JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mlokole mmoja kaenda ugenini, kutokana na safari kuwa ndefu kafika kachoka halafu njaa imembana balaa, wenyeji kama kawaida wakamkaribisha kwa viazi bahati mbaya bado vya moto. mlokole kutokana na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tanzania tulikupenda ivory coast wamekupenda zaidi,jina la yaya toure lienziwe! Wote tuseme..........
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Katikati ya mwezi wa tano nilimlalamikia best yangu Boflo akuhimize uje home na kujitokeza JF. Boflo alisema ulikuwa unamalizia kuosha macho yako huko Bongo na ungerudi soon. Hukuja home, ila...
6 Reactions
43 Replies
3K Views
daaa!! Kuna siku nilienda bech kupiga tiz nlipo fika nikamkuta dm mmja hv mkaliii nae anakimbia so 2kaungana pamja kufanyatz 2livyo malza kukimbia dem akaniomba nimfanyishe mazoez ya 2mbo..kama...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Hi, Here is for a good laugh, After public smoking was banned in Kenya , each town clerk was assigned the duty of posting notices in Kiswahili to that effect. See how different councils posted...
0 Reactions
47 Replies
12K Views
Hai all mafrendo wa cc hapa kijiweni mpoje jamani shughuli, kazi, masomo yanakwendaje jamani ndo tuko nusu mwaka wa 2013 mwenzenu niko very handover na niko kamili huku nikiungurumisha stage kwa...
2 Reactions
51 Replies
3K Views
ni mawazo tu kwamba kama watu wameweza kuchakachua moderm nk. watashindwa hizi kitu............... sorry ulidhani nakufundisha kuwaibia tcu? tuendeleze upatu! kama bodi ifanyavyo:A S-fire1:
0 Reactions
0 Replies
793 Views
Nani kamwaga pombe yangu?
2 Reactions
81 Replies
5K Views
Sina Cha Kuelezea, kwa maana ulinipigania mpaka mwisho Arushaone na sijui hata kwa nini tuliachana. Bishanga, upo? Miss uuu...!!!
10 Reactions
336 Replies
13K Views
nami nitakuwepo hapa kwa kuibia ibia muda kwa muda huu napenda nisiishi kama orphans i should to have mama na baba watakao nilea vyema hapa chit-chat pia aunt na uncle watakao kuwa wananipeleka...
7 Reactions
327 Replies
16K Views
Dah..!! Nishauza mazao na ninavibunda vya wekundu kwenye mfuko wa Jacket. Nakwenda dar kununua suit na 4angle za kutafunia bata nikirudi bara, pia natakaninunue radio na baisikeli huyooooo...
1 Reactions
106 Replies
6K Views
Kwa wale wateja wanaopata menyu mchana hapa Port View Pub kwenye mzunguko wa kuelekea Bandarini, mmeona wapo mabinti wameajiriwa kujifungua nguo? Wanaweka mapaja nje na kuwaangalia wateja...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Jamaa alikuwa anasafiri kwenda ulaya akamwambia dereva wake ampeleke JKI airport, akiwa njiani maeneo ya TAZARA akakumbuka kuna document ameisahau nyumbani akaamuru dereva ageuze gari. Alipofika...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Mzee mmoja alikuwa anaumwa Maralia, ikabidi aende Hospital kupima. Alipofika, Nesi akamchoma sindano kwenye kidole cha kati, lakini akashaangaa kuona damu haitoki, ikabidi aanze kunyonya kidole...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mzee mmoja alipanda basi kuelekea kwao Moshi kutokea Dar. Wakati wamepita Kibaha binti fulani aliyekaa jirani naye akapokea simu akamjibu mpiga simu kuwa anaelekea Iringa kwenye msiba, kabla...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
hivi mnataka mpewe vidonge gani ndiyo mtambue kuwa mie nimekufa nakujiozea kwa Mamndenyi ?shukuran pekee kwa mweto Mwita Maranya kwa kuniachia kijiti nami nikisongeshe mbele, ifahamike kuwa mimi...
4 Reactions
46 Replies
3K Views
Hii nimeisoma kwa Masanja Mkandamizaji..... nikacheeka sana Mapenzi ya mtandaoni: mnaanza uhusiano, mnakosana, mnapatana, mnakosana, mnaachana na hata hamjawahi KUONANA! Ngoja ukute ni ZOMBI!
2 Reactions
10 Replies
931 Views
OYAAAAAA TUMBO LINANIUMA NAENDA CHOONI,NIKIRUDI NITAWAPOSTIA.:kev:
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nimepata mchumba msichana wangu kabila lake ni mmeru wa arusha natarajia kumuoa mwakani wakati kama huu ila cjui asili yao na tabia zao za asili naomba mwenye uelewa anijuze tafadhali
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom