JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nataka mchumba mambo yakiwa mazuri awe mama watoto wangu nakaa mbagala kmbangulile
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Matters of the Heart@gemi ***MUST READ*** A King had a male servant who, in all circumstances always said to him;My king, do not be discouraged because everything God does is perfect,no...
1 Reactions
4 Replies
976 Views
Kuwa makini ukinunua soda au bia. Hakikisha wakati wa kufungua umeangalia vyema mazingira na watu uliokaa nao. Wakati wa kufungua hakikisha Mmakonde kama yuko jirani yako asiione gesi ikitoka...
2 Reactions
35 Replies
3K Views
ukifika posta utakuta vijana wengi akina Baba V na Arushaone na vijiwe kila mahali wakiuza magazeti ya udaku.Hii ni kazi ya billionaire Bishanga toka aanzishe kampuni ya chitchat media ikiwa...
2 Reactions
93 Replies
6K Views
Mtoto akililia wembe mpe, akililia HUMMER je?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ukiona mama mjamzito katema mate, ujue mtoto tumboni kajamba!!
0 Reactions
1 Replies
4K Views
1. Mansa Musa I Net worth: $400 billion Source of wealth: Royalty Lived: 1280-1337 The wealthiest man of all-time died nearly 700 years ago and you may never have heard his name. But where pure...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
baada ya mke kupokea kipigo kikali kutoka kwa mme akaenda polisi kushitaki. Mke. mume wangu kanipiga baada yakugumgundua anauza madawa yakulevya polis wakamfuata jamaa nakuanza kumpa kipigo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sasa utakuwa umeshajua kwa nini nambari ziko hivyo Info hii umeipata kwa hisani ya Boflo
17 Reactions
20 Replies
4K Views
Baada ya kupotea JF kwa takriban miezi 12 nimerudi nikiwa na kazi na weledi usiopimika. Nabisha hodi naomba kukaribishwa. Wenu, Leroy JF Senior Expert Member
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Baada ya mlo wa jioni kwenye hotel moja maarufu mrembo mmoja wa kitongoji cha sinza akapayuka kwa sauti 'I want to speak' watu wote kimya wakamsikilliza kwamakini kumbe mwenzao alitaka kusema I...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
JF nikipost namaanisha. Sina muda wa ku 'fake' licha ya kwamba nyakati nyingine nalazimika kuyaficha majina na uhalisia wa usika kwa sababu ya Privace Right. Ila kama unaona mzee wa matukio...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Je ni sahihi kusema kuwa mtu anayefariki ameacha pengo? Naona ni kama vile tunamkufuru Mungu maana karibu kila anayefariki kwa mtazamo wangu ni kwamba amekamilisha jukumu/kusudi lake alilokusudiwa...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari zenu wapendwa, nasikitika kuwataarifu kuwa nimepata msiba wa mama yangu mkubwa. Amefariki jana jioni na tunatarajia kuzika leo saa kumi Muheza Tanga. Innalillah wainna illaih rajiuun
6 Reactions
157 Replies
10K Views
elimu
0 Reactions
0 Replies
598 Views
Eti wakuu,mnaonaje katiba mpya ingewaruhusu wanaume wa tanzania wenye nyumba ndogo kutambuliwa kisheria?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamaa mmoja kabila namuhifadhi kwa leo alianza kusHtukia nyendo za my wife wake; so akaona bora aanze kupiga defence; ndoa ikiwa na mwaka mmoja tu jamaa akawa na tabia ya kupiga piga simu nyumbani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hello kyanaKyoMuhaya, We at JamiiForums would like to wish you a happy birthday today! It's a special day in your life and NOT just a year older, but a year better! Wishing you all the great...
2 Reactions
5 Replies
873 Views
Mwanao kaja na Kondom iliyotumika MZAZI:Umetoa wapi? MTOTO:Nimeokota MZAZI:Tupa MTOTO:Haya! ila mchuzi nimekunywa wote
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nakumbuka mara ya mwisho kuongea nawe ulikuwa mguu nje mguu ndani kwa manoah, Nimeskia umemtosa manoah naona ni wakati muafaka kwangu kurudisha majeshi kwa nguvu zote,...I need you.. Copy: Baba...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Back
Top Bottom