JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mimi starehe yangu ni kula nguna (ugali mgumu sana na mkubwa sana) kisha baada ya hapo naenda kucheza disco la Yesu Je mwenzangu ni ipi starehe yako? Wapo wanaostareheka na miili ya wenzao...
0 Reactions
87 Replies
7K Views
Bishanga waambie warudishe madeni hao watu, hasa sosoliso na Paloma... kachukue na ile gari uliyo muazima Lady doctor. The secretary kasema anataka kuhamia .................... alafu namuonaga...
2 Reactions
31 Replies
2K Views
Nimekuwa nikiona watu wengi wakilalamika yakuwa majina yao yaliabadilishwa na walim wao shule za msingi, mfano Kimario- kimaryo, moshi-mushi, helen - hellen, nicholaus -nicolas, Mc-conan...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Yes natangaza kujivua 'GAMBA'kwa 'mtoto' king'ast!! Haiwezekani kupigwa ban kila wiki tena weekends.Ngoja wenye visu vikali wale nami ntapata mwandani wangu tutakaeshibana kama king'ast na Paw...
0 Reactions
38 Replies
2K Views
Watch This Is the End Full Movie Online Free. free for watching this is the end full movie 2013 about 107 minutes.watch this is the end online Everything about this movie is great, the story, the...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwalimu mgeni aliingia darasani kwa mara ya kwanza na kuchora moyo ubaoni. Kwa vile hakuwa mchoraji mzuri ule moyo ukaonekana ovyo tu.Kwa kujiamini akauliza wanafunzi nimechora nini? Mwanafunzi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Mke wa mtu alikutwa akisoma ujumbe wa simu aliotumiwa na mpenzi wake wa nje. Ghafla mwanamke huyo akajikuta akitokwa na machozi baada ya mpenzi wake wa nje kumwambia kuwa mapenzi yao yamefika...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Wanashukruni sana wanajf kwa kunitia moyo na kunipa nguvu kwenye kipindi hiki kigumu. Mdogo wetu Vianney tulimpumzisha jana kwenye nyumba yake ya milele tukiwa na imani ya kuwa tutakutana nae...
16 Reactions
32 Replies
3K Views
Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station. "Naitwa Juma nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki 7,ATM Card na karatasi yenye PIN ya ATM Card...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Bibi wa MTWARA alikuwa anasumbuliwa na tumbo. Majuzi akaenda Hosptal. Dk. akampima akamwambia "TUMBO LIMEJAA GESI utafanyiwa upasuaji Dar". Bibi ghafla akatoka mbio akipiga mayowe; Hii gesi...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Lakini kumbuka kua said mwema hana undugu na usiku mwema
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani wana JF naomba msaada wenu hapa. Mwanzoni mwa miaka ya 90's wakati nipo primary niliwahi kumsikia jambazi sugu aliyewahi kuitikisa ulaya na amerika, namkumbuka kwa jina 1 tu la CARLOS...
0 Reactions
21 Replies
11K Views
I gues am grown enough for an outing this friday. Safari ya Morogoro kwenye Msiba wa ngea imenipa kauchovu kidogo. Filipo umepata Pm yangu?
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Grounds for Divorce A Polish man married an American girl, and though his English wasn't very good, they got along very well. One day he rushes into a lawyer's office and asks him to arrange a...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimeshindwa kuwa jf tangu jana maana nimempoteza mdogo wangu, now kidogo nimepata nguvu ya kuandika. Maralia imeamuamua kumchukua mazima. Daima tutakumbuka mdogo wetu Vianney Mwijage. R.I.P young bro
2 Reactions
62 Replies
3K Views
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kweli ujana maji ya moto, leo hii ukiambiwa Mzee Mtambuzi ndio huyu, huwezi kuamini....... Ndio maana sipendi kuamkiwa shikamoo, hiyo salaam inanikera kama nini...
0 Reactions
41 Replies
3K Views
Serikal ya Tanzania imetangaza kupunguza bei ya mchele kufikia shiling mia hamsin kwa kilo ili kuwezesha watanzania wote kula wali.hii ni baada ya kugundulika kuwa unga una madhara kutokana na...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Back
Top Bottom