JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kwamba, Kuna kizazi kiko maeneo ya Mkoa wa Mara mpaka huko Kenya, Piga ua hakipati UKIMWI. Kazi kwenu kuki locate.
2 Reactions
37 Replies
3K Views
Kuna jipya jamani?
0 Reactions
1 Replies
702 Views
Hii guys.....natafuta mwenza wa humu ndani mie sio mwenyeji sana.. Mie ni binti mrembo tuu kutokea Rchuga... Vigezo na masharti kuzingatiwa.
4 Reactions
205 Replies
9K Views
A nude guy was sunbathing at the beach. a little girl comes to him, he covers his private parts with a newspaper. The little girl says, 'Whats under there?' So the man answers , 'A bird'...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari za mchana wanajamii, kuna rafiki yangu kapata mchumba wa kike MKEREWE, hangependa kupewa hints kuhusu tabia zao. Pamoja na sifa zao ikiwemo kuhusu mapenzi.
0 Reactions
4 Replies
8K Views
Nilikuwa na mpango wa kuomba undugu kwa familia hii ya Baba V lakini huu mkwara umenikimbiza........
1 Reactions
37 Replies
2K Views
Yes you can! Niko naangalia big brother yaani sioni mdada wa kunivutia hata mmoja....kusema kweli next edition Mamndenyi jitose utashinda! Hasa ukizingatia..........
5 Reactions
242 Replies
11K Views
....................Habari zenu WANA cc WOTE. ........Mwenzenu nimeamua kujivisha UTANGANYIKA na KUJIVUA UTANZANIA Kuanzia leo ..... ntajitambulisha kwa UTANGANYIKA wangu na si...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Tayari malalamiko yameshaanza kutolewa kwa watu mbalimbali kuhusu maoni yao kutoingizwa kwenye Rasimu ya Katiba Mpya. Hivyo basi, EMT na timu yake wameamua kufanya review ya maoni yaliyotolewa na...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
kapata dog dogo
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Mshahara laki 2, lakini unamiliki BB Z10,pochi ya laki na arobaini,umevaa kiatu cha $ 120, unaendesha Vitz halafu bado utaenda kanisani kuomba Mungu akutendee miujiza wakati tayari wewe...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Jamaa katoka kanisani kufika nyumbani akamkumbatia mke wake akambusu kisha akamnyanyua juu! Mke wake kuona vile akafurah sana akamwuliza: "Mume wangu vip leo naona umeamua kunionesha upendo...
5 Reactions
34 Replies
7K Views
JAMAA MMOJA ALISAFIRI KATIKA BASI,BASI LILIPOFIKA ENEO LA MIKUMI,MTU ALIYEKAA JIRANI NA HUYO JAMAA AKAONGEA BAADA YA KUWAONA WANYAMA AINA YA SIMBA. JIRANI;Wale ndio simba. JAMAA;Aaah,kumbe wale...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
WATOTO WA KISHUA SECONDARYSCHOOLS.L.P 270, ARUSHA.MTIHANI WA KUMALIZA MUHULA.MAELEKEZO.i. Jibu maswali yote.ii. Kila swali linabeba maksi kumiiii. Zingatia mpangilio wa kazi.iv. Unaruhusiwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna watu kila siku hapa kutusema wachaga, mara hajui hili mara hatujui lile, mpaka wakamwudhi Nivea, nawaambia waache, wakikaidi wapigwe tuu! Wengine kumsumbua Baba V na vi-couple vyao vya...
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Mu-hali gani wana Chit chat??? Mwenzenu hii tabia inanikera niaje, kwa takribani miaka saba nimekuwa nikilala kwenye vitanda vikubwa vyenye kati ya futi 5-6. Tatizo ni kwamba hata nilale...
4 Reactions
131 Replies
7K Views
swali: punda Milia ni mweusi au Mweupe..?
1 Reactions
21 Replies
2K Views
TEACHER: Student how many types of coffee does Tanzania export to europe??? STUDENT: 2 types TEACHER: Which one are they?? STUDENT: Kofi Olomide and Kofi Annan TEACHER: Very good...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Zuzu m1 kapita sehemu fulani akawakuta watoto wanacheza akawadanganya; 'Nyie nendeni kule kunachakula kinagaiwa' Wale watoto wakatimua mbioooo. Zuzu akajisemea moyoni, "mbona wanakimbia sana labda...
1 Reactions
26 Replies
8K Views
Back
Top Bottom