Hii barua kuna mahali nimeichukua nikaona niipost kwa page yetu ili kama una cha kuongezea ongezea kabla hatujaituma kwa muhisika..
Dear Mwl. Nyerere, Tangu uondoke hali hapa Tanzania...
:angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry:
Sijategemea mtu mwenye wadhifa mkubwa kama wewe tena katibu wa chama kikubwa kujihusisha na ujangiri wa wanyama pori...
Familia ya Bw.& Bi HISPANIA wanasikitikia kuwatangazia vifo vya watoto wao wapendwa REAL MADRID na BARCELONA vllivyotokea ktk nchi ya ujerumani siku za Jumanne na Jumatano usiku, mazishi...
....Nimekuja mara moja huku kuwasalimia tu,ni matumaini yangu wote mu wazima wa afya tele.
....
...My wife natumai hujambo nipo njiani naja niandalie misosi kabisa.....nimekubebea zawadi yako...
ebanaeee kumbe jana ndo nimetimiza miaka miwili tangu nijiunge na JF, huamini?
cheki hapa chini
ndani ya miaka miwili nikaopoa kifaa cha ukweli charminglady ambae nae baada ya kurubuniwa na pesa...
Habari za kwenu ndugu zangu wanpendwa? i am back kidogo, nilikuwa nimetingwa na majukumu to the extenty kupata nafasi ya kutumiaa vyema CC ilikuwa shughuli, bado niko nayo but usiku kama hivi leo...
Ninayo furaha sana kuhingia katika ulingo huwa wa Jf chart naomba mnipokee tuwe pamoja katika kupeana ushauri,na kujaliana mambo ya msingi il kuweza kuimprove our life . ASANTE
KUTANA NA MTU MWENYE HURUMA ZAIDI.jamaa kafiwa na mkewe, waakiwa makaburini alimuona mwanaume mmoja analia sana huku akijigalagaza,mume mfiwa akamuuliza rafiki yake,mbona huyu analia sana ni nani...
Katika vitu vilivyo pewa kipa umbele ni zakali!
*Mwanamke anapata mtoto
*Shoga anabadili sauti hadi mwendo
*Imetengenezewa condom watu wanauza wanapata pesa!
*Uwezi kuwa kiongozi wakanisa kama...
Mzungu alipita na nyani wake karibu na muuza ndizi, nyani akapora ndizi akaila muuzaji akamaind, mzungu akasema unamaind nn wakati ndizi kala ndugu yako? Mzungu akaondoka aliporudi akakuta nyani...
Leo ni siku yako mpya hapa duniani, hongera kwa kutimiza miaka kadhaa toka uje hapa duniani, Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu yenye baraka na afya, sina mengi ya kusema, ila nasema hongera kwa...
Salaam alaykum,bwana yesu asifiwe,habari,igweeeee,mimi ni mgeni jamii forums,na pia katika jukwaa hili,wakongwe wa jukwaa hili(Smile,lara1,mzabzab,mwanamalundi,Natalia muke ya mudhungu na wengineo...
Two men waiting at the Pearly Gates strike up a conversation. "How'd you die?" the first man asks the second.
"I froze to death," says the second.
"That's awful," says the first man. "How does it...
ingekua vipi kama.....
1.nauli zisingepanda
2.kila mtu angekua rais
3.kuoga kusingekuwepo
4.kufeli kusingekuapo
5.mume na mke lazima wawe wote bikra
6.wewe ungekua rais wetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.