JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Sheria imewekwa ili ivunjwe. Tangu nilipoanza kusikia habali za bangi, sikutaka kuamini hivi hivi bila kuifanyia test![emoji4] Bangi niliipata kiulaini tu (kijijini), nikaiandaa vema kabisa na...
9 Reactions
163 Replies
7K Views
Huyu dogo bonge ni roommate wangu chuo kimoja hapa Tanganyika. Mshikaji anajamba usiku kucha halafu mwenyewe wala hata ajui anajamba usingizini sina raha hata ya kuishi nae. Kanikela vibaya...
21 Reactions
207 Replies
6K Views
Mmeamkaje wapendwa? Tumshukuru Mungu Kwa Kila jambo maana hakuna lifanyikalo pasipo yeye kuruhusu.🙏🙏🙏 Tuwe na siku njema. Nawapenda sana!
17 Reactions
79 Replies
2K Views
Mi nimeamka salama kabisa najiandaa kwenda kupambana nipo Dodoma familia ipo Dar usiniulize kwanini sijaileta Dom nina sababu zangu. Njoo na tukio tujadili😎
2 Reactions
3 Replies
672 Views
Yapi maoni yako kuhusiana na mchezo wa Koinange utakaoanza rasmi nchini Sweden hivi karibuni. Je unafaa kushiriki ama haufai kushiriki? Kwako habari hizi zinakupa picha gani?
0 Reactions
6 Replies
548 Views
Nakumbuka enzi hizo Ukiwa na mashauzi au mnoko unapigiwa KIU hiyo nyakati za usiku mpaka utajuta kwenda MU. Kama ulishawahi pitia MU tujikumbushe na KIU uliyowahi sikia ikipigwa nyakati za usiku...
1 Reactions
0 Replies
545 Views
  • Closed
Threads nyingi zilianzishwa kukuzungumzia wewe shunie ila na mimi ngoja niwe miongoni mwa waliofanya hivo japo yawezekana walikuwa hawajui wanachokifanya Nafurahi jf hasa chit chat kunikutanisha...
21 Reactions
641 Replies
23K Views
Mods, chonde chonde, huu uzi nakuombeni muuache hapa hapa. Leo tutengeneze mvinyo wa rozela; Kutengeneza mvinyo wa rozela .......... lita 20. Viambaupishi; rozela gramu 200; sukari kilo 12...
4 Reactions
58 Replies
23K Views
Mimi ningekuwa mfalme Daudi nisingependa adui yangu aniletee upuuzi wake, nisingekuwa yesu eti unipige nikuangalie tu. Wasaliti kama kina Yuda wangeipata freshi? Wewe unadhani ulifaa kuwa nani...
7 Reactions
136 Replies
3K Views
Mambo ni mengi ,binafsi nigeweka hivi: Front page (FP) na last page (LP) FP: Watoto wasumbua likizo na wazazi wakitamani shule kufunguliwa (kana kwamba wao hawahusiki na malezi) LP: Kiatu...
0 Reactions
4 Replies
320 Views
Kipekee nawashukuru sana TBC kwa kutuonesha Vikao vya Bunge Mubashara Sisi Wazalendo tutaendelea kuwaunga mkono Nawatakia Sabato Njema!
0 Reactions
1 Replies
634 Views
Kila mtu anarafiki yake anayekuwa naye kwenye mambo Mengi ila swali langu je unamwamini kiasi gani huyo rafiki yako ?? 😁Mie Sinawakumuamini kwakweli naishi Kwa msaada wa Mungu Kwa kweli
20 Reactions
250 Replies
8K Views
Mbona noti za elfu kumi huwa na rangi nyekundu?
2 Reactions
7 Replies
613 Views
1. John- Ni mpenda sifa na muongo, kamwe hawezi kukuruhusu ukashika simu yake 2. Brayton- Anapenda kulalamika muda wote, anaringa, anapenda kubembelezwa na anapenda kulelewa 3. Moses- Ni mkali...
6 Reactions
298 Replies
21K Views
Enzi hizo mnatoka Jolly mnakesha Las Vegas Casino au Billz kunakucha sa kumi na mbili kijua hichoo, mko nyanganyanga mnachomoka hadi kino wale tuliokaa mitaa hiyo Mnaishia Kiria Bar. Sufuria...
0 Reactions
1 Replies
900 Views
Hi..! Siku mwezi na tarehe kama ya leo my lovely person..Vinchii wangu alizaliwa. Happy birthday to you. Long may I reign. Zawadi za birthday zitumwe...
14 Reactions
86 Replies
4K Views
Dunia inaundwa na mabara 7 moja limejaa barafu (Antaktika: Hakuna wakazi wa kudumu lakini watafiti na wafanyakazi 4,000 katika majira ya joto na 1,000 katika majira ya baridi.) Bara la Africa ni...
2 Reactions
8 Replies
770 Views
Jana nimejifunza mengi sana, nilikunywa bia zangu Manzese kichwa kilivyochanganya nikasema pesa kitu gani bhana kesho nitatafuta tu kwanza zipo za kutosha nikakimbia chap ATM nikawithdraw laki nne...
30 Reactions
155 Replies
9K Views
Nimekuwa na changamoto kubwa ya kujihisi hamu ya kufanya mapenzi kila wakati. Nimezunguka hosp nyingi duniani wataalam wanipunguzie hii hali imeshindikana. Madaktari wanasema ni kutokana na...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…