Helow Tanzania!
"I am very happy to share with u this beautiful
moment of my life."
Mwezi wa tatu nilichaguliwa na kampuni ya Gold
films company ya Australia (Nimewai kuwa field
kabla)...
Jamaa kaweka sahani mezani ile anataka kuanza kula tu mlango ukabishwa. Ikabidi aiweke sahani chini ya kochi akafungua mlango. Mgeni: Mbona kwenye kiti panatoka moshi? Jamaa: Aah! Si unajuwa...
heshima kwenu wakuu,kama kuna mtu anazo anuza ziwe used au mpya please nomba kujuzwa,au japo nielekezwe zinapatikana maduka gani hata nikiambiwa na bei pia haitakuwa mbaya,thanks, in advance
Dogo: Mama hivi malaika si wanapaa?
Mama: Ndiyo wanapaa, Kwanini umeniuliza hivyo?
Dogo: Nimemsikia baba jana anamuita dada (housegirl) malaika wangu, kwa hiyo nae atapaa?
Mama: Ndiyo atapaa...
nimekimbia jukwaa la siasa ni hatari, huko hapafai, kwamtu anaetaka kuwa hewani mdaote JF, hivyo mnikaribishe kwaupole, hasa (chuchuchu, tototo) wa humu,huenda wakapata bahati ya kupolomoshewa...
Hahahaha wamachinga wa ubungo balaa yaani baada ya magufuli kuwapiga biti na kuwataka waondoke wenyewe ndio wameamua,wafute kbs maneno ambayo yapo kwenye bango linalowataka waondoke nakubakiza...
Kiongozi mmoja wa dini fulani alikuwa akiwashauri waumini wenzake kuhusu kuzungushia wigo makaburi ya ndugu zao! Ghafula mlevi mmoja akasema mimi nna swali! Kiongozi: we uliza tu hapa...
Hii nimekutana nayo leo kwenye phone bible yangu.
Mithali 6:32-33
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake. Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima; Wala...
Jamaa mmoja aliyekuwa na mke na mtoto mmoja apatae miaka kumi alipanga chumba na sebule, sebuleni alikuwa akilala mwanae ambaye alijihusisha na shughuli ya kuuza miwa kwa sababa yeye alikataa...
Jamaa mmoja alifanyiwa upasuaji wa pumbu zake , sasa wakati dokta anaendelea na upasuaji ghafla alitokea paka na kubeba mbegu ambazo dokta aliziweka pembeni kwa ajili ya uchunguzi! Dokta kuona...
Heshima yenu wakuu.
Ni muda mrefu sijatia maguu humu CC, nilikuwa nachungulia kupitia dirishani kinachoendelea. Jana nikaingia humu ili kuondoa stress, yaliyonikuta hapo mlangoni huenda hivi sasa...
mzee kanunua simu akawa amekaa na mwanae sebuleni akiwa anatest milio ya simu aliyokua kainunua mara dingi akajamba pwii!mtoto akadakia ''Baba huo usiuweke unaharufu mbaya!!!!!:kev:
Naomba mnisaidie mahala pa kujirusha leo ijumaa!Nina ham sn ya kwenda musiki.Km unafaham jahaz,fm academia au twanga pepeta wanapiga wap leo.Nawasilisha.
"Doctor, I have an ear ache."
2000 BC - "Here, eat this root."
1000 BC - "That root is heathen, say this prayer."
1850 AD - "That prayer is superstition, drink this potion."
1940 AD - "That potion...
Mchungaji mmoja alikuwa akihubiri kanisani kama ifuatavyo!Mchungaji: mungu yu mwema mgeukie mwenzako na mwambie na umwambie mungu yu mwema!Waumini: (waligeukiana na kuambia hvyo)!Mchungaji: leo...
Nilifikir CHADEMA wakorof Bungen tu! Kumbe hata hotelin...! jana wakiwa wanakula akaanza WENJE: Mwongozo wa hotel chumvi haitoshi..! MNYIKA: Taarifa Mheshimiwa! Mchuzi unaonekana wa Jana siungi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.