.[emoji23][emoji23] Muda WA kuvaa glove mkono mmoja huu Unapiga mipira...
0 Reactions
5 Replies
993 Views
MDOGO WAKO:Kaka naomba 600,000/= Kwa ajiri ya ada . Walisema nisipolipa hawatanipokea kabisa. BABA MWENYE NYUMBA:Missed Calls 83 na Ujumbe: Leo nakupatia Nafasi ya Mwisho BINTI WA JIRANI...
15 Reactions
11 Replies
1K Views
I see! nakutafuta nimekumiss! Kama huko humu ni pm!
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Dondosha katuni na kichekesho chochote
3 Reactions
15 Replies
781 Views
Hi Mwanza ni jiji nzuri sana na lina muongiliano mkubwa wa watu kwa maana ya watu kutoka mikoa tofauti iko pale lakini watu wake bado wana ushamba sana licha ya kuwa na muingiliano mkubwa kwanini...
2 Reactions
12 Replies
546 Views
Ndani ya mwezi huu wa sita, nimekutana na document mbili. 1. Transcript ya mwanafunzi wa UDSM, ni copy na inaonekana labda alituma mahali kuomba kazi, amemaliza mwaka 2022, chaajabu imegengenezewa...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Taja kauli mojaya kibabe Sana, ambayo haikosekani kwenye daladala Mie nilikutana na moja, "We dada nipe ya nyuma yako." Hahahhahahahaha
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Kwangu mimi hakuna zaidi ya kelele zake akiwa mbali basi namiss yale makelele lakini natafuta sababu nimuache
14 Reactions
476 Replies
16K Views
Habar wakuu msaada wenu lodge nzuri Tabata kuanzia Tabata shule Hadi kufika Kinyerezi
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Nimekuwa mfatiliaji mzuri wa hili sakata la bandari, nimewasikiliza wanaopinga na wanaounga mkono swala hili, bila KUEGEMEA upande wowote nimekuja na haya yafuatayo; 1)Huu msuguano wa bandari...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Nashukuru sana members wengi wameonekana kupenda jinsi ninavyotoa mchango wa busara, hekima, upendo na akili ya kiwango cha juu humi JF. Watu kadhaa wanasema nimeokoa maisha yao kipindi ambacho...
2 Reactions
29 Replies
1K Views
Katika kumalizia weeknd leo mapema sana nimeingia kidimbwi beach kurefresh kujiandaa na mikiki ya kesho. Kadiri muda unavokwenda pisi zinaingia ni hatari pisi kali sana, hivi hzii pisi zinakuwaga...
16 Reactions
91 Replies
14K Views
Zinaa Inaua Zinaa inaleta Magonjwa Zinaa inaleta Mikosi Zinaa inaleta Nuksi Zinaa Inakutenga mbali na Mungu IKATAE ZINAA INAUA,ZINAA NI UHALIFU WA KIROHO
5 Reactions
15 Replies
846 Views
Mfano Mpwayungu Village // mpwanguyu vigalle. Nyani Ngabu // Nanyi bangu. GENTAMYCINE // gentacymine. Kichaa Msafi // chaki safi. mzabzab // mnzabinzabi
1 Reactions
4 Replies
334 Views
Back
Top Bottom