JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Obama: vp dogo mambo yanaendaje?Kikwete: poa kaka shikamoo!Obama: marahaba dogo! Dogo yule raisi wa china kafuata nini huko?Kikwete: kaja hutubia kaka!Obama: kwani kwao hamna majukwaa?Kikwete...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Miaka yote tumezoea wanafunzi kurisiti mitihani,mwaka huu Baraza la Mitihani ndilo linalorisiti!Duu!kidumu chama cha mapinduzi ya elimu
0 Reactions
11 Replies
1K Views
LEO ni Siku ya Watu Wenye Wapenzi zaidi ya Mmoja, Kauli Mbiu:- "EPUKA KUSEMA SINA MWINGINE ZAIDI YAKO". Tuma sms hii kwa Watu unaohisi wanao Wapenzi zaidi ya Mmoja! Kama MIMI nilivyokuhisi...
0 Reactions
42 Replies
3K Views
Jamaa kang'atwa na nyoka akaanza kucheka mpaka machozi yakamtoka akaulizwa unacheka nini? WAKATI UMEUMIA? jamaa akajibu namsikitikia nyoka kwani mi nina UKIMWI.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
"What would you do if I died? Would you get married again HUSBAND: "Definitely not!" WIFE: "Why not - don't you like being married?" HUSBAND: "Of course I do." WIFE: "Then why wouldn't you...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
kuna siku clouds watabaki wanapiga tu nyimbo za kwaya ya parokia ya mavurunza Imenitengenezea sana siku yangu
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Namshukuru Allah kwa kuniwezesha kuiona siku ya leo ambayo tar kama hii 29/05 miaka 26 iliyopita ndio nilitambulishwa rasmi dunian. Thanks kwa wazazi wangu kwa kunikubali kunilea na kunifunza...
0 Reactions
8 Replies
796 Views
Hili jina nimejaribu kupata uenyeji wake nimekosa. Kuna mtu katapeli rafiki yangu anaitwa Raymond Lisakafu na hatujui tumpate wapi. Hivi Lisakafu ni wenyeji wa mkoa upi
0 Reactions
2 Replies
840 Views
Namshukuru sana Mungu kwa matendo yake ya huruma, mnamo tarehe 24/5/2013 siku ya ijumaa saa 3.45 asubuhi,mke wangu alijifungua kwa njia ya operation pale Amana Hospital nakupata mtoto wa...
4 Reactions
44 Replies
3K Views
Mateja watatu walikuwa wakihangaika kuangua embe! Waliangua kwa muda mrefu lakini hakuna aliyefanikiwa kulidondosha! Teja mmoja akaamua kupanda juu ya muembe kwenda kucheki kama ile embe itakuwa...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii nimekutana nayo mitaa ya kinondoni asubuhi ya leo. Gari hili inaonekana registartiona namba yake halali imefunikwa kwa kubandika hii juu yake. Kwenye kii inasomeka namba T925AGP Nimejiuliza...
0 Reactions
0 Replies
984 Views
Wapendwa hivi ni kweli bahati haiji mara mbili????
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Juzi nilikuwa nawatch habari..kufika habari za michezo na burudani..ikaja habari ya mchakato wa miss kitongoji nanihiii..loh jamani hao visura mmh...mtu anavyojitambulisha tu unamuonea...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
FACEBOOK (inbox) Boy: mambo mpenzi Girl: (seen 3 minutes ago) Boy: vipi tafadhari nijibu mpenzi Girl: (seen 2 minutes ago) Boy: lakini kwa nini unaniumiza?? Kwa nini haunijibu? Girl: (Seen 3...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Si lazima upae na ungo ili uwe mchawi. Dalili za uchawi: Chuki, majungu, wivu wa kijinga na umbea. Kama unazo hizo umeshafuzu kuwa mchawi.
3 Reactions
23 Replies
9K Views
Wako wapi Ivan Pavlov,Robert Thorndike, BF Skinner,John Watson,Albert Bandura,Freud Sigmund,Abrahm Maslow,Carl Rogerz,Jean Piaget,lev Vygtsky,Erick Erickson,jamani nauliza wako wapi Plato...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Bandugu wa JF Tanga Wing naomba muunge mkono wazo la kwenda kupanda mlima Kilimanjaro kwa pamoja. Naomba wahusika mtoe hoja za kuunga mkono ama kupinga hoja hii ama muongozo wa namna ya kuchangia...
6 Reactions
96 Replies
5K Views
1. Chagua namba zozote mbili tofauti 2.Zidisha mojawapo ya hizo namba kwa 2 3.Jumlisha 5 kwenye jibu 4.Zidisha jibu ulilopata kwa 5 5.Jumlisha namba ile ya pili uliyoiacha mwanzo kwenye hilo...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
hapo zama nilikua naish kitaa kimoja chauswahili na nilikua bonge labishooh kwakuwabadili madem na pamba zangu zakuazma huku nikijifanya mie anderglaund wa hip hop madem walinipenda xana na kila...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna namba kati ya 1 hadi tisa ambayo ina maajabu.Nitajie alaf nipe sababu ikifanyaje au ikifanywaje inakuaje au vyovyote unaweza!
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Back
Top Bottom