Jamani na nyie tenganeni mtuachie hata nafasi wengine......
1. watu8 na measkron
2. sosoliso na baby Paloma
3. Judgement na YNNAH
4. Madame B na Arushaone, Chimbuvu, na wengine walio baki kama...
Leo wakati nawahi kutafuta ridhiki nimekutana na hii kitu njiani karibu na shamba la mahindi mara kwa kwanza nilishtuka nikakumbuka kuna Yesu na Mtume nikataja jina la Yesu na Mtume Mohamed...
Nafasi nachukua,shairi kukuandikia,
Albert Mangwea, uliyetangulia,
Asili ya Songea,mzaliwa wa Mbeya,
Mangwea tangulia!
Nilianza kukusikiliza,ili kukuelewa,
Mengi ukanifunza,hadi kunogewa,
Kwa...
kutokana na tabia yake ya kuparamia mali za watu kwa muda mrefu hatimaye za mwizi arobaini,mwenyekiti wetu Baba v yamemfika ya kumfika kaja kuparamia ukuta wangu kwa kasi ya ajabu akiwa amevalia...
mapenzi haya kificho yanapoingia moyoni,mwenye mapenzi haoni ingawa macho anayo,mtu chake
apendacho hakina ila machoni huridhika kuwa nacho japo hakina thamani,.mapenzi hayachagui
kabila...
Hii kitu imekua ikisumbua sana kichwa yangu,maana tumezoea kusikia watu waliogundua sijui ziwa victory,mlima kilimanjaro,bagamoyo,sijui mara HIV inapatikana pia kwa kugegedana,mara kagundua...
1. Betri ina jaa charge baada ya dakika tatu
2. ina TV, TOCHI na mswaki
3. NDEGE ikipita karibu simu ina andika 1 MISSED CALL
4. Ukiwa karibu na JIKO inaandika CHARGER CONNECTED
5.Ukipita karibu...
Nilikua nasikia kama hadithi za kusadikika vile.......lakushangaza ni kweli.
Jamaa yupo bomba mbaya ila analalama kila akimtokea demu anamjibu ' Usinidanganye na uzuri wako huo usiwe na mtu'...
Salamu kwa wote, nimekwama, nina vifaa vyangu naviuza, kama uko vizuri au unaweza kukopa sehemu uvichukue. najua
vitakusaidia sana kufungulia ofc yako rasm.!
Nauza vifaa vyangu vya uganga...
A sexy beautiful girl died of AIDs and soon after her burial her grandama went to her room to pack her belongings so that another person occupies it. As she was packing she saw a g-string and she...
Hivi Ngwair alikuwa kabeba madawa tumboni au alitumia tu ? Hichi kinaleta sintofahamu miongoni mwetu.Kuna video iliyowekwa youtube ikimwonyesha uchi akipasuliwa na madawa kutolewa tumboni kama ni...
Watu wengi wanaweza wakadhani kuwa ubitozi ni kitu kibaya, kumbe ubitozi ni usafi tu wa mwili, na mazingira na utanashati kwa ujumla.
Kuwa bitozi sio lazima uwe na hela nyingi sana wala sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.