JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
0 Reactions
0 Replies
695 Views
Jamaa mmoja alikuwa anatembea, gafla akaona kitu kama mavi, akashtuka! "Hmm yanaonekana kama mavi?! Hebu nishike nione" akashika... "Doh ni laini kama mavi, lakini ni mavi kweli?! Hebu ninuse"...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Unahitaji kufahamu potentiality yako within your community, mfano ofisini! shuleni! nyumbani! Veeery simple! Angalia km mara nyingi unawaiwa kusalimiwa ama wewe ndio unawahi kusalimia! Kama...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
katika tamasha la ugawaji wa tuzo za wasanii wa filamu kinachorushwa muda huu moja kwa moja toka Ubungo plaza,kioja chaibuka.Mwl JK Nyerere atajwa kama mshindi wa filamu bora ktk category ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamaa alienda kumchukua mwanae shuleni baada ya shule kufungwa. Alipopewa ripoti ya maendeleo ya mwanae akaona kuwa mtoto ana matokeo mabaya sana, Sasa wakiwa kwenye Taksi kurudu nyumbani na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamaa mmoja alikuwa safarini wakapita mbugani jirani yake akasema "unawaona wale simba?"jamaa akajibu "alaa kumbe wale ndo simba sasa pale kaseja ndio yupi?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
http://youtu.be/WBojBFYBdXw
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wana jamvi ningependa mnijuze eti ni kweli nyoka anaishi milele endapo hatokabiliana na adui yeyote atakaemuuwa? maana nimelisikia hili kutoka sehemu isiyo rasmi ila ningependa kwa anaejua...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ratiba yangu ya siku ya leo 1. Naenda shule ya sec. Kimandolu kupiga kura. 2. Naingia kanisani kujumuijka na wenzangu ibada ya pili kumwomba Mungu leo mabomu yawalipukie wao wenyewe. 3.Kurudi eneo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Dogo;Et mjomba Dunia inapolzunguka jua tunapata nn? Mjomba;Tunaweza kupata kizunguzungu au presha.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
0 Reactions
2 Replies
638 Views
Dogo;Et mjomba Dunia inapolzunguka jua tunapata nn? Mjomba;Tunaweza kupata kizunguzungu au presha.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
sasa likiamua kuingia na Jf me wala simo... NAJITOA KABISYAAAA. . . .
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Freemason ni jamii ya siri, hakuna ajuae mambo yao yaendavyo wala hakuna freemason kimbelembele kama hawa humu jf. Na wewe mwenyewe huna sifa za kua freemason. Nibora ukajikite zaidi na mambo ya...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Mimi ni Mdada niliyemaliza form Six, na kwa sasa sina ajira yoyote. Ila nahitaji kufanya kazi za ndani (U-housegirl) kwa mwanaume ambae amefiwa na mkewe (Mgane) AU Ameachana na mkewe. Umri...
7 Reactions
257 Replies
19K Views
mwee huo msala nimeushuhudia mwenyewe live hii tabia Paloma aliianza taratiibuu sasa kaipeleka mpaka mtaani wana cc msione sosoliso hasemi kwa Paloma ni haya mavitu ananusishwa hahahahahaha aione...
4 Reactions
42 Replies
3K Views
Wageni wa siku hizi wazuri sana,si wasumbufu kama wazamani. Wakifika kwako hawaulizi chai,juice,soda wala maji ya kunywa, Kitu cha kwanza wakifika nyumbani kwako wanauliza 'UNA CHAJI YA PINI NDOGO?'
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mimi sijafurahia kauli za mwana FA. Eti nafikiria kuarisha show yangu ila sio kwasababu nina muogopa Mwanamke. Why dont you reffer to Jide. hiyo ni kauli ya dharau kwa sisi wanawake. All ladies...
1 Reactions
39 Replies
3K Views
Mzee mmoja aliagizwa SIDIRIA na mke wake,alipofika dukani akawa amesahau size gani! Mama muuzaji akamwambia; Njoo unishike maziwa, utakumbuka ukubwa wa SIDIRIA uliyoagizwa. Mzee aliposikia hivyo...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Natafta mke aliyetayari aje!
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom