JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Bwana Juma amewafukuza wageni waalikwa nyumbani kwake,sababu haijulikani,pilau limeachwa😀
2 Reactions
9 Replies
851 Views
1. Kuanguka kwenye uzinzi na uashareti na wanawake wa ovyo na kupelekea kupata mikosi ya kila namna. 2. Kupata kesi za mimba na watoto usiowatarajia kutoka kwa wanawake unaolala nao. 3. Kwenda...
9 Reactions
26 Replies
2K Views
Nataka kuacha pombe kwa miezi sita, mwili wangu umeanza kuchoka lakini pia nataka kufanya saving kidogo, nataka ninywe Christmas 2023. Nipeni mbinu nifanikiwe. Hili ni tangazo la kuacha pombe...
9 Reactions
39 Replies
2K Views
Jambo Jambo? Yani unakuta mwanaume ana midevu, mwili mkubwa ila Mke wake kamwambia USITOKE anamtii mke wake na anatetemeka kabisa. Watu sasa hvi tuko vyombo. Wanaume Tunaojitambua tuko bar...
28 Reactions
154 Replies
6K Views
Nitakuwa hapo kuanzia kesho kwa wiki mbili, wenyeji naomba mnijuze hoteli au lodge nzuri ya kufikia, bei usizidi elfu sabini, pub nzuri ambayo ina utulivu, maeneo ya kutembelea yenye utulivu na...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Hello great thinkers Niliamua kujipa likizo isiyo na malipo kutotumia mtandao wowote wa kijamii na haya ni baadhi ya mambo niliyogundua kwa upande wangu 1. Urafiki unaotengenezwa kwenye mitandao...
4 Reactions
25 Replies
978 Views
Msaada wanaJF, Utani weka pembeni, Nimemc Nyimbo Laini za Kimapenzi hadi nimezisahau. Naomba mnikumbushe baadhi ya nyimbo zenye hisia za kimahaba nisikilize nijisikie kama nipo Paradise wakuu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jamani wale wote ambao tumewahi kuchunga wakati tukiwa wadogo kabla hatuja anza shule na hata baada ya kuanza shule yaani ukirudi shule unachunga na zile siku za wikiendi basi wewe ni kwenda...
21 Reactions
95 Replies
11K Views
To you shouzz Antonnia May you treasure your birthday as the bright beginning of a wonderful year and may you always know how special you are. May your special day Surrounded wid Happiness...
13 Reactions
236 Replies
6K Views
tupia meme yoyote uliyoiona ili kuhusu wanafunzi wa sudani ili tufurahie maisha, tusahau machungu ya hii nchi.
4 Reactions
29 Replies
2K Views
Nchi ikiwa na mchanganyiko hupendeza sana, ndio maana ukifika Marekani unakutana na kila MMEA WA BINADAMU, yaani unakutana na mtu anatisha balaa, mwingine wa kawaida, mwingine mzuri balaa, halafa...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Yaani unakuta mtu ni masikini sana. Anaogopa sana ushirikina ila ni mzinzi, anakufa anaenda motoni. Mtu mshirikina mzuri tu, anapesa ndefu tu mzinzi mzuri tu, anakufa anaenda motoni. Fanya hivi...
7 Reactions
7 Replies
469 Views
Wakuu umofia kwenu? Natafuta pub au sehemu yoyote kama bar iliyojificha ficha maeneo ya Dodoma. Nataka niende na mtoto sasa sipendi sehemu yenye watu wengi.
4 Reactions
70 Replies
10K Views
Hello. Ikiwa Leo ni siku ya HAPPY FATHER DAY. Niambie kitu gani mzazi wako amewahi kukufanyia haujawahi kukisahau maishani mwako hadi Leo. Ukikumbuka unatambua upendo wake hadi Leo.
2 Reactions
40 Replies
3K Views
Kwenye mada za vita ya ukraine wanajikutaga hivi.
0 Reactions
0 Replies
195 Views
Huyu binti wa katikati mkae nae mbali, nimeshamchagua
1 Reactions
2 Replies
377 Views
1. Baba Dulla kanitesa kweli na hii Mimba. 2. Najuta kumbebea Mimba Mwanaume wangu mwenye ngumu. 3. Utamu wa dakika chache Unanitesa sasa. 4. Sizai tena labda anibake. 5. Yaani huyu Bwege...
14 Reactions
27 Replies
2K Views
Kama ilivyo kwa wanaume wengi hata mimi pia nimetokea kupenda nyimbo za zuchu na kuziacha siwezi. mimi kunikuta naimba KWIKWI ni jambo la kawaida [emoji16][emoji16][emoji16] Njia gani nitumie...
4 Reactions
13 Replies
657 Views
1) Ubakaji utaongezeka 2) Single mother watapungua Ongeza ingine
7 Reactions
55 Replies
2K Views
Usiache kufurahi leo. Leo ndiyo yote tuliyo nayo. Kesho ni ahadi. Kama wimbo unavyoenda... "Jana imepita, na kesho inaweza isiwe yako." Maandiko pia yanasema, "Furahini katika Bwana SIKU ZOTE"...
5 Reactions
2 Replies
484 Views
Back
Top Bottom