Greetings wapendwa
Hii ni kutoka ndani ya moyo, kiukweli nimekumis mno Erickb52 beibe hata wanaokwenda vitani hawachelewi kiasi hicho.
Kila siku unasema utarudi nasubiri kuanzia asubuhi mpaka...
Jamani habari zenu. Naandika poat hii mikono ikitetemeka yasije yakanitokea yale yaliyonitokea kwa Mwanamalundi. Huyu dada yetu afrodenzi mbona haonekani kabisa kwa muda mrefu? Nakumbuka sana pale...
Katika mikakati inayopangwa chini chini ndani ya Chadema kama serikali haitaifumua basi 2015 utakuwa mwisho wa CCM na serikali yake yani CCM itapoteza yote urais wa Tanzania na Urais wa Tanganyika...
napenda kuuliza ni kweli kuwa kuna utaratibu unaombana Presidn kumpa ujauzito mkewa?
Mi sijawah kuona..wala kusikia mke wa Rais fulan yu mjamzito,
Kuna nini napenda kufahamu tu,
Nimeaua kuchukuwa kadi ya CCM ili nianze rasmi UFISADI. Najua bila kuwa mwanachama naweza kwenda kunyea debe kwa urahisi zaidi. Siwezi kuendelea kuwa mstari wa mbele katika vita dhidi ya UFISADI...
Wana JF,mnaonaje viongozi wangenunuliwa na kuuzwa kwa mkopo kama kwenye mchezo wa mpira?
viongozi gani unadhani wangeuzwa nje kwa mkopo na wengine kununuliwa kuinua hali ya sasa ya kiuchumi?
wa...
Upo beach unaogelea ikatokea watu wawili wanahitaji uwaokoe kutoka ndani ya maji ila kati ya hao mmoja unampenda ila yeye hakupend na mwingine anakupenda ila ww haumpend je? Yupi ungeanza nae hapo?
Mme alikuwa amekaa na mkewe kitandani baada ya kazi ngumu kumalizika,Mkewe akamwambia ahsante mme wangu
kwa penzi tamu,mume akajibu "SI WEWE MKE WANGU UNAYENISIFIA ,WATU WENGI TU WANANISIFIA"Je...
Me ni kijana mtanashati na ni mzima[rijali] sipigi puli, ila nnayo tatizo kukaa tu na dem dakika mbili nashindwa nisemeje japo nkiwa gheto na-act kama namtokea and the grama goes well lakini nkija...
Kuna Shehe flan katika pitapita zake kitaa, alikutana na bonge la duu njiani, gafla shehe akajikuta keshampa 'hi', akajibiwa 'hi', zen kwa mshangao shehe akaropoka "Dada yangu maashallah Mungu...
Yaani taifa hili limefikia hapa, tumeanzisha kabisa shirika la taifa kwa ajili ya uchafu huu, laana ya usagaji italitafuna taifa hii. Tuungane kupinga uwepo wa National Milling Coorporation.
1. Blackberry = Attention seeker
2. Sony = Misunderstood
3. Apple iPhone = Classy
4. Nokia = Very loyal
5. LG = Loner, kinda boring
6. Samsung = All about style
7. Motorola = Old school
8. HTC =...
haya haya asiye na mwana aeleke jiwe Bishanga hana mke leo ana mtoto Mamndenyi njoo na kengele ya watoto unibembeleze leo nimekuachia mume kwa muda nilee vizuri kwa siku ya leo ndo kuzaliwa kwangu
Habari wanajf,natumaini mu wazma wa afya mimi ni mwanaume mwenye miaka 26 npo dar,ni mrefu wa maji ya kunde,elimu ya chuo,mkristo,natafuta msichana wakuanza nae relatioship/mahusiano awe mrefu...
mausinhizi ambayo yanasababishwa na alcohol nimabaya, yaan alcohol ikikata tu, na usingizi kwao. Tangu saa kumi nimebakii narandaranda tu kwenye forums humu JF na hauna dalili za kurudi hata...
Mke alimpa mumewe radio aende nayo choon ili imliwaze kwa vile huwa anakaa muda mrefu choon.Alipotoka akaulizwa
MKE:Ehe! vp my love,uli-enjoy?
MUME: Aah! wajinga hawa, wameweka wimbo wa...
Jamaa kaingia kwa kinyozi
na
mtoto,akaomba anyolewe
nywele na ndevu.
Alipomaliziwa
akasema mtoto
pia anyolewe,akaaga
kuwa
anaenda dukani
kumnunulia
mtoto viatu. Masaa matatu
yakapita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.