Polisi wakiwa katika msako mara wakamkamata mtu mmoja bila kujua kama ni chizi. Walipofika kituoni ukutani palikua na picha ya nyerere na kikwete, chizi akaanza kucheka alipoulizwa sababu ya...
Ili kuonyesha shukrani zake kwa mkuu Chikwete kwa namna alivyokuwa anamtembelea mara kwa mara ili kumpa mipango ya kujipanga kimkakati mpaka amefanikiwa kuingia ikulu ya Malekane kwa mara ya piri...
MHESHIMIWA SPIKA, naishauri serikali yako tukufu kuwa,ktk masomo ya udaktari kuwe na kitengo cha madaktari wa MAPENZI. Huu ni ugonjwa unaosumbua wengi,vijana na wazee,maskini na tajiri. MHESHIMIWA...
KARIBU BUKOBA
Mji uliobarikiwa na ni mji wenye maziwa na rubisi
1. Una mchanganyiko wa watumbalimbali kama waganda, wanyarwanda, waTZ etc
2. Una matunda ya kipekee kama kama vile...
MWANAMUME mmoja katika mtaa wa
Mwanzo, Eldoret anauguza majeraha baada
ya kupigwa na mkewe kufuatia mzozo
uliotokana na yeye kupatikana akitazama
runinga kabla ya kumaliza kazi ya
nyumbani...
KATIKA KUHANGAIKA KUTAFUTA PESA ONLINE NIMEKUTANA NA HII WEBSITE AMBAYO KADRI YA JUHUDI ZAKO NDIO UNAPATA PESA NYINGI....MIMI NAFAIDIKA NA HILI DILI LA KIJASIRIAMALI NIKAONA NIWAJUZE WATANZANIA...
Stolen Somwea
Una miaka zaidi ya 30 hujui gharama ya kitu chochote zaidi ya BBM PARTY, BEACH PARTY na sijui nini BASH, Hujui bei ya mchele wala unga, wewe unajua bei ya
BUNDLE, SUPRA, WIGI na...
I was born intelligent but education has ruined me. May your day be panctuated with a revanchism whose magniloquence can only be theatropistically analysed by the use of a reminiscent...
wana cc kuna group wamebet kwamba hakuna gari inaweza kutoka dar to moro kwa saa moja na nusu traffic included na kutoa moro to dom kwa masaa matatu traffic included.
So mi nimewambia naweza...
Katika kijiwe kimoja kinondoni marafiki walikuwa wanaongelea kuhusu utaratibu wa wanaume na wanawake kutakana kimapenzi, kuna waliosema kuwa wanafuata tu signal za wasichana na wasichana walibisha...
Kuna jamaa alipewa hela zake kama urithi toka kwa wazazi wake.
Bingwa kwa akili ya haraka kwanza akazisweka kwenye kiroba na kutokomea nazo porini kwenda zificha, ili aape muda wa kupanga nioni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.