JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
kuna mpemba alikuja unguja kutembea sasa akakutana hallat mzuri wa kiunguja mmpemba kadata ikabidi atongoze >mpemba ntoto wyee wallah wanimaliza urefu kama nkarafuu mashaallah .mashaallah...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Kama wewe ni Zee la Totoz, mida kama hii ukiwa kule FB uta-enjoy sana; yani ni mwendo wa ku-chat mwanzo mwisho! Sasa huku JF ni majanga matupu... Teh teh! PM zimenuna!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamaa bonge la mtu kaingia kwa dokta. Jamaa: Dr. nina tatizo huku sirini. Dr: Hebu vua nguo tuone. Jamaa: Poa navua ila plz usicheke, narudia usicheke. Dr: Ucjali hii ndo kazi yangu siwezi...
2 Reactions
29 Replies
5K Views
Korosho ni zao la kusini.. Na kuna mtu nimemsikia akisema kua asilimia kubwa ya watu wa kusini wana roho za korosho. Ndio maana wako teyari kufa kuhakikisha gesi hawapati watz wengin isipokuwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hata uwe kauzu kiasi gani huwezi kujamba wakati unatongoza. Hata njiwa 'Ana Makinda' lakina hawezi kuwa Spika wa Bunge Hata uwe bishoo kiasi gani huwezi nyoa kwapa Kiduku Urefu na Ufupi ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
NYIE ambao ID zenu zipo red red kama Invisible Mamndenyi @pakajimy Mtambuzi Bishanga Erickb52 twin wangu FP Slave Bishanga -lakini sitaki sifa kama wewe una red red na ki badge cha mererani...
11 Reactions
67 Replies
4K Views
Police:unaishi wapi? John:na wazazi wangu Police:wazazi wako wanaishi wapi? John:wanaishi na mimi Police:Nye wote mnaishi wapi? John:tunaishi pamoja Police:nyumbani kwenu wapi? John:karibu na kwa...
0 Reactions
1 Replies
952 Views
Nimeikuta hii katika blog ya Swahili Time nikaona si vibaya tukiulizana na kupeana sababu tofauti... Swali uliulizwa: Hawa najiuliza, kwanini mabibi harusi wengi wanapenda kulia siku ya ndoa...
1 Reactions
49 Replies
6K Views
Jamaa alikuwa beach, Mzungu akapita akamuuliza"are u relaxing?" Jamaa hakuelewa akajibu NO,akapita mwingine akajibu vilevile Akaona usumbufu akasogea mbele ufukwen,akamkuta mzungu m1 akamuliza...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
habar za mchana wadau? Naomba anayejua nyimbo nzur za taratibu anipe majina hizo nyimbo na walio ziimba! Thankx, have a nice day!
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Mtoto: Baba eti ile redio ina spika? Baba: Ndio kwani vipi? Mtoto: Kama inayo spika mbona haina wabunge? Baba: Mh!! Swali gumu mwanangu!!!!!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Football vs Sex. 1. Going to your bf/gf without being invited = OFFSIDE>:/ 2. Dating a girl today and having sex on the same day = FREE-KICK/:) 3. Condom = GOALKEEPER 4.Condom breaks =...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Umemfanya nini Paloma? Mbona kutwa nzima analia?
2 Reactions
271 Replies
10K Views
Bba
Wadau mi nataka kupiga kura ili kuwafanikisha wabongo kushinda ila naomba kufahamisha. BBA ina maana gani, ina vigezo gani kuingia na wanafanya kipi tofauti au cha maana wanapokuwa s. Afrika...
0 Reactions
0 Replies
692 Views
Weekend yetu si nzuri wapendwa...bibie wangu Kipipi hajisikii vema ila namwomba Mungu amponye haraka. Chocs popote ulipo naomba uje umsaidie mke mwenzio. Get well soon my love!
9 Reactions
416 Replies
14K Views
masai alimuona jamaa yake akienda chooni na maji uzalendo ukamshinda akabidi aulize hey! Rafiki mbona waenda namaji chooni kwani muk..uundu iko na kiu.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Shekh mmoja aliletewa pensi na rafikiye wa oman kwa ajili ya kuvalia na kanzu! Siku moja alisahau kuivaa akavaa kanzu tupu ,akiwa anapata udhu alikunja kanzu mpaka kiunoni wenzake wakamuuliza e...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndo nimejiunga naombeni ushirikiano wapendwa
4 Reactions
36 Replies
2K Views
Wanafunzi ambao walianza darasa la kwanza mwaka 2002 ni wanafunzi ambao wana bahati sana,walipoanza shule tu ada ikafutwa,walipofika darasa la nne tu kurudia darasa kukafutwa na hatimaye kuibukia...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Hamjambo wanachitchat? Mimi mzima wa afya ila naingia hapa kwa huzuni kubwa. Wapendwa, mtakumbuka kwamba nilikuja hapa chitchat tarehe 9/5/2013 kueleza nia yangu na sababu ya kubadili avatar...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Back
Top Bottom