TICHA: Ukikutana na simba utafanya nini?
DENTI: mi takimbia nikapande kwa muti.
TICHA: Na simba akikupandia hapo juu ya mti?
DENTI: mi tajirusa chini nikimbie kwa mto niogelee...
kunaa jamaa alifungwa miaka saba kwa kosa la wizii wa mamilion ya mapesa alioiba sasa kapokea baruwa kutoka kwa baba ake >
mwanangu umri wangu mkubwa niko mgonjwa na msimuu wa kulima umefika lau...
Dah nimekuwa frustrated sana,furaha yangu ya birthday imeisha officially leo simu yangu kipenzi sony xperia imeibiwa na vijiwezi uchwara,wameniibia dirishani usiku,dah am out of words ila...
Ndugu mwenyekiti Baba V, pamoja na wakereketwa wote wa huu ukumbi.
Kwa moyo wangu wote nimeamua kujitupa uwanjani kutafuta wangu wa Ubani, wa kulia na kufutana machozi, wa kunivusha daraja hili...
kunaa jamaa mmoja huyoo kijijini kwao alikutana na simba uso kwa uso sasa hapohapo akapiga
magoti na kufumba macho akawa anaomba kwa mungu ili yule simba asi mle bac kama dakika tano
hivi...
Naomba kujua fiada ya msalaba au msalaba una value gani kwa wakristo? Maana nimeona unatumiwa vibaya sana hasa kwa wazungu jamii iwe Europeans au Americans.
Tigo tena kwa mara nyingine tena
sasa unaweza kujua uzito wako kupitia simu yako ya mkononi.Cha kufanya andika neno Uzito kisha tuma kwenda number 15003 na kisha simama juu ya simu yako.muda si...
Mzee mmoja alifika kijijini akakuta mtandao wa simu unapatikana vizuri tu. Akamwandikia mkewe sms.Bahati mbaya akaituma kimakosa kwa mtu mwingine ambaye ni mwanamke mfiwa (mjane.) Alipopokea...
Kwa masikitiko makubwa nawatangazia kuwa mwenzetu Figganigga amefiwa na babu yake mpendwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili.
Msiba uko nyumbani KIJITONYAMA MAKUMBUSHO, MTAA WA NIGER KARIBU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.