Kichaa mmoja alitoroka Mirembe saa saba ucku alipovuka eneo la hospitali akavua nguo na kuzitupa na kuanza kutembea mtupu kama kawaida ya vichaa, kufika njiani akakutana na kundi la watu...
Jamaa alienda kwa mchungaji kuungama...
"Nihurumie Mungu wangu, nimetenda dhambi nyingi saana..."
Mchungaji: "Mwanangu, usihofu... Mungu ni mwenye huruma saana...
Atakusamehe tu..."
Jamaa...
Waziri wa kilimo Tanzania katembelea mradi wa kufuga nyuki, mlinzi kamzuia kuingia waziri kwa ukali unanijua mimi nani? Mimi waziri, mlinzi akamwambia sawa mzee ingia. Mara waziri kaanza kupiga...
Wana JF naomba kwa anayejua sehemu wanatengeneza dreads vizuri kwa maeneo ya posta au ilala kwa ujumla. nlikua naishi wilaya ya kinondoni (Sinza) sasa nimehamia ilala (posta) ila napata shida...
Mmeamkaje wana Chit Chat....
Mtajwa hapo juu huwa napishana naye humu jamvini, nikimuangalia sana naona anafanana na familia yetu, kuanzia muondoko, haiba zake na hata rangi rangi yake...
Wakati nasoma chuo, profesa wetu mmoja aliwahi kutuambia, " Wewe kama mwanafunzi wa Chuo Kikuu, nikikuuliza unitajie jina la mji mkuu wa Tanzania, halafu ukaandika DODOMA, I...
Must read...
SON: "Daddy, may I ask you a question?"
DAD: "Yeah sure, what is it?"
SON: "Daddy, how much do you make an hour?"
DAD: "That's none of your business. Why do you ask such a thing?"...
SIKU MOJA RAIS WA YEMEN ALIAMUA KUFANYA ZIARA YAKE BINAFSI KWENYE JANGWA, KATIKA PITA PITA ZAKE HUKO JANGWANI AKAMUONA JAMAA MOJA AKIWA ANAVUTA GANJA AKAANZA KUMOJI MASWALI= RAIS= HIVI HUOGOPI...
Najua hili si jukwaa la kuombana urafiki, bali ni jukwaa la mijadala zaidi
Ila mimi naomba nipost hii wazo langu kwenu wakina LD, Michelle, firstlady, Dena Amsi Nirshad ,Carmell...
1.Ni neno gani la kiingereza linalopatikana kwenye button moja ya simu zenye herufi tatu tatu kwa kila button.
2. Ni button gani yenye jina mojawapo ya file extension?
Jamaa alipeleka gari lake kwa fundi kupaka rangi na akamwambia fundi nataka ulipake rangi yoyote isipokuwa nyekundu, nyeusi,bluu,njano,kijani,zambarau,choklet,nyeupe na zingine nyingi aliendelea...
heshima kwenu wanajamvi,kuna kitu kinanitatiza kwenye medula yangu hivi kwa nini hizi sabuni huwa ziko nyingi sana kwenye yale maeneo yetu yale yaani kila unapoenda unakutana nazo kama vile...
Bi kidude alikwenda katika show london akafikia katika hotel ya kifahari akiwa chumbani kwake alichungulia nje akawaona watoto wa kizungu wanaogelea kwenye swimming pool naye akakumbuka mambo ya...
Kawaida katika mpira wa miguu mchezaji anapofunga mabao matatu kwenye mechi moja''(Hat trick)'' huondoka na mpira.
Je ingekuwa hata kwa mwanamke ukimpiga bao tatu unaondoka na chupi, wewe ndugu...
jamaa mmoja alienda kwny hifadhi,akaanza kujidai kwa walinzi kuwa yeye haogopi simba. basi wakamwonesha mti mmja ambao simba hupend kulala hapo na mtalii mmja akamwahd akikaa had waje simb...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.