TAIFA LANGU
*Taifa ambalo mabinti zake wakimuona mzungu wanadhan ana hela
*Taifa ambalo ukiongea kingereza unaonekana umesoma sana
*Taifa ambalo ukiwa na simu nzuri we ni mjanja hata kama vocha...
Dagaa, sangara, kambale, ngogogo, sato, katambuga, yebo×2, kamanyola, kaniki, mbute, makopa, udaga, matobholwa, michembe, mawese, samuli naaa... naa.. na simu ya siemens ile kama ya salam ya dole...
Amri kumi kwa wapenda ofa ya bia !!!!
1.Muheshimu anayekununulia bia
2.Muamkie mtoa ofa kabla ya kukaa kitini
3Uwe ndie mchekeshaji wa kikao,lakini usimkatishe mazungumzo anayetoa ofaa
4.Daima...
Sababu kuu ni kutoonekana kwa wana jamvi muda mrefu
mbwembwe tu nimewamis sana aisee wana chit chat
nawasalimu sana nawapenda sana siku mbili hizi nimebanwa sana hahahaahahaha
ukitaka kunzodoa...
Ni muda sasa nimekuwa nikimuona Rais wa marekani akiwa na mwanae wa kike aitwae Sasha, kiukweli si kwamba mtoto yule ni mzuri tu bali anastahili kabisa kuwa mke wangu. Kinachonisumbua ni wapi...
Dogo alipanda basi akakaa karibu na dereva.Akaanza kupayuka'baba angekuwa dume na mama jike la ng'ombe ningekuwa kadume kadogo.Dereva akaanza kukerwa na kelele zake.Akaendelea,''baba angekuwa...
wadau, je ni kweli ni vigumu kwa mwanamke kumsifia mwanamke mwenzake kwamba ni mzuri wa sura, pia inasemekana mwanamke ujisikia vibaya pale ambapo mwanamke mwengine anaposifiwa mbele yake. je...
Dear Ms. ABC,
Baby, I 'v seen you yesterday while surfing on local train platform and realised that you are the only site I was browsing for. For long time, I 'v been lonely, trying to find a bug...
dogo mmoja anasoma darasa la
tatu.
[dogo:]mwalimu mimi nataka
kusoma darasa la nne maake hili la
tatu halinifai,nina akili sana
[mwalimu:]mmh hebu nikuulize
maswali
[dogo:]sawa
[mwalimu:]kweny e...
jamani
Kipaji Halisi embu njoo jamani si unajua Mtambuzi yupo makalio bar na Arushaone na Preta.
Swahiba Paloma dah hapatikani pole sana kwa msiba wa mama Madame B kakamatia pedeshee na simu...
mzee mmoja aliamua kwenda kununuwa robot ambalo mtu akisema uongo linampiga kibao akalileta nyumbani kwake kwa mkewe na
mwanawe sasa katika kulifanyia jaribio akamwita mtoto wake ,akamuuliza...
Habari za asbh wana jf,leo tarehe 21 mwezi wa 6 ni birthday yangu natimiza miaka kadhaa(24-28),mungu anijaalie maisha marefu yenye amani, upendo na furaha,mapenzi tele jamani kwa wana jf woote...
Kielezavyo kichwa cha habari hii naomba msitulaumu wa baba wa chit chat!kwani babayetu ni mmoja ambaye ni Invisible hivyo hata tabia tunafanana tunapishana padogo kama sehemu ya mtoto anapoanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.