JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ahsante kwa huruma yako ya moyo. Mungu hapendi wizi kabisaaaa!!J'pili kuna ugeni mkubwa unakuja kwa wazazi wako saa10.30 jioni,naleta posa honey ili nikumiliki kihalali. Najua Paw umeshampa...
2 Reactions
58 Replies
3K Views
baada ya msoto wa mda mrefu natangaza rasmi kuanzia leo ni mimi na mimisa tu,naomba msimsumbue my baby, niachen nijilie vyangu i love u so much mimisa
4 Reactions
159 Replies
7K Views
http://www.facebook.com/photo.php?v=108084799402763&se t=vb.101670060006938&type=2&th eater
0 Reactions
3 Replies
3K Views
NANI HASA MMILIKI WA MWANAUME, MAMA YAKE AU MKEWE? Fuatilia mabishano haya: MAMA: Mwanangu lazima aniheshimu mimi, alinyonya maziwa yangu takriban miaka miwili. MKEWE: Mimi ni zaidi ya miaka...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
kaskazin
0 Reactions
0 Replies
669 Views
looking for a friend to chat with if possible..
0 Reactions
2 Replies
808 Views
Ndugu wana CC, Kutokana na kushamiri kwa watu kuchumbiana na kuona hapa jamvini, nami pasi hiyana napenda kuwatangazia kuwa nauza na kukodisha nguo, viatu na vikorombwezo vyote muhimu vya...
8 Reactions
97 Replies
15K Views
Wakati ana-ripoti kujiunga na JKT, John Mboya aliulizwa getini: Afande: Kijana hapa ukiulizwa swali jibu unalotoa lazima umalizie kwa kusema "afande". Sawa kuruta? Mboya: Sawa afande Afande...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Viongoz wa Tanzania: Wanaweka pesa Uswis, Wanatibiwa India, Wanajenga London, Wanawekeza U. S. A au S. Afrika, Shopping Dubai, Likizo na matanuz Paris na kuungama wanaenda Israel au Saudi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
teh
tehtehtehhhhhhh,,,,,,
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hivi jamani MAMA MARIA NYERERE akiamua aolewe leo huyo mme wake tutamuitaje?Baba wa kufikia wa taifa?Baba wa kambo wa taifa?Baba mdogo wa taifa??Au mlezi wa taifa?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Samahani lakini Eti ni kweli chanzo cha fujo Bungeni ni wingi wa vijana bungeni. NaomBeni msinitukane nimeisikia hii hoja sehemu
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Kwa yeyote mwenye ufaham! Hivi DSTV usipolipia zile FTA Channels zitaonekana free au?? Na kama sio hivyo ni kwa nini?? ... Ila naona only TBC inaonekana, ni kweli au ni leo tu??
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Lool! ratiba yangu wiki ya kuanzia Tarehe 3/6 itakwa hivi: Tarehe 3 nitasafiri kutoka Tanga kuelekea Dodoma, Kwaherini Wana JF -Tanga wing, Hodihodi Jf Dom wing kama mpo. Natamani kuwa mjengoni...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kuna wanamlengo wa walibelali humu chitchat?
0 Reactions
3 Replies
737 Views
Baada ya pilika pilika za Daslam nategemea kuwa Mikanjuni Tanga kula bata na shemeji/wifi yenu huyu hapa. Wana Tanga Wing nipokeeni na Ratco bus la saa 8.00 mchana. Fukwe ya Tanga ni nzuri sana...
2 Reactions
35 Replies
5K Views
An apple, potato, and onion all taste the same if you eat them with your nose plugged. Jaribu na unipe feedback... maajabu haya jmn
2 Reactions
24 Replies
2K Views
KIPIMO CHA KUJIAMINI: "Jamba kwa nguvu mbele za wakwe na uoneshe tabasamu".
0 Reactions
6 Replies
4K Views
walimkalibisha mgeni chakula jamaa akawa anakula ugaritu bila kula mboga wakamwambia (ubhetamo nomikobhe) yaani uweunapita na kwenyemboga wakiwa na maana jamaa awe anakula na mboga, jamaa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mnatuumiza vidole kuchomoa hizo staple pins mnazobania magazeti yenu.
2 Reactions
9 Replies
897 Views
Back
Top Bottom