JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Je inawezekana kweli cku moja 2kalimaliza kabisa ttizo la foleni za daladala hapa jijini Dar?
0 Reactions
3 Replies
942 Views
najua wajanja mshanunua tiketi yenu...hahahahahahahaha.. cc Madame B Paloma KakaKiiza. Mentor Preta Arushaone Erickb52. Mamdenyi@Bishanga
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Mrembo by Nature, Jumamosi ulinifanya niwe nafuraha na kuona dunia nzima niyangu kwa raha ulizonipatia.... hadi sasa ivi nikikumbuka yaani yaani dah! basi tu, sasa nauliza utaniacha lini au kabla...
2 Reactions
40 Replies
2K Views
Habari ya asubuhi,habari ya mchana,habari ya jioni kwa ujumla. Nimshukuru mke wangu Mrembo Arabela kwa dua zake kwangu ambazo zimefanya nifike salama hapa kijijini ntwara,pia niwashukuru...
0 Reactions
32 Replies
2K Views
Jamani sisi tunaoishi mikoani tunakosa mengi,tukija DAR tunatamani kubaki huku,eti -club nzuri ziko Dar -Pub za uhakika -Watoto wazuri Kwa kweli Dar kutamu balaa,hata huko Tmk tunakosikia pabaya...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
I met mine in university, what about you?
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Jamaa anafakamia Ndovu kama hana akili nzuri vile Watu wa A-TOWN wanatisha mbayaa kwa kupiga maji... LOL
4 Reactions
76 Replies
3K Views
Wale wapenzi wa big brother, imezinduliwa ryt away.. Karibuni tuone hawa watz wenze2 watatulea nini? Au AIBUUU ya last year kwa mmoja wao aloyadoooo?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Unakuta mke ameingia kwa jina lingine, mume amejiregister kwa jina lingine, wapostiana, unafika wakati wa msg za PM, unakuta, mhh, akitupia number ya simu, unaifahamu, unapotezea. Nyumbani maisha...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Ukiachilia matangazo ya biashara ( mengi ni ya waganga wa kienyeji ), na hadithi ( machombezo ), habari zote za kwenye magazeti ya udaku zinatoka kwenye blogs na mitandao...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Sim ya kichina sio sim jamani... Sim imeanguka kidogo tu, Camera imepasuka, Redio imevunjika, Credit zote zimemwagika, Phonebook imechanika, Picha zote zimepeperuka, Na friends zangu wa FB...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
jamani tutokapo nyumbani tuakıkıshe tuko kamili katika kila kitu sababu chochote chaweza kutokea sasa ebu angalia huyo dada aliyokochini tuseme alisahau kuvaa chupi.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
haya bana thanks Elizabeth Dominic kwa suprise uliyonipa ghafla, hope salam kwa charminglady na JF wing ya RockCity mtazipata salamu, nawapenda sana ila usifikishe salamu kwa Chimbuvu
1 Reactions
9 Replies
822 Views
Cut mangor cut orange cut apple nk. but usije kukata mawasiliano na rafiki,ndugu,jamaa na wote wanaokujua..when u alive..
0 Reactions
1 Replies
578 Views
mtoto na baba yake: mtoto:kwan baba unataka kuanza tena shule ya msingi? baba:kwa nini mwanangu? mtoto:jana usiku nilisikia mama anakuniong'oneza eti mwende la pili au?sasa nashindwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
MUME: "kila siku mie nakushangaa sana mara useme TV yangu, gari langu, chumbani kwangu, watoto wangu. Sisi ni mume na mke, kila kitu ni chetu, jirekebishe bwana." Mke akajifanya yupo kimyaaaa...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Zembwela ni mmoja kati ya watangazaji nnaowakubali kinoma. I'm now watching uswazi
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamaa flani Msafishaji wa Ndege aliokota kitabu kimeandika; 'JINSI YA KUPELEKA NDEGE' wakati anasafisha ndege moja. Akafungua ukurasa wa kwanza akasoma, "Ukitaka ndege iwake bofya kitufe...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
hakuna hata wa kuninunulia juisi... dar wing, ndugu yenu nipo mjini jua kaliii, mko wapi jamani
0 Reactions
4 Replies
938 Views
She comes everyday................ comesn't she? He took you to the hall.............tookun't he? They are eating each other............eatingn't they? She drives...
3 Reactions
41 Replies
5K Views
Back
Top Bottom