mimi ni mwanamke naitwa Rose Mponda namtafuta baba wa binti yangu.. huyo baba nilimfahamu kwa jina moja tu la Doto kwa miaka hiyo ya tisini na nilikutana naye mara moja tu akaniacha na mimba...
leo asubuhi nimepokea ujumbe unaosema kwamba number yangu imeshinda 200,000 pounds katika shindano la nokia anniversary promo, kwa maelezo zaidi nimeekelezwa nitume mail kwenda nokia-uk@live.com...
Mama mmoja alipewa kipigo msibani,baada ya kushutumiwa kumuua marehemu ambaye ni mtoto wa mdogo wake.Sakata hilo lilitokea mjini mahenge Morogoro vijijini.Kundi la watu waliokuwa msibani...
Magari mengi ya siku hizi si rahisi kuyaiba mpaka uwe na funguo yake. Hata hivyo wezi wa magari hawakosi mbinu kila siku. Tuwe waangalifu, usiache gari lako funguo ikiwa kwenye gari. Unatakiwa...
Wassira na Mbowe walijikuta kanisani wamekaa jirani, ghafla mchungaji akasema "kila mtu amwambie mwenzake ni mzuri" Mbowe akajibu "mchungaji sitaki kupata dhambi ya uongo"
Jf habari zenu , hebu kila mwenye uwezo wa kuangalia , achunguze japo kidogo tu thamani ya hizo nguo walizovalishwa watoto wetu waliopamba sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar , binafsi...
TEACHER: Ok, class let us show our guests how far we have reached.........if i say small, you say small, smaller, smallest
TEACHER:- Small
CLASS:- Small, smaller, smallest
TEACHER:-Big
CLASS:-...
WajaJF, Nimekaa katika kumbuka zangu nikakumbuka tukio hili;
Nikiwa mdogo nilikuwa nawendaa sehemu moj ilipo kambi ya JWTZ kuchukua Mabaki ya chakula kwenye kambi hiyo kwa ajili ya mbwa wangu...
AJIRA NGUMU JAMANI!!!!! Jamaa m1 alienda kuomba kazi kwenye ZOO. Akaambiwa nafasi ya kazi ipo, hatuna sokwe. " Hivyo utajifanya Sokwe na tutakupa ngozi utavaa" Jamaa siku ya kwanza akavaa...
Content: BUNGE MODERN TAARAB inawakaribisha mashabiki wake kwenye uzinduzi wa albam yao mpya kabisa iliyobeba nyimbo za mipasho:-
1.Mkuki kwa nguruwe... (Spika Anna Makinda).
2.Mimba...
Kutokana na utata ulioko juu ya mtoto wa Bishanga na The secretary familia imeamua kuitisha kikao. Kikao hiki kitahusu wanaume wote wanaodai kuwa mtoto wa The secretary ni wao. Kikao kitafanyika...
Ndugu wana JF, nimesikitishwa sana na habari za Rais wetu JK kununuliwa suti na waarabu, hii sio tu imemdhalilisha yeye kama rais, lakini na sisi wananchi wake anaotuongoza.
Nimeona ni vyema basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.