JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Jamani kupendwa raha kupendwa raha. Penda unapopendwa wajinga wajinga tupa kule. I only want to share with you ccrs. Kwa wale mabroken heart umegawa kidude miahadi kibao jamaa hasomeki piga chini...
3 Reactions
51 Replies
5K Views
Habari Wakati umelala kitandani hua unakumbatia nini? 1.pillow/mto 2.mwenzi wako 3.doll 4.kitabu cha imani 5.unajikumbatia mwenyewe...
3 Reactions
61 Replies
4K Views
Mfano unaitwa Julius Jackson Kangayupo jina ulilopewa na wazazi lakini wengine watakupa majina kama haya watoto watakuita Baba Mkeo atakuita mume wangu wajukuu watakuita babu Wapwa zako...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mi ni kijana wa miaka 21 nipo chuo mwaka wa kwanza nilikuwa naomba mnishauri nitaweza kujipanga vipi katika maisha hasa katika kujitegemea.Wazo langu la kwanza ni kununua kitanda muda si mrefu...
0 Reactions
1 Replies
873 Views
Huu ni mfano wa barua ya mapenzi iliyoandikwa na kijana mhitimu wa kidato cha nne! "me is love u. if u loveng and i will hepi. also when look u i filling my hurt moves fast fast like woch clock...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
wadau kati ya metro, dar express na kilimanjaro express, lipi luxury zaidi kwenda dar kutoka arusha?
0 Reactions
2 Replies
759 Views
Nivea tunakumiss huku jamani.. upo serve number ngapi nije kukupa salamu. "The world will not be destroyed by those who do evil, but by those who watch them without doing anything" By Albert...
2 Reactions
80 Replies
4K Views
How many of yo have best friends? Probably most of you? When was the last time you sent them a song letting them know just how valued they are? teh teh teh lady furahia acha wivu halafu Passion...
7 Reactions
61 Replies
3K Views
1. (-3) – (-4) = 2. (-2)+(-6)-8 = 3. 6+5-(-8) = 4. 4+(-4) = 5. (-60)+7(8-(-2))÷(-5) 6. (-13)+(+11)=...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
kujifunza inahusika...
0 Reactions
2 Replies
989 Views
Leo asubuhi kabla sijaanza kujiandaa kwenda kibaruani niliona post ya kusema mtu kamzimikia Lizzy, hii ni mojawapo ya string nyingi sana ambazo zimekuwa zikitangaza kumzimikia Lizzy. Hivi Lizzy...
2 Reactions
573 Replies
28K Views
1.Waumini wanapoingia kwenye nyumba za ibada kupenda kukaa viti vya nyuma kwanza hata kama vya mbele vipo wazi 2.ABIRIA wa daladala waliosimama kutopenda kurudi nyuma hata kama kuna nafasi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanajamvi nawasalimieni! Wataalamu wa saikolojia wanasema kwamba ushauri ukitolewa kwa upendo unafuatwa. Mimi nimeshauriwa kwa upendo na nimefuata ushauri huo. Inahusu avatar yangu: ile ilokuwa...
1 Reactions
0 Replies
766 Views
Dereva mmoja alipata ajali na kusababsha vifo vya watu watano akakamatwa na trafic na maongezi yalienda hivi, Traffic: Eeenh nambie ilikuaje? Dereva:Mi nilikua speed kali gafla nikaona kundi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Amani kwenu wadau, natumaini wote mu wazima wa afya na mnaendelea na majukumu yenu kama kawaida. wakuu naomba ushauri hapa, nafikiria kuanzisha biashara ya kutengeneza kadi mbalimbali kama za...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wapendwa wana JF Social Lounge (source hapo juu) MwanaJF mwenzetu Mtambuzi anaumwa jamani, na hali yake si nzuri kiasi cha kumlaza nyumbani akiwa hoi. Nawaomba kwa dhati kabisa kila mmoja wetu...
4 Reactions
66 Replies
4K Views
najua nitakumbana na vichwa humu ambao wataweza kulifafanua hili suala hivi inakuwaje unamkuta mwanamke au mwanamme hamjuani wala hamjawahi kuonana sehemu yoyote na akukutolea macho kwa sana...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Ndugu wana CC.. napenda kuchukua nafasi hii,kuwaweka wazi kua mimi mimisa sihusiki na mabadiliko ya kitabia na mwenendo wa zilipendwa wangu manoah.. umu ndani kuna minong'ono minong'ono...
6 Reactions
113 Replies
5K Views
AMRI KUMI KWA WAPENDAO OFA 1. Muheshimu anayekununulia 2. Muamkie mtoa ofa kabla hujakaa kitini 3. Uwe ndie mchekeshaji wa kikao, lakini usimkatishe mazungumzo anaetoa ofaa 4. Daima jitolee...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wooote pigeni nduuuuuru.....aisee likizo kumbe tamu kweri.....muda wote niko na mashori hao wamepiga vithong watamu rangi za chokoleti aisee.... anko snoop killed this shit....way back life...
0 Reactions
6 Replies
964 Views
Back
Top Bottom